Maandamano ya UKUTA yasipofanyika...

Maandamano ya UKUTA yasipofanyika...

Hawa CHADEMA wanapenda sana kulisumbua jeshi la polisi na serikali kiujumla. Wamepiga ngoma na kuilazimisha serikali iicheze hiyo ngoma na kweli imecheza.

Najiuliza tu hivi ikitokea wakaahirisha maandamano yao hiyo September mosi hadi October, je polisi wataendelea kufanya hayo mazoezi ya kuzuia?

Na je ikifika October pia wakasema wanaahirisha hadi November, je pia maigizo yataendelea?? Ni wazi CHADEMA wameamua kuichezea akili dola na serikali, hawa CHADEMA they're very creative.
Kama wewe siyo nabii basi ni Mbowe, ulijuwaje UKUTA hadi October?...sasa hivi maandamano ya polisi yatakuwa kimya kimya, siyo yale ya hadharani tena.
 
Ulivyo na hila
Eti Magu 1 na Ukuta 0

weka
Watanzania 10
Wanywa viroba 0
 
UKUTA nyang'anyang'a, ......ndembendembe,....mlalo wa Mende kifo cha Mende CHAAAALIIIII
 
Mleta Uzi nafikiri utakuwa na vimelea vya utabiri tumia kipawa chako vizuri, na Nina mpango wakuja kuwa nakuomba unisaidie kubet mechi
 
Kama UKUTA wakinywea na mwishowe kutokufanya hayo maandamano yao ambayo wamepanga kuyafanya hiyo tarehe 1 mwezi ujao, basi mheshimiwa MWENYE ENZI, MTUKUFU rais Magufuli atakuwa amepata ushindi mkubwa sana.

Hayo maandamano yasipotokea atakuwa kafanikiwa kuwatisha wananchi katika kutofanya yale ambayo hayampendezi yeye.

Na huu ndo utakuwa mwanzo tu. Huko mbeleni ikitokea kuna jambo ambalo halimpendezi yeye binafsi basi hatosita kutumia vyombo vya dola kuwatisha watu ili waache kufanya walichokuwa wamepanga kufanya.

Hiyo ndo Tanzania mpya. Tanzania ya MWENYE ENZI, Mtukufu rais John Pombe Joseph Magufuli [nahisi pia tutalazimishwa kuyatumia majina yake yote manne la sivyo wataokiuka watatafutwa na kuadhibiwa, hata kama wapo mitandaoni].

Na nyie wachora vikatuni nahisi dawa yenu inakorogwa huko maabara. Kama mkiendelea kumchora vibaya MWENYE ENZI, MTUKUFU rais John Pombe Joseph Magufuli basi siku zenu zinahesabika.

Yakiwatokea ya kutokea msije lalama eti sikuwaambia! Shauri yenu.

UPDATE:

Raundi 1.

Magufuli 1, UKUTA 0.
Kumbe ulijua hakuna maandamano!
 
NI UJINGA KUANZISHA MOVEMENT AMBAYO HUTOIMALIZA.... CHADEMA TOKA MWANZO WALISHAJUA POLISI HAITARUHUSU HUO UPUUZI WAO LAKINI WAKAANZISHA.


NILIFIKIRI WAMEJIANDAA KWA LOLOTE KUMBE NI MBWEMBWE TU.


JPM WANYOOSHE HAO.
 
... I hate guys who are kissing others guys ass... duniani hakuna Mtukufu isipokuwa Mungu pekee.Sasa wewe kumuita binadamu mwenzako mtukufu ni sawa na kumkufuru Mungu..hizi njaa ZENU na kujipendekeza kwenu kutawapeleka pabaya

Swissyou
Ndugu yangu inaelekea haujamuelewa. Wewe na yeye mnaongelea kitu kimoja; hajamtukuza amemkebehi tu.
 
Back
Top Bottom