Maandamano ya kumpongeza Rais Magufuli Mbeya

Maandamano ya kumpongeza Rais Magufuli Mbeya

Mji wa mbeya umefurika watu wanaompongeza JPM kwa kazi nzuri anazoendelea kuwatendea wananchi. Ni watu wa kada zote walimu, wafabyabiashara, watumishi mbalimbali. Mytake upinzani ujitafakari mheshimiwa anakubarika mno kwa namna watu walvofurika huwez kujua n jimbo la mh SuguView attachment 1051763View attachment 1051766View attachment 1051767

Sent using Jamii Forums mobile app
kama ni maandamano hayo,mbona hakuna bango lolote linaloonyesha hicho ulichoandika.acha uhuni wewe.
 
Sio willing yao by command
Screenshot_2019-03-23-17-18-14.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii sio sawa kabisaa...

Mimi ni mkazi wa mbeya,nanikaa na mtoto wa dada ambaye ni mwanafunzi wa secondary fulani hapahapa mjini

Aya maandamano ni maigizo ya kufa mtu,mkurugenzi na maafisa elimu ndio waliosuka hii

Wanafunzi wameambiwa leo lazima kwenda kwenye ayo maandamano,usipoenda kunaadhabu kali zitatolewa

Pia walioenda wengi ni walimu na wafanya kazi,ila under pressure..(ili kuongeza hamasa,ama kuonesha mkurugenzi,na mkuu wa mkoa wako begabega na mkuu,)

Sababu kuu ni maandalizi ya ujio wa mkuku kwenye mei mosi ya mwaka huu,ndio atakua mgeni lasmi..(lakini anasuprise yake,mark my word,HII NI MBEYA,PEOPLE AINT DUMB AS HE THINK WE ARE IN MBEYA)
 

👆👆 Exactly...imeniuma saana,jinsi hawa wakurugenzi wanaendesha mambo,

Wanaweza fanya chochote kumfurahisha mkulu,bila kuangalia athari zake...(wanafanya watumishi wa serikali kama watumwa)

👆👆 kilicho niuma zaidi wanawatumia adi wanafunzi wa shule,tena kwa kuwashurutisha,

Wamewatembeza watoto toka ruandanzovwe adi uwanja wa sabasaba,harafu wamekaa na njaa..watoto wamerudi wamechoka,harafu for what! Ili mkurugenzi am impress mkulu tuu,ampe moyo wa kuja kwenye mei mosi kama mgeni rasmi
 
Mji wa mbeya umefurika watu wanaompongeza JPM kwa kazi nzuri anazoendelea kuwatendea wananchi. Ni watu wa kada zote walimu, wafabyabiashara, watumishi mbalimbali. Mytake upinzani ujitafakari mheshimiwa anakubarika mno kwa namna watu walvofurika huwez kujua n jimbo la mh SuguView attachment 1051763View attachment 1051766View attachment 1051767

Sent using Jamii Forums mobile app
Swali je sale ambao hawakubaliani na Magufuli wakiandamana kupinga maovu anayoyafanya mtaruhusu?
 
Naishi mbeya town ila sijaona maandamano...huenda yana wenyewe
 
1553319677256.jpeg

Wengi wamekuwa wakijiuliza inakuwaje wananchi wa Mbeya , mkoa ambao Tangu Rais achaguliwe hajawahi kukanyaga , Mkoa unaoongoza kwa ajali za kutisha za magari kutokana na uduni wa barabara baada ya wenye mamlaka kujiapiza kutoziboresha ili kuwakomesha wananchi walioikataa ccm kidemokrasia eti wananchi waandamane kuunga mkono juhudi ?

Ukweli ni huu hapa , maandamano yale yaliwezeshwa kwa watu kupewa fedha taslimu , watu wamelipwa kuanzia elfu 3 , 5 , hadi elfu 10 kulingana na hadhi ya muhusika , malipo yalisimamiwa na watendaji wa vijiji na wajumbe wa nyumba 10 , bado haijafahamika kilikotoka kitita hicho ( tunaendelea kufukunyua ) , sare nyingi mpya za ccm ziligawiwa , angalieni vizuri mavazi ya waandamanaji , pamoja na wafanyakazi kutishwa wasipoandamana lakini pia walilipwa posho kwa viwango tofauti kulingana na hadhi .

Watu wanajiuliza kuna kipi kilichofanyika hadi watu wa Mbeya waandamane , mbona Chato hakujawahi kufanyika maandamano kama hayo pamoja na neema ya uwanja wa ndege waliojengewa ? Ama hakika propaganda za ccm ni rahisi mno kuzing'amua.

SIRI IMEFICHUKA
 
Wengi wamekuwa wakijiuliza inakuwaje wananchi wa Mbeya , mkoa ambao Tangu Rais achaguliwe hajawahi kukanyaga , Mkoa unaoongoza kwa ajali za kutisha za magari kutokana na uduni wa barabara baada ya wenye mamlaka kujiapiza kutoziboresha ili kuwakomesha wananchi walioikataa ccm kidemokrasia eti wananchi waandamane kuunga mkono juhudi ?

Ukweli ni huu hapa , maandamano yale yaliwezeshwa kwa watu kupewa fedha taslimu , watu wamelipwa kuanzia elfu 3 , 5 , hadi elfu 10 kulingana na hadhi ya muhusika , malipo yalisimamiwa na watendaji wa vijiji na wajumbe wa nyumba 10 , bado haijafahamika kilikotoka kitita hicho ( tunaendelea kufukunyua ) , sare nyingi mpya za ccm ziligawiwa , angalieni vizuri mavazi ya waandamanaji , pamoja na wafanyakazi kutishwa wasipoandamana lakini pia walilipwa posho kwa viwango tofauti kulingaba na hadhi .

Watu wanajiuliza kuna kipi kilichofanyika hadi watu wa Mbeya waandamane , mbona Chato hakujawahi kufanyika maandamano kama hayo pamoja na neema ya uwanja wa ndege waliojengewa ? Ama hakika propaganda za ccm ni rahisi mno kuzing'amua.

SIRI IMEFICHUKA
Hata km ni kweli,hii sio airi,ni umbea umefichuka,weka evidence tuidanyie kazi 2020

Sent using Brain
 
Wengi wamekuwa wakijiuliza inakuwaje wananchi wa Mbeya , mkoa ambao Tangu Rais achaguliwe hajawahi kukanyaga , Mkoa unaoongoza kwa ajali za kutisha za magari kutokana na uduni wa barabara baada ya wenye mamlaka kujiapiza kutoziboresha ili kuwakomesha wananchi walioikataa ccm kidemokrasia eti wananchi waandamane kuunga mkono juhudi ?

Ukweli ni huu hapa , maandamano yale yaliwezeshwa kwa watu kupewa fedha taslimu , watu wamelipwa kuanzia elfu 3 , 5 , hadi elfu 10 kulingana na hadhi ya muhusika , malipo yalisimamiwa na watendaji wa vijiji na wajumbe wa nyumba 10 , bado haijafahamika kilikotoka kitita hicho ( tunaendelea kufukunyua ) , sare nyingi mpya za ccm ziligawiwa , angalieni vizuri mavazi ya waandamanaji , pamoja na wafanyakazi kutishwa wasipoandamana lakini pia walilipwa posho kwa viwango tofauti kulingaba na hadhi .

Watu wanajiuliza kuna kipi kilichofanyika hadi watu wa Mbeya waandamane , mbona Chato hakujawahi kufanyika maandamano kama hayo pamoja na neema ya uwanja wa ndege waliojengewa ? Ama hakika propaganda za ccm ni rahisi mno kuzing'amua.

SIRI IMEFICHUKA
wanajua mtu hakubaliki wanatafuta njia za kuhalalisha haramu! Lakini watashindwa mashetani
 
Back
Top Bottom