Maandamano ya waislamu yazuiwa

Maandamano ya waislamu yazuiwa

Nipo mnazi nimepita uhuru road kuna tetesi za maandamano wengne wanasema wataena kusali miskit ya pembezon mwa town ambapo fujo aiwez tokea.,town pamepowa sana watu tupo kimachale chale ,askari wapo kila kona na wengne kwenye magari,maduka mengi yamefugwa tofauti na ilivyozoeleka.
YAANI MIMI MUISLAM LAKINI NATAMANI NINGEKUWA POLISI NIONE WAJINGAWAJINGA WANAANDAMANA NIWAPE NIDHAM.HAO WANAO VURUGA AMANI WANAITWA MA TWAGHUT.POLISI WAPENI CHA IJUMAA ILE.mimi naenda kuswalia zangu ubungo.

 
teh leo watakula kichapo mpaka wakome aisee...chezeya mwamunyange wewe............
 
Hivi JWTZ walisemaje vile?
JWTZ hawatathubutu kuja mtaani tena kwani kulifanyika makosa kwa jeshi kuingia mtaani!jeshi hupata ruhusa toka kwa raisi ,cha ajabu alikuwa nje ya nchi na wao wakatoka mtaani!Pili kamanda kova alishasema hawakuzidiwa sasa nani aliwaalika jamaa mtaani?kwahivyo leo usitarajie kuwa wataonekana mtaani!Ila wapo "Tayari" tokea siku ile kila mwanajeshi yupo na mavazi ya kivita jaribu kuangalia hilo na hata kwenye kambi zao!
 
Mkuu jidu
umeuliza swali ukajijibu hao hapo///umesema rais alikuwa nje jeshi likaingia front nanikawapa ruhusa..sembuse yuko nje tena tumevamiwa na wahuni kama sheikh faidi utasubiri arudi huku mnapigwa??
 
JWTZ hawatathubutu kuja mtaani tena kwani kulifanyika makosa kwa jeshi kuingia mtaani!jeshi hupata ruhusa toka kwa raisi ,cha ajabu alikuwa nje ya nchi na wao wakatoka mtaani!Pili kamanda kova alishasema hawakuzidiwa sasa nani aliwaalika jamaa mtaani?kwahivyo leo usitarajie kuwa wataonekana mtaani!Ila wapo "Tayari" tokea siku ile kila mwanajeshi yupo na mavazi ya kivita jaribu kuangalia hilo na hata kwenye kambi zao!
"Juzi tulionyesha ‘talent show force' ili watujue kama tupo kazini, hata kama wametuona tupo kimya, hatuna mzaha katika kulinda na kusimamia ulinzi na usalama wa taifa hili, kwa hiyo tulikuwa kwenye sehemu ya utekelezaji wa majukumu yetu, na kwamba atakayekwenda kinyume tutamshughulikia," alisema Mgawe.
 
YAANI MIMI MUISLAM LAKINI NATAMANI NINGEKUWA POLISI NIONE WAJINGAWAJINGA WANAANDAMANA NIWAPE NIDHAM.HAO WANAO VURUGA AMANI WANAITWA MA TWAGHUT.POLISI WAPENI CHA IJUMAA ILE.mimi naenda kuswalia zangu ubungo.

Heeh! Makubwa haya anajiita Muislam halafu anatamani kuuwa Waislam wenziwe ili awafurahishe makafiri, sasa huko ubungo unakwenda sali nini! Nadhani waislam wapo wengi humu lakini wamenyamaza basi hao walionyamaza ni bora zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu kuliko wewe uliezihirisha chuki zako mbele ya ndugu zako. Tafakari.😕

Huu ni ukumbusho tu! Kwamba hawatorizika mayahudi na manaswara hadi pale utakafuata mila yao.


Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
 
Heeh! Makubwa haya anajiita Muislam halafu anatamani kuuwa Waislam wenziwe ili awafurahishe makafiri, sasa huko ubungo unakwenda sali nini! Nadhani waislam wapo wengi humu lakini wamenyamaza basi hao walionyamaza ni bora zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu kuliko wewe uliezihirisha chuki zako mbele ya ndugu zako. Tafakari.😕


Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
Huu ndio ujinga na ni donda ndugu, undugu na wahuni unatokea wapi? wacha wafundishwe adabu.
 
Kama nilivyosema na narudia kusema nguruwe ukicheka nae anaingia na wewe..........
sasa ndicho kinachoendelea sasa njia zote huku mjini zinafungwa kwa wajili ya punguan wachache
ukiwauliza nani kawaruhusu maandamano awana jibu na hii ni kutokana na kuachwa na kuchekewa
walipoanza na sensa
Raha ya sensa umpe ee bwana na Mwanga wa Ponda umuangazie apumzike segerea kwa Amani
amin
Usiwe na presha leo wanavunjwa kabisa kuna wachina wameletwa kwa kaz hyo leo
 
Hivi inaingia akilini mtu utoke mkoani, kwa gharama zako, kuja kupigwa na mabomu Dsm kisa, eti mnaandamana Ponda aachiwe.
Nyuma ya hili ni lazima kuna wafadhili wanaowalipia watu nauli, chakula na malazi, pia kuwapa posho ili washiriki kwenye maandamano.
WAISLAM AMKENI MNATUMIWA NA WAJANJA WACHACHE KWA MASLAH YAO BINAFSI

Kwa hiyo na chadema nao wanatumiwa? Maana haya mambo ya maandamano na fujo hawakuanza wao

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
 
Kwa hiyo na chadema nao wanatumiwa? Maana haya mambo ya maandamano na fujo hawakuanza wao

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
ndio wanatumiwa na ushahidi upo.wewe hujui?na hata wanao dai ni wanaharakati wa haki za binadamu nao wametumwa.kimsinhgi hawana agenda yao.
 
"Juzi tulionyesha ‘talent show force' ili watujue kama tupo kazini, hata kama wametuona tupo kimya, hatuna mzaha katika kulinda na kusimamia ulinzi na usalama wa taifa hili, kwa hiyo tulikuwa kwenye sehemu ya utekelezaji wa majukumu yetu, na kwamba atakayekwenda kinyume tutamshughulikia," alisema Mgawe.
talent show gani na wakati wengine wamedondoka angani kama viroba? tumeonesha udhaifu wetu hata kwa watu wa nje....
 
Heeh! Makubwa haya anajiita Muislam halafu anatamani kuuwa Waislam wenziwe ili awafurahishe makafiri, sasa huko ubungo unakwenda sali nini! Nadhani waislam wapo wengi humu lakini wamenyamaza basi hao walionyamaza ni bora zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu kuliko wewe uliezihirisha chuki zako mbele ya ndugu zako. Tafakari.😕

Huu ni ukumbusho tu! Kwamba hawatorizika mayahudi na manaswara hadi pale utakafuata mila yao.


Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2

Wewe ndiye kafiri unaacha kufanya vitu vya maana unaenda kumuua mwenzio eti kisa kafiri. Hivi huyo Allah wenu naye ni muuaji? Kumbuka wagalatia ni kabila kama wewe lilivyo kabila lako kimakonde. Acheni ujinga
 
Wapi BAJABIRi?haonekani jamvini na hizi ndio mada zake....Au ndio anajikoki kwa maandamano muda huu?
 
Kama nilivyosema na narudia kusema nguruwe ukicheka nae anaingia na wewe..........
sasa ndicho kinachoendelea sasa njia zote huku mjini zinafungwa kwa wajili ya punguan wachache
ukiwauliza nani kawaruhusu maandamano awana jibu na hii ni kutokana na kuachwa na kuchekewa
walipoanza na sensa

Raha ya sensa umpe ee bwana na Mwanga wa Ponda umuangazie apumzike segerea kwa Amani

amin

Badala ya kuifanya ijumaa iwe siku yao takatifu ya kumtukuza allah wao, wao wanaleta vurugu na discomfort to others.
Kaazi kweri kweri..:A S angry:
 
Mimi ninachoogopa ni fujo tu,ee mungu tuepushe na kadhia hii........................ndugu zangu wa mama karibu wote ni waislam,baba wakristu,,,,,,,,,,,,,,,nisimame wapi?
simama peke yako !!!!!!!!!!!!!!si ulizaliwa peke yako !
 
Back
Top Bottom