Maandamano ya UKUTA yasipofanyika...

Maandamano ya UKUTA yasipofanyika...

Kapunguza mafisadi,mapato Ya kodi yameongezeka,kafanikisha dili la mradi wa bomba la mafuta kupitia tanga,na ameonyesha nia Ya kupambana na rushwa.
Hizi habari za uchochezi mimi sizielewi kabisa.

Hao watu wanaotuhumiwa sijui kuchochea, wamechochea kitu gani?

Kumpindua Magufuli?

Huyu jamaa asipoangalia anaweza kutumia muda wake mwingi kupambana na watu wenye maoni na hisia ambazo zipo kinyume na atakavyo au apendavyo yeye.

Katika viongozi ambao Tanzania imewahi kuwa nao tokea tuanze kutawaliwa na CCM huyu jamaa atakuwa anaongoza kwa kutokuwa na busara wala hekima.

Hovyo kabisa!

Sitashangaa JF nayo ikifungiwa kwa kupromoti uchochezi wa akina Ngabu😉.
Kuna nafuu yyt ktk maisha ya kawaida ya MTZ?
Huduma za jamii kama MAJI,MATIBABU na SHULE zimeimarika au zinaonyesha dalili ya kuimarika?
Watz sasa wana ajira au kuna dalili wataanza kupata ajira?
 
Sie wengine tulijua CHADEMA wanaleta swaga tu.
Mikoani HAKUKUWA na maandalizi yyt yale
CHADEMA wazushi tu
HAKUKUWA na maandalizi yyt ya maandamano Kyela
Mbowe uamuzi wake wa hovyo kumuondoa Dr Slaa kumeiua CHADEMA
 
So far kaifanyia nn Tanzania Rais Magufuli kwa miezi 10 aliyo kaa madarakani?
Ameonyesha anaweza kupambana na rushwa,corruption is my worse enenmy,Miezi kumi siyo kitu bado yupo mpaka 2020 time is the master kuwa mvumilivu na weka siasa pembeni.
 
Mpaka sasa kashashinda hata mwezi ujao watabadilisha gia angani tena ndicho alichobakiza hichi Mbowe
 
... I hate guys who are kissing others guys ass... duniani hakuna Mtukufu isipokuwa Mungu pekee.Sasa wewe kumuita binadamu mwenzako mtukufu ni sawa na kumkufuru Mungu..hizi njaa ZENU na kujipendekeza kwenu kutawapeleka pabaya

Swissyou
Read between the lines ndugu. Hilo neno hapo limetumika kama tashtiti.
 
Wamekujakushtukia kua wengekuwepo wenyewe kwenye maandamano maana watu wamewachoka.
 
Na ameshafanikiwa...CHADEMA walibaki peke yao kidogo..sasa na wao wamekubali Ku surrender kijinga kabisa

Ni kwamba wamebaki peke yao na ma fisadi wao!! Wananchi walalahoi wanamuelewa anko Magu hatari.
Na alishawaambia kuwa anataka kuwaletea watanzania maendeleo, atakayejaribu kumkwamisha atakwama yeye...
 
Kama UKUTA wakinywea na mwishowe kutokufanya hayo maandamano yao ambayo wamepanga kuyafanya hiyo tarehe 1 mwezi ujao, basi mheshimiwa MWENYE ENZI, MTUKUFU rais Magufuli atakuwa amepata ushindi mkubwa sana.

Hayo maandamano yasipotokea atakuwa kafanikiwa kuwatisha wananchi katika kutofanya yale ambayo hayampendezi yeye.

Na huu ndo utakuwa mwanzo tu. Huko mbeleni ikitokea kuna jambo ambalo halimpendezi yeye binafsi basi hatosita kutumia vyombo vya dola kuwatisha watu ili waache kufanya walichokuwa wamepanga kufanya.

Hiyo ndo Tanzania mpya. Tanzania ya MWENYE ENZI, Mtukufu rais John Pombe Joseph Magufuli [nahisi pia tutalazimishwa kuyatumia majina yake yote manne la sivyo wataokiuka watatafutwa na kuadhibiwa, hata kama wapo mitandaoni].

Na nyie wachora vikatuni nahisi dawa yenu inakorogwa huko maabara. Kama mkiendelea kumchora vibaya MWENYE ENZI, MTUKUFU rais John Pombe Joseph Magufuli basi siku zenu zinahesabika.

Yakiwatokea ya kutokea msije lalama eti sikuwaambia! Shauri yenu.

UPDATE:

Raundi 1.

Magufuli 1, UKUTA 0.
swala sio kuwatisha bali kuwaonya, ni uwezo pia wa kuongoza watu
 
... I hate guys who are kissing others guys ass... duniani hakuna Mtukufu isipokuwa Mungu pekee.Sasa wewe kumuita binadamu mwenzako mtukufu ni sawa na kumkufuru Mungu..hizi njaa ZENU na kujipendekeza kwenu kutawapeleka pabaya

Swissyou
We mungu unamjua?ulishawahi kumuona wapi?neno ass linaonyesha akili ilivyo.
 
Sijamalizia kusoma utumbo wako, ila katiba ya nchi yeyote hairuhusu kufanya maandamano yasiyo na kikomo. Hasa maandamano ya kutaka kupindua nchi. Hata USA waliwahi kutaka kuandamana kumtoa Obama, ila wewe uliona walichofanywa hao waandamanaji, walipigwa sana. Same hata kwa Tz lazima mgepigwa sana maana katiba hairuhusu.

Na waliambiwa watabatizwa kwa moto, JK ndo aliubemenda upinzani na juisi juisi keki na chai!!
Saivi wakivunja sheria yeye anavunja mara mbili zaidi as a corrective measure!! Watanyooka tu...
 
Kama UKUTA wakinywea na mwishowe kutokufanya hayo maandamano yao ambayo wamepanga kuyafanya hiyo tarehe 1 mwezi ujao, basi mheshimiwa MWENYE ENZI, MTUKUFU rais Magufuli atakuwa amepata ushindi mkubwa sana.

Hayo maandamano yasipotokea atakuwa kafanikiwa kuwatisha wananchi katika kutofanya yale ambayo hayampendezi yeye.

Na huu ndo utakuwa mwanzo tu. Huko mbeleni ikitokea kuna jambo ambalo halimpendezi yeye binafsi basi hatosita kutumia vyombo vya dola kuwatisha watu ili waache kufanya walichokuwa wamepanga kufanya.

Hiyo ndo Tanzania mpya. Tanzania ya MWENYE ENZI, Mtukufu rais John Pombe Joseph Magufuli [nahisi pia tutalazimishwa kuyatumia majina yake yote manne la sivyo wataokiuka watatafutwa na kuadhibiwa, hata kama wapo mitandaoni].

Na nyie wachora vikatuni nahisi dawa yenu inakorogwa huko maabara. Kama mkiendelea kumchora vibaya MWENYE ENZI, MTUKUFU rais John Pombe Joseph Magufuli basi siku zenu zinahesabika.

Yakiwatokea ya kutokea msije lalama eti sikuwaambia! Shauri yenu.

UPDATE:

Raundi 1.

Magufuli 1, UKUTA 0.

Mkuu NN usisumbuke sana kutafakari suala hili. Rudisha tu taswira ya zile picha za mauaji ya Mwangosi na ukweli kwamba ndio ilishatoka hivyo bila Watanzania kuonyesha mshtuko wa kutokubaliana na hiyo kitu. (Hadi sasa nashangaa jinsi kesi ile ilivyofufuliwa na kukamilishwa). Ndipo ujue kuwa hakuna unyanyasaji unaoweza kuwainua Watanzania washtuke na kupigania haki zao.

Just try to exercise your faculties and see if you can come up with anything (at all) that may move Tanzanians to detest oppression and act resolutely to deter impunity. Read the multitude of comments by folks who pander to dictatorial authority. You'll be lost. Can you imagine guys feeling triumphant that finally UKUTA has given in to police and army threats? We're simply suckers for tyrannical leadership.
 
Sipendi Ccm wala wapinzani uchwara wanaokula ruzuku kila mwezi.siasa za kweli hazinaga ruzuku,jiandaeni vizuri next time.
 
Hebu cheki huko kwingine jinsi watu wasivyowaogopa polisi.

Mtu zinaingia kitaa kuzipiga na polisi.

Watanzania tunayaweza haya?



Yaani mtanzania akapambane na polisi kwa ajili ya kutetea wezi wa mali ya umma? Kwa ajili ya kupinga reli ya kati kujenga kwa standard gauge?
Aandamane kupinga serikali kuhamia Dodoma?
Yaani mtanzania mwenye akili timamu aandamane kupinga tanzania ya viwanda na ajira tele?!!
Khaaa!! Unaumwa wewe...
 
Back
Top Bottom