piper
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 3,253
- 612
Nasikia wanataka kuandamana kupinga kuzuiwa kuandamana
Hii kaliiiiiiii!!!!!!!!
Nasikia wanataka kuandamana kupinga kuzuiwa kuandamana
Toka nizakiwe mpaka nafikisha miaka sasa 30 sijawahi kusikia maandamano ya Wakristu. Inamaana wao hawapati shika ziwapatazo waislam??? Au kunani hapo?
Nasikia wanataka kuandamana kupinga kuzuiwa kuandamana
Tusishabikie kwasababu ni waislamu wananyimwa kuandamana suala la kuandamana unapaswa kutoa taarifa tu polisi na sio kuomba ruhusa kazi ya polisi hapo ni kulinda hao watu wasivunje amani inatakiwa wapewe ulinzi mzito sana kudhibiti pindi watakapoleta vurugu
Haya nenda kaandamane upewe ulinzi!Tusishabikie kwasababu ni waislamu wananyimwa kuandamana suala la kuandamana unapaswa kutoa taarifa tu polisi na sio kuomba ruhusa kazi ya polisi hapo ni kulinda hao watu wasivunje amani inatakiwa wapewe ulinzi mzito sana kudhibiti pindi watakapoleta vurugu
Look hereunder....this is how Christians (on this case Roman Catholics) demonstrates
Msafara wa Mazishi ya Mhashama Kaldinari Laurean Rugambwa
yaliyofanyika Tarehe 7 Novemba, 2012 mjini Bukoba
umeongea point lakini hii haiwezi kutokea tanzaniaTusishabikie kwasababu ni waislamu wananyimwa kuandamana suala la kuandamana unapaswa kutoa taarifa tu polisi na sio kuomba ruhusa kazi ya polisi hapo ni kulinda hao watu wasivunje amani inatakiwa wapewe ulinzi mzito sana kudhibiti pindi watakapoleta vurugu
huyu kova angekuwa mwanasiasa tungesema kova oyeee! lakni kwa kuwa sio tunasema tu ahongere.HIVI KWA SASA HUYU JAMAA NI KAMISHNA MSAIDIZI MWANDAMIZI EE! Ok sahihi sana!Safi sana Afande Kova unafanya kazi kwa weledi! nakupigia debe uwe Full kamishna.
Hiyo kali; kwa nyongeza ni kuwapikia ubwabwa misikitini - wanapenda ubwabwa hao! Eti ni chakula cha mtume!
Are domostrators rational!inanishangaza sana tabia ya watu kuwafanya polisi kama mashine na sio binadamu pengine kaka zetu na dada zetu au hata wake zetu na waume zetu.Tusishabikie kwasababu ni waislamu wananyimwa kuandamana suala la kuandamana unapaswa kutoa taarifa tu polisi na sio kuomba ruhusa kazi ya polisi hapo ni kulinda hao watu wasivunje amani inatakiwa wapewe ulinzi mzito sana kudhibiti pindi watakapoleta vurugu
i think its a big shame lol!am proud to be muslim
nakuhakikishia pika ubwabwa masahani dondosha pembeni ya barabara toka maandamano yanapoanzia mpaka yatakapoishia kweli hafiki mtu mwosho wataishia kubwia maubwabwa tututu kwikwiwkiwkwiwkwwiwkna kupeleka maiti kanisani apate kufufuliwa ni akili ya mtu au zombi kwi kwi kwikwikwi wenye elimu mnachekesha kwelikweli
Kova hawezi kupanda cheo zaidi ya hapo alipo.Uwezo wake mdogo mno kwanza najiuliza hapo kafika fikaje
Picha hubeba ujumbe zaidi ya herufi mkuu! Nimekubali!
waandamane ili wachome makanisa na kuharibu mali z watu..hapo hapan mkuu..hivi ukiandamana lazima uhalibu mali za watu
Safi sana Afande Kova unafanya kazi kwa weledi! nakupigia debe uwe Full kamishna.