Maandamano ya kumpongeza Rais Magufuli Mbeya

Maandamano ya kumpongeza Rais Magufuli Mbeya

Mji wa mbeya umefurika watu wanaompongeza JPM kwa kazi nzuri anazoendelea kuwatendea wananchi. Ni watu wa kada zote walimu, wafabyabiashara, watumishi mbalimbali. Mytake upinzani ujitafakari mheshimiwa anakubarika mno kwa namna watu walvofurika huwez kujua n jimbo la mh SuguView attachment 1051763View attachment 1051766View attachment 1051767

Sent using Jamii Forums mobile app
watu wenyew hata jiti hawajafika alafu unasema mbeya imefurika,chama kinakutesa mkuu
 
Unategemea nini ilhali Tanzania ni nchi ya 153 duniani kwa kipimo cha furaha. Hii ni dalili mojawapo. Kuunga juhudi kwa lazima wakati moyoni watu wanamajonzi
Mtu ukiwa unatafakari kitu kigumu kwa ajili ya matokeo mazuri lazima unune.Hivyo watanzania Tuko kwenye tafakari Kwann sisi tunawapigia magoti mabeberu na hali nchi yetu ni tajiri,soon tutakuwa na furaha chini ya jemedari wetu Dr. Magufuli.
 
Mbona zimejaa njano tupu na kijani za sare za ccm? Nawaonea uruma sana waalimu wanavyopelekeshwa kwenye siasa za siasa
 
Mji wa mbeya umefurika watu wanaompongeza JPM kwa kazi nzuri anazoendelea kuwatendea wananchi. Ni watu wa kada zote walimu, wafabyabiashara, watumishi mbalimbali. Mytake upinzani ujitafakari mheshimiwa anakubarika mno kwa namna watu walvofurika huwez kujua n jimbo la mh SuguView attachment 1051763View attachment 1051766View attachment 1051767

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwajui vizuri watu wa Mbeya wewe. Kufurika ndio alama ya kukubalika? Labda wanataka kumwona kwa mshangao na njia pekee ya kumwona ni kucheza KITUMBWIKE anachokipenda au LIPENENGA au LING'OMA. Watu wa mbeya ni lobysts usipime. Wapole na wakarimu lakini mioyoni mwao usipowagusa imekula kwako. Hata wakati wa kampeni alipoenda walifurika tena zaidi ya hao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom