sikiliza wasomi wasiokuwa waislamu wanavyosema kuhusu huyu mtukufu wa darja uliemtukana hapo juu kwa akili yako ya kupandikizwa, ungesoma usingesema hayo maneno, mtafute mahtma ghandi, george bernad shaw, lamartini, stanley lane poole, thomas caryle, micheal h hart, james a michener, montgomery watt, annie bessant na wengine wengi tu ukitaka nitakupa list hata ya majina 100 na ukasome na vitabu vyao vinavyomuelezea huyo uliemtukana, na hawa wote sio waislam, ni wakristo , wapagani na mabaniani ila walipomsoma Mtume (s.a.w) walimsifia kuwa ndio kiumbe bora, kiongozi bora, the most influential, the honest, the wonderful man kasome ndugu yangu, mm sikuchukii nakupenda na ndio maana nakuhimiza kusoma, na kuhusu haya mambo yanayoendelea nchini laiti ungesoma na ungeangalia kila kitu vzr wala usingeongea hvyo