Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,144
- 166,078
Mjini kunaendeka kweli?
sasa wanaume mtapewa mabikira wanawake watapewa nini maskini! Basi nawashauri wanawake wasiandamane wawaachie wanaume ili.wametuambia kuwa tukifia dini tutaenda peponi na tutapewa mabikra wenye macho kama vikombe, acha tuandamane, leka tutigite
Acha kutusingizia kama una picha weka hapa...
jamani tuwe tunapeana updates ... Hapa msikiti wa magomeni hali ni shwari kabisa hakuna askari wala nini watu wanaendelea na mambo yao
Hivi JWTZ walisemaje vile?
Kama nilivyosema na narudia kusema nguruwe ukicheka nae anaingia na wewe..........
sasa ndicho kinachoendelea sasa njia zote huku mjini zinafungwa kwa wajili ya punguan wachache
ukiwauliza nani kawaruhusu maandamano awana jibu na hii ni kutokana na kuachwa na kuchekewa
walipoanza na sensa
Raha ya sensa umpe ee bwana na Mwanga wa Ponda umuangazie apumzike segerea kwa Amani
amin
Hivi inaingia akilini mtu utoke mkoani, kwa gharama zako, kuja kupigwa na mabomu Dsm kisa, eti mnaandamana Ponda aachiwe.
Nyuma ya hili ni lazima kuna wafadhili wanaowalipia watu nauli, chakula na malazi, pia kuwapa posho ili washiriki kwenye maandamano.
WAISLAM AMKENI MNATUMIWA NA WAJANJA WACHACHE KWA MASLAH YAO BINAFSI
unaweza ukaenda ila usiende na vitu vinavyoweza kuvunjika.pia unashauriwa kuvaa raba.mjini kunaendeka kweli?