Maandamano ya kumpongeza Rais Magufuli Mbeya

Maandamano ya kumpongeza Rais Magufuli Mbeya

Kwa bahati nzuri au mbaya, hakuna hata mmoja wa hao anayeweza kutoa ushuhuda kwamba alipokea chochote!

Elfu 3, mtu unapokea, unanunua nini kilo ya nyama? Halafu-----------! Mwananchi huyu CHADEMA (Sugu) atamfuata na kujadiliana naye chochote aweze kutambua maana ya hiyo Tsh 3,000/? Kuuza haki zake na mengi mengine?

Sisi JF tutayajadili haya na kuyaacha hapa, je CHADEMA na wenzenu mtayatumia haya kuwaelimisha wananchi hao?

Niulize: hizo sare za 'Bluu' ni za akina nani?
Ni wananchi kinda kinda yaani yuvisisiem na wanasisiemu wa kesho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dogita Silaa alikua mzee wa data ndio maana walikuwa hawamuwezi
Kwa hiyo nyie hamkwenda kuandamana. Mmeleta habari za "KISIMULIWA"?
Duh akili za makamanda wa siku hizi!
Tunammiss sana Dr. Alikuwa haongei kitu bila data.
Lakini tangu CHADEMA iuzwe kwa CCM 2015 na akina Tundu - mwendo ni kuropokaropoka tu kwa habari za kusimuliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeeleweka tayari,nenda lumumba kachukue buku 7 yako.Watu wengine cjui mnatumia akili gan kupost vitu hivi ambavyo kichwa Cha post kinakinzana na ushahid wa picha uliouweka.Halafu mafuriko sio box la kupigia kura,Lowasa mwaka 2015 popote alipokuwa anaenda watu walikuwa wanafurika Sana lkn at the end wakaja kumkataa kwenye sanduku la kupigia kura.Mantiki yangu Ni kwamba tusipende kutengeneza mitazamo ambayo siku lingine itakuja kuleta taharuki kwa kujiuliza kwamba tumeshindwa uchaguzi, lkn mbona watu walikuwa wanafurika? Tatizo Nini,jibu la kijinga na akili fupi linakuja tutakuwa tumibiwa kura.Hao waliofurika wengine so wapga kura,wengine huenda wamelazimishwa tu na mfumo unaotengenezwa kuanzia kwa DED,s hasa kwa hao watumishi wa serikali.Nitoe tu Rai post km hizi Ni za kuzipuuza,Ni post zenye kujenga taswira ya chuki hapo baadae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom