ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,773
- 35,992
Ningetamani haya maandamano yatokee na sisi tufanye mapinduzi dhidi ya mafisadi na viongozi wahuni, lakini Kwa vyovyote hili halitawezekana
Mafisadi na wahuni watafanikiwa kufanya uchaguzi fake Kwa amani na kujitangaza kushinda na baadaye kujiapisha na kupigiwa mizinga na jeshi letu,
Sababu Kwa nini maandamano hayatafanikiwa
1. Hakuna kiongozi wa maandamano
Yaani watu wanahamisishwa waandamane hawana kiongozi wao wa ku organise
2 Kuandamana kuelekea wapi na ujumbe Gani?
Watu hawaelewi wataandamana kuelekea wapi? Ikulu? Vituo vya police? Kambi za jeshi? Serikali za mitaa? Ofisi ya mkuu wa mkoa?
Yaani mtu wa Ngara, Tandahimba, Mwanga, Iramba, Katavi n.k ataamka anaandamana vipi? Si kuonekana chizi mtaani
3. Agenda za maandamano hazipo wazi?
Tunapinga uchaguzi?
Tunapinga ufisadi?
Tunapinga utekaji na mauaji?
Kuuza bandari?
Masai kukosa makazi?
Yaani watu waandamane Kwa lipi zito?
Nadhani ingekuwa agenda 1 tu. Kama Kenya wao walipinga mfumko wa bei hasa unga na mkate na walifanikiwa.
Napel walipinga ufisadi
4 Ujumbe haufiki Kwa Watanzania wengi.
Hamasa za maandamano zipo mtandaoni tu, ila watu wengi hawana muda na mtandao wala hawajui nini kipo huko, ingekuwa maandamano yanatangazwa kwenye redio, TV na magazetini hapo hii kampeni ingefikia wengi
5. Watanzania wengi washaamua kutopiga kura.
6. Hofu na unafiki wa Watanganyika.
Watanganyika wataandika mtandaoni ila kwenye vitendo ni makondoo na mijitu mijinga mno
7. Nguvu ya mafisadi
Mafisadi yameungana na yapo tayari kuhakikisha maandano hayafanikiwi.
Yanahonga watu na viongozi
8. CHADEMA kutokubeba hii agenda ya maandamano
Hiki ndo Chama kina wafuasi wengi, kukaa kimya Kuna ashiria haya ni maandano hewa tu
Mafisadi na wahuni watafanikiwa kufanya uchaguzi fake Kwa amani na kujitangaza kushinda na baadaye kujiapisha na kupigiwa mizinga na jeshi letu,
Sababu Kwa nini maandamano hayatafanikiwa
1. Hakuna kiongozi wa maandamano
Yaani watu wanahamisishwa waandamane hawana kiongozi wao wa ku organise
2 Kuandamana kuelekea wapi na ujumbe Gani?
Watu hawaelewi wataandamana kuelekea wapi? Ikulu? Vituo vya police? Kambi za jeshi? Serikali za mitaa? Ofisi ya mkuu wa mkoa?
Yaani mtu wa Ngara, Tandahimba, Mwanga, Iramba, Katavi n.k ataamka anaandamana vipi? Si kuonekana chizi mtaani
3. Agenda za maandamano hazipo wazi?
Tunapinga uchaguzi?
Tunapinga ufisadi?
Tunapinga utekaji na mauaji?
Kuuza bandari?
Masai kukosa makazi?
Yaani watu waandamane Kwa lipi zito?
Nadhani ingekuwa agenda 1 tu. Kama Kenya wao walipinga mfumko wa bei hasa unga na mkate na walifanikiwa.
Napel walipinga ufisadi
4 Ujumbe haufiki Kwa Watanzania wengi.
Hamasa za maandamano zipo mtandaoni tu, ila watu wengi hawana muda na mtandao wala hawajui nini kipo huko, ingekuwa maandamano yanatangazwa kwenye redio, TV na magazetini hapo hii kampeni ingefikia wengi
5. Watanzania wengi washaamua kutopiga kura.
6. Hofu na unafiki wa Watanganyika.
Watanganyika wataandika mtandaoni ila kwenye vitendo ni makondoo na mijitu mijinga mno
7. Nguvu ya mafisadi
Mafisadi yameungana na yapo tayari kuhakikisha maandano hayafanikiwi.
Yanahonga watu na viongozi
8. CHADEMA kutokubeba hii agenda ya maandamano
Hiki ndo Chama kina wafuasi wengi, kukaa kimya Kuna ashiria haya ni maandano hewa tu