UKUTA walijiandaa sana mitandaoni. Nishasema, sisi ni cowards kuliko nchi nyingi duniani. Cowards hajawahi kufanikiwa, huo ukuta ulikuwa unamjaribu mkulu, yeye alisema hajaribiwi...
UKUTA walijiandaa sana mitandaoni. Nishasema, sisi ni cowards kuliko nchi nyingi duniani. Cowards hajawahi kufanikiwa, huo ukuta ulikuwa unamjaribu mkulu, yeye alisema hajaribiwi...
Ondoa neno mileleCCM itatawala milele,if you cant fight them,join them.Anguko kubwa kwa CHADEMA
UPDATE:
Raundi 1.
Magufuli 1, UKUTA 0.
Movement ya UKUTA imefanikiwa 100% kwani serikali nzima imesitisha shughuli zake zote na kuelekeza nguvu, akili na pesa kuutangaza UKUTA bila wenyewe kujua.
Endeleeni kupiga propaganda mitandaoni, that's a massive failure kiongozi.Movement ya UKUTA imefanikiwa 100% kwani serikali nzima imesitisha shughuli zake zote na kuelekeza nguvu, akili na pesa kuutangaza UKUTA bila wenyewe kujua.
Kuna kitu ambacho kimetokea Ngosha; it is all about strategy. Think about it.
Ndio, mwenzako anaona kuna mafanikio. ..hahahaha. Just imagine mtu anapoana mafanikio wakati kashindwa unadhani ataweza kushinda kweli?Kupandisha watu mzuka na kuwaacha hewani ndo mafanikio?
Movement ya UKUTA imefanikiwa 100% kwani serikali nzima imesitisha shughuli zake zote na kuelekeza nguvu, akili na pesa kuutangaza UKUTA bila wenyewe kujua.
Namaanisha hiki kizazi chetu kitaiona CCM tu ikitawala,na sisi wote hapa JF in 100 yrs to come wote tutakuwa hatupo hapa duniani,hivyo CCM itatawala MileleOndoa neno milele
Is there more to it than meets the eye?
Yes sir; ni suala la mikakati. Kuna vitu ambavyo unaweza kuamua kupambana na vitu vingine unafikiria upambane navyo vipi. Kosa kubwa ni kudhani hizi ni zama za JK kwa hiyo mbinu zile zile zinaweza kuwa na matokeo yale yale - kumdhoofisha Rais. Ningekuwa bado nawaamini hawa ndugu zetu ningekuwa na maoni tofauti kabisa ya jinsi ya kupambana na kile ambacho wao wanakidhania kipo.
Good hayo ndyo maneno... I hate guys who are kissing others guys ass... duniani hakuna Mtukufu isipokuwa Mungu pekee.Sasa wewe kumuita binadamu mwenzako mtukufu ni sawa na kumkufuru Mungu..hizi njaa ZENU na kujipendekeza kwenu kutawapeleka pabaya
Swissyou
Nani kasema shughuli zimesitishwa.Movement ya UKUTA imefanikiwa 100% kwani serikali nzima imesitisha shughuli zake zote na kuelekeza nguvu, akili na pesa kuutangaza UKUTA bila wenyewe kujua.
Indeed, there is a new sheriff in town.
Niliwaza tu....