Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,117
- 16,506
Basi huyo aliyekwambia kuwa alioa mwanamke wa miaka sita hakukufundisha yote, katafute historia ya huyu mtukufu wa darja then msome thn hakikisha kama alioa mtoto wa miaka sita kama unavyosema, kwani si tunatafuta haki? basi nakuomba kafanye hvyo, thn utaelewa vzr na wala hutokuwa mwenye kupandikizwa chuki tu
Hukunielewa vizuri, nikiwa na akili zangu timamu siwezi andika kitu kama 'mwanamke wa miaka 6'. Hakuna mwanamke wa miaka 6 kwa mujibu wa imani yangu, mtu yeyote wa miaka 6 ni mtoto.
Chuki gani niliyopandikiza, wewe vipi? Hebu soma Sunan Nasai (Book of Marriage) No.3256. Au unazikana Hadithi za marehemu? Kasome maneno ya Aisha mwenyewe