Maandamano ya waislamu yazuiwa

Maandamano ya waislamu yazuiwa

Wakristu hawawezi kuandamana kwa sababu hawajiongozi wenyewe. Ili waandamane inabidi amri au agizo litoke Vatican au Buckinham Palace. Waislamu wanajiongoza wenyewe, na maandamano yao hayaanzii makka wala brazili, isipokuwa yanaanzia wanapoishi waislamu wahusika.
Its called "decentralised" religion with full autonomy. Ndiyo muislamu yoyote anaweza kuhubiri neno la Mungu kama akitaka na akawa sheikh. Mkristo inabidi kwanza awe "ordained" na wazungu ndiyo aweze kuwa padri au mchungaji wa kiwango cha juu.

Panua mawanda ya uelewa wako dogo ili unapoonge uaminike! Swala la kibali toka vatican ni case study ya dhehebu tu na sio wakristo wote.Elewa idadi ya wakristo wa protestant na madhehebu mengine ni mengi mno, ila tu wote hufuata Sauti ya Mkuu wao Yesu Kristo wa Nazareth! Yeye ndiye Chieft Commander. Umenisoma mkuu!
 
Maandamano ya Wakristo yapo tu wewe! Hujui wakatoliki huwa wanatembeza sanamu ya Bikira Maria?
Maandamano ya wakristo ni ya sherehe; lakini maandamano ya waislamu ni ya shari!

wanatembeza Sanamu!! tehe,tehe,tehe.!!
 
Panua mawanda ya uelewa wako dogo ili unapoonge uaminike! Swala la kibali toka vatican ni case study ya dhehebu tu na sio wakristo wote.Elewa idadi ya wakristo wa protestant na madhehebu mengine ni mengi mno, ila tu wote hufuata Sauti ya Mkuu wao Yesu Kristo wa Nazareth! Yeye ndiye Chieft Commander. Umenisoma mkuu!


............aliwahi kuongoza jeshi gani ? ..........mafundisho yanatuambia huyu bwana alikuwa na watu kumi na mbili tu na hakuwahi kufunga kisu wala panga kiunoni ?
 
elimu ndugu yangu , wanang'ang'ania elim ahera wanasahau kwamba vigezo vya ajira haviangalii hizo juzuu zao.......

..............ahera ni ya kudumu, na ndo inatushughulisha ! vipi wewe, una mpango wa kubaki ? utagoma kuondoka saa ikifika?
 
quote_icon.png
By Majita
Kova hawezi kupanda cheo zaidi ya hapo alipo.Uwezo wake mdogo mno kwanza najiuliza hapo kafika fikaje


Kama humjui vizuri kamanda KOVA jaribu kuandamana temu hii uone. Atakulenga za kiunoni.
 
nusa nusa zangu, zimekutana na mikakati ya kuandamana kesho kwa jamaa wa dini ya kiislamu, inaonekana hawakuelewa somo la juzi, wanadai kua wanauwezo wa kupambana na jeshi, eti ile majuzi wanajeshi walikuwepo lakini hawakuwafanya lolote. Very immature analysis...so kesho kama kawaida yao maandamano..nadhani wahusika walimulike hili mapema..wanadai kua hawaogopi mabimu ya polisi wala vitisho vya wanajeshi...vichwa vyao vimeshajazwa madudu tayari wamewaka..
 
Hiyo unaweza kuiita tu tetesi licha ya kuandika habari yako kishabiki sana kukandia Uislam na waislamu!!!!

Jifunze jinsi ya kuandika siku nyingine.
 
Waache, wanadhani jeshi linatania, ngoja tuone muvi la kihindi kesho. Wacha nilipie modemu yangu ya Zantel, kesho full time mbele ya kibodi
 
"mabimu" au mabomu
haraka za kupost bhanaaaaa.....
jf tamuuuuu kweliiii

V
SENGEREMA
 
Nakemea mipango yote ya SHETANI AMA SHETWANI ISHINDWE KABISA KWA JINA LA YESU.Vikao vya siri dhidi ya amani na UTULIVU nchini kwetu ushindwe.Wote wanaokaa vikao hivyo wasambaratike na kufarakana kwa Jina la Yesu..Tanzania ibaki na AMANI
MKRISTO NA MUISLAM wote tumeumbwa na MUNGU na SHETANI ASITAKE KUTUJENGEA CHUKI NA KUBAGUANA..TUPENDANE KWA UPENDO WA MUNGU.
 
Uislam si dini bali jeshi lenye imani fulani. Hivi mungu katuumba kufanya fujo, na kuua watu?. Kama kweli mungu yuko hivyo basi bora wapagani maana wako peaceful
 
Uislam si dini bali jeshi lenye imani fulani. Hivi mungu katuumba kufanya fujo, na kuua watu?. Kama kweli mungu yuko hivyo basi bora wapagani maana wako peaceful
 
Du kumbe kesho ni Ijumaa na hakuna siku kuuu kama Ijumaa ilopita,sasa jiandaeni lazima waandamane maana baada ya swala ya mchana kinachofuata ni kujazana ujinga tu
 
kesho watu wataandamana sisi sio watu wa kudeka na kubebwa km nyinyi askofu akiwa shoga poa mchungaj akikuomba umpeleke mkeo uck unamruhu adi asubuhi iyo ndio akli yenu dont think just follow propoganda no research no write 2 speak
 
Waache, wanadhani jeshi linatania, ngoja tuone muvi la kihindi kesho. Wacha nilipie modemu yangu ya Zantel, kesho full time mbele ya kibodi

Yule Kamanda wa polisi wa Zanzibar ndio alitakiwa aletwe hapa DAR manake yule ndie jemedari hasa. Uliona juzi vijana waake walivyommenya mtu kichwa kama kiazi mviringo kisha wakamtema.
 
Back
Top Bottom