Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,772
- 25,413
Mji wa mbeya umefurika watu wanaompongeza JPM kwa kazi nzuri anazoendelea kuwatendea wananchi. Ni watu wa kada zote walimu, wafabyabiashara, watumishi mbalimbali. Mytake upinzani ujitafakari mheshimiwa anakubarika mno kwa namna watu walvofurika huwez kujua n jimbo la mh SuguView attachment 1051763View attachment 1051766View attachment 1051767
Sent using Jamii Forums mobile app
Hitler na Idd Amini nae alifanyiwa maandamano sana...
Reality ni kwamba,this nigga is buying time tu,he has to deal with reality and deliver what people want!
All these ni charade tupu!