Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,470
- 283,859
uko sahihi .Mbeya si wana raisi wao wanamuita sugu.
uko sahihi .Mbeya si wana raisi wao wanamuita sugu.
Tarumbeta la SACCOS kwenye ujinga wakeView attachment 1052612
Wengi wamekuwa wakijiuliza inakuwaje wananchi wa Mbeya , mkoa ambao Tangu Rais achaguliwe hajawahi kukanyaga , Mkoa unaoongoza kwa ajali za kutisha za magari kutokana na uduni wa barabara baada ya wenye mamlaka kujiapiza kutoziboresha ili kuwakomesha wananchi walioikataa ccm kidemokrasia eti wananchi waandamane kuunga mkono juhudi ?
Ukweli ni huu hapa , maandamano yale yaliwezeshwa kwa watu kupewa fedha taslimu , watu wamelipwa kuanzia elfu 3 , 5 , hadi elfu 10 kulingana na hadhi ya muhusika , malipo yalisimamiwa na watendaji wa vijiji na wajumbe wa nyumba 10 , bado haijafahamika kilikotoka kitita hicho ( tunaendelea kufukunyua ) , sare nyingi mpya za ccm ziligawiwa , angalieni vizuri mavazi ya waandamanaji , pamoja na wafanyakazi kutishwa wasipoandamana lakini pia walilipwa posho kwa viwango tofauti kulingana na hadhi .
Watu wanajiuliza kuna kipi kilichofanyika hadi watu wa Mbeya waandamane , mbona Chato hakujawahi kufanyika maandamano kama hayo pamoja na neema ya uwanja wa ndege waliojengewa ? Ama hakika propaganda za ccm ni rahisi mno kuzing'amua.
SIRI IMEFICHUKA
Mi nimeandamana lakini sijapewa kamanda. Ebu nirushie namba ya aliyekuwa anagawa nidili naye?View attachment 1052612
Wengi wamekuwa wakijiuliza inakuwaje wananchi wa Mbeya , mkoa ambao Tangu Rais achaguliwe hajawahi kukanyaga , Mkoa unaoongoza kwa ajali za kutisha za magari kutokana na uduni wa barabara baada ya wenye mamlaka kujiapiza kutoziboresha ili kuwakomesha wananchi walioikataa ccm kidemokrasia eti wananchi waandamane kuunga mkono juhudi ?
Ukweli ni huu hapa , maandamano yale yaliwezeshwa kwa watu kupewa fedha taslimu , watu wamelipwa kuanzia elfu 3 , 5 , hadi elfu 10 kulingana na hadhi ya muhusika , malipo yalisimamiwa na watendaji wa vijiji na wajumbe wa nyumba 10 , bado haijafahamika kilikotoka kitita hicho ( tunaendelea kufukunyua ) , sare nyingi mpya za ccm ziligawiwa , angalieni vizuri mavazi ya waandamanaji , pamoja na wafanyakazi kutishwa wasipoandamana lakini pia walilipwa posho kwa viwango tofauti kulingana na hadhi .
Watu wanajiuliza kuna kipi kilichofanyika hadi watu wa Mbeya waandamane , mbona Chato hakujawahi kufanyika maandamano kama hayo pamoja na neema ya uwanja wa ndege waliojengewa ? Ama hakika propaganda za ccm ni rahisi mno kuzing'amua.
SIRI IMEFICHUKA
Nani akurushie hela wewe kihiyo??Mi nimeandamana lakini sijapewa kamanda. Ebu nirushie namba ya aliyekuwa anagawa nidili naye?
Ukweli ni huu hapa , maandamano yale yaliwezeshwa kwa watu kupewa fedha taslimu , watu wamelipwa kuanzia elfu 3 , 5 , hadi elfu 10 kulingana na hadhi ya muhusika , malipo yalisimamiwa na watendaji wa vijiji na wajumbe wa nyumba 10 , bado haijafahamika kilikotoka kitita hicho ( tunaendelea kufukunyua ) , sare nyingi mpya za ccm ziligawiwa , angalieni vizuri mavazi ya waandamanaji , pamoja na wafanyakazi kutishwa wasipoandamana lakini pia walilipwa posho kwa viwango tofauti kulingana na hadhi .
Ndo tatizo la uzuzu wenzako wanapiga pesa wewe unaendaenda sasa unataka nani akupe pesa ya bure au unatangaza biashara ya Amber ubwabwa,,?Mi nimeandamana lakini sijapewa kamanda. Ebu nirushie namba ya aliyekuwa anagawa nidili naye?
Ni maandamano ya wanaccm siyo maandamano ya wananchiKwa bahati nzuri au mbaya, hakuna hata mmoja wa hao anayeweza kutoa ushuhuda kwamba alipokea chochote!
Elfu 3, mtu unapokea, unanunua nini kilo ya nyama? Halafu-----------! Mwananchi huyu CHADEMA (Sugu) atamfuata na kujadiliana naye chochote aweze kutambua maana ya hiyo Tsh 3,000/? Kuuza haki zake na mengi mengine?
Sisi JF tutayajadili haya na kuyaacha hapa, je CHADEMA na wenzenu mtayatumia haya kuwaelimisha wananchi hao?
Niulize: hizo sare za 'Bluu' ni za akina nani?
Au sioView attachment 1052611
Maandamano ya wananchi hayana sare mjomba , mwenye tshirt , mwenye shati , mwenye jinzi wote ungewaona
Nchi ya kisanii na uchumi nao umekuwa wa kisaniiTarumbeta la SACCOS kwenye ujinga wake
Uliandamana kutokea wapi kwenda wapiMi nimeandamana lakini sijapewa kamanda. Ebu nirushie namba ya aliyekuwa anagawa nidili naye?
Kwahiyo tatizo lake ni CHADEMA, kweli imewaweka kwenye kibano, na bado ngoja hao CHADEMA waanze mikutano ndio utajua wao ni nani.Chama kikuu cha upinzani hivi sasa ni ACT wazalendo CHADEMA kwishineeeeeeeee.