Maandamano ya kumpongeza Rais Magufuli Mbeya

Maandamano ya kumpongeza Rais Magufuli Mbeya

Mji wa mbeya umefurika watu wanaompongeza JPM kwa kazi nzuri anazoendelea kuwatendea wananchi. Ni watu wa kada zote walimu, wafabyabiashara, watumishi mbalimbali. Mytake upinzani ujitafakari mheshimiwa anakubarika mno kwa namna watu walvofurika huwez kujua n jimbo la mh SuguView attachment 1051763View attachment 1051766View attachment 1051767

Sent using Jamii Forums mobile app

Hitler na Idd Amini nae alifanyiwa maandamano sana...

Reality ni kwamba,this nigga is buying time tu,he has to deal with reality and deliver what people want!

All these ni charade tupu!
 
Kupenda/kutopenda au kukubalika/kutokubalika hakulazimishwi. Mnahangaika sana hadi mnatia huruma. Kikubwa huyo mnaemuangakia ameshaishiwa pumzi. 2020 ni sura mpya itasimama kupambana na upinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupenda/kutopenda au kukubalika/kutokubalika hakulazimishwi. Mnahangaika sana hadi mnatia huruma. Kikubwa huyo mnaemuangakia ameshaishiwa pumzi. 2020 ni sura mpya itasimama kupambana na upinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawajalazishwa mkuu... si unaona walivofunika mwenyewe. wamekuja kwa mapenzi yao na si hao tu ni karibia watumishi wote
 
Back
Top Bottom