Maandamano ya waislamu yazuiwa

Maandamano ya waislamu yazuiwa

Askari wa Miguu mwanangu umekurupuka. Hujui unachosema. Mimi sina tatizo na technicalities zinazoweza kusababisha mtu anyimwe bail. Pia sina ugomvi na exception to the general rule. Ugomvi wangu ni kwamba dhamana ni haki ya mshitakiwa especially kama tutajielekeza kwenye rule of law under the presumption of innocence till proved otherwise. Hivyo mwanangu usidhani sheria uliisoma peke yako. Tunaijua kuliko unavyofikiria. Kama kuna kipingamizi kinachokubalika kisheria mimi ni nani nipinge. Tusihukumu kwa discretion wala imani zetu jamani. Hakuna anayeshabikia maafa anayoandaa Ponda ila kama binadamu ana haki ya kufaidi haki zake za kikatiba.
 
Ha ha ha ha!! watawachangamkia na wote ghafla watavua kanzu na kibaraghashia ili wasitambulike!!! Hivi unajua mfungo unaharibu kabisa biashara za kitimoto na bia katika bar nyingi? We uliza wenye bar, hawatamani kabisa ramadhani ianze!!

wanatuzuga wanaogopa kiti moto kumbe walaji wazuri tuu ile kitu noumer.
 
Waislam wamechoka kugeuzwa punching Bag! chezea kisago cha mgomba eeeeh!
 
halafu nyie vilaza mnazingua sana.chadema wakiandamana bila vibali mnawatetea ila waislam ndio hamlali....nyie twenden hizi ishu mnazoshadadia ztawacost mbelen.watu wako makin kusoma tu raman.


KAMA HAKUNA KITU SIKIPENDI NI KILA TUKIO LINALOJADILIWA LAZIMA WAPUMBAVU WAINGIZE NENO chadema!!!!. HIVI CHADEMA INAKOSA GANI? MIMI NI MUSLIM LAKINI NI CDM. NA NAIKUBALI SANA. TATIZO LA WENGI SI WAFUATILIAJI WANABAKI KUKURUPUKA NA KUDANDIA UZUSHI WA WATU WACHACHE OOOH ETI CDM CHAMA CHA KIDINI OOOH MARA CHA WACHAGA? UJINGA MTUPU...........P.......M.....BAVU ZENU! TUMIENI AKILI NDUGU ZANGU WANANCHI MSIOFANYA UTAFITI!
 


DSC_0077.jpg

waislamu nchini tanganyika wandamana kupinga filamu iliyo mdhalilisha mtume muhammed (s.a.w)
MAANDAMANO%2BYA%2BKUHAMASISHA%2BUUVAJI%2BWA%2BMAVAZI%2BYA%2BHESHIMA%2BMORO%2BPIX%2BNO%2B3.jpg

wanawake wa kislamu nchini tanganyika wakiandamana
3.JPG

wanawaki nchini tanganyika wakiandamana na kutaka ubalozi wa marekani kuondolewa nchini kwao tanganyika.
WAISLAMULEO3.JPG

waislamu nchini tanganyika walipoandamana na kuswali pamoja kupinga filamu iliyo aktiwa nchini marekani kwa kumdhalilisha mtume muhammed (s.a.w)lakujiliza zanzibar wakiandamana je watalindwa na polisi au watapingwa mabomu maana hapa askari katuli hafurukuti maana anajuwa akifurukuta tu hawana nchi tena ila zanzibar wanawapiga mabomu.
WAISLAMULEO4.JPG

vibaraka wa sheitwaniiiiiiiiii
318175_235512403218406_970257339_n.jpg

waislamu wakiandamana nchini tanganyika
DSC07036.jpg

maelfu ya wanawake wa kislamu nchini tanganyika wakiandamana kupinga filamu iliyo aktiwa kumdhalilisha mtume muhammed (s.a.w)
06.jpg

waislamu wakiendele na madamano nchini tanganyika nchi jirani na nchi yetu ya zanzibar.
DSC_0830.jpg

vibaraka wa ibilisi
7.JPG

waislamu wachachama nchini tanganyika
WANMAWAKE%2BWA%2BKIISLAMU%2BKATIKA%2BMAANDAMANO..JPG

wanawake wakislamu nchini tanganyika wakiandamana
BANGO%2BKUBWA..JPG

waslamu wakiendelea kuandamana nchini tanganyika nchi ya jirani karibu na nchi yetu ya zanzibar
777f.jpg

wanafunzi wa kinslamu nchini tanganyika wapinga vikali kuongozwa nchi yao na kanisa katoliki
MAANDAMANO%2BYA%2BKUHAMASISHA%2BUUVAJI%2BWA%2BMAVAZI%2BYA%2BHESHIMA%2BMORO%2BPIX%2BNO%2B2.jpg

wanafunzi nchini tanganyika wakiendelea kuandamana na kupinga vikali filamu na pamoja nchi yao ya tanganyika kuongozwa na kanisa katoliki
DSC_0297.jpg

waislamu nchini tanganyika wajaju baada ya mtume muhammed (s.a.w.) kuthalilishwa katika filamu iliyo aktiwa nchini marekani.
DSC_0320.jpg

hawa ndio vibaraka wa ibilisi wakitimiza uwibilisi wao na ushetwani.
38.jpg

waislamu wakijumuika na kupinga vikali kuhusu filamu iliyo aktiwa marekani ya kumdhalilisha mtume muhammed (s.a.w.) hawa ni waislamu wasio taka kabisa mtume wao kuchezea nchini tanganyika nchi jirani na nchi ya zanzibar
DSC_0940.JPG

waislamu wa nchi ya tanganyika wakiandamana kupinga vikali filamu iliyo aktiwa na kumdhalilisha mtume muhammed (s.a.w)
 
Matola nyamaza nitakusomea dua la albadir

Ili ageuke mjusi?
Teh!teh!teh!
Utamsomea hiyo novel mnayo iita quran?
Dogo yule wa mbagala genius,alifanya experiment kupruvu kuwa hiyo novel haina lolote!
 
Ha ha ha ha!! watawachangamkia na wote ghafla watavua kanzu na kibaraghashia ili wasitambulike!!! Hivi unajua mfungo unaharibu kabisa biashara za kitimoto na bia katika bar nyingi? We uliza wenye bar, hawatamani kabisa ramadhani ianze!!

:biggrin1: chezea kitimoto cha foil nyieeee
 
Unapomtoa mtoto darasani nakumbebesha bango la kupinga nchi kuongozwa na kanisa mnakosea sana.mnawafanya watoto wenu wawe wajinga mara mbili.
 
maskini mimi na wahurumia wake wa watakao andamana leo maana wengi wao huenda wakakosa haki zao za ndoa kwa muda mrefu kidogo tangu sasa.maskini!
wenzio wana uchu na mbuguma za peponi sio hawa mabinti shomvi!
 


DSC_0077.jpg

waislamu nchini tanganyika wandamana kupinga filamu iliyo mdhalilisha mtume muhammed (s.a.w)
MAANDAMANO%2BYA%2BKUHAMASISHA%2BUUVAJI%2BWA%2BMAVAZI%2BYA%2BHESHIMA%2BMORO%2BPIX%2BNO%2B3.jpg

wanawake wa kislamu nchini tanganyika wakiandamana
3.JPG

wanawaki nchini tanganyika wakiandamana na kutaka ubalozi wa marekani kuondolewa nchini kwao tanganyika.
WAISLAMULEO3.JPG

waislamu nchini tanganyika walipoandamana na kuswali pamoja kupinga filamu iliyo aktiwa nchini marekani kwa kumdhalilisha mtume muhammed (s.a.w)lakujiliza zanzibar wakiandamana je watalindwa na polisi au watapingwa mabomu maana hapa askari katuli hafurukuti maana anajuwa akifurukuta tu hawana nchi tena ila zanzibar wanawapiga mabomu.
WAISLAMULEO4.JPG

vibaraka wa sheitwaniiiiiiiiii
318175_235512403218406_970257339_n.jpg

waislamu wakiandamana nchini tanganyika
DSC07036.jpg

maelfu ya wanawake wa kislamu nchini tanganyika wakiandamana kupinga filamu iliyo aktiwa kumdhalilisha mtume muhammed (s.a.w)
06.jpg

waislamu wakiendele na madamano nchini tanganyika nchi jirani na nchi yetu ya zanzibar.
DSC_0830.jpg

vibaraka wa ibilisi
7.JPG

waislamu wachachama nchini tanganyika
WANMAWAKE%2BWA%2BKIISLAMU%2BKATIKA%2BMAANDAMANO..JPG

wanawake wakislamu nchini tanganyika wakiandamana
BANGO%2BKUBWA..JPG

waslamu wakiendelea kuandamana nchini tanganyika nchi ya jirani karibu na nchi yetu ya zanzibar
777f.jpg

wanafunzi wa kinslamu nchini tanganyika wapinga vikali kuongozwa nchi yao na kanisa katoliki
MAANDAMANO%2BYA%2BKUHAMASISHA%2BUUVAJI%2BWA%2BMAVAZI%2BYA%2BHESHIMA%2BMORO%2BPIX%2BNO%2B2.jpg

wanafunzi nchini tanganyika wakiendelea kuandamana na kupinga vikali filamu na pamoja nchi yao ya tanganyika kuongozwa na kanisa katoliki
DSC_0297.jpg

waislamu nchini tanganyika wajaju baada ya mtume muhammed (s.a.w.) kuthalilishwa katika filamu iliyo aktiwa nchini marekani.
DSC_0320.jpg

hawa ndio vibaraka wa ibilisi wakitimiza uwibilisi wao na ushetwani.
38.jpg

waislamu wakijumuika na kupinga vikali kuhusu filamu iliyo aktiwa marekani ya kumdhalilisha mtume muhammed (s.a.w.) hawa ni waislamu wasio taka kabisa mtume wao kuchezea nchini tanganyika nchi jirani na nchi ya zanzibar
DSC_0940.JPG

waislamu wa nchi ya tanganyika wakiandamana kupinga vikali filamu iliyo aktiwa na kumdhalilisha mtume muhammed (s.a.w)

MMEYAPATA MLIYO ANDAMIA.... Au kelele tu barabarani?
 
halafu nyie vilaza mnazingua sana.chadema wakiandamana bila vibali mnawatetea ila waislam ndio hamlali....nyie twenden hizi ishu mnazoshadadia ztawacost mbelen.watu wako makin kusoma tu raman.
CDM madai yao yanaeleweka nyie mnadai nini?
 
huyu jamaa alie weka picha hapa halafu kila alikoweka picha ya polisi anaandika vibaraka wa ibilisi eidha ana tatizo kubwa la shule! au ana agenda ya siri.
 
Back
Top Bottom