Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,706
Dada mambo ya dini yahasiana na nini na utendaji wa Kikwete? sidhani kama udini utatufikisha popote sana sana vizazi vyetu vitaangamia kwa sumu za aina yako unazoziweka hapa.Usiyemkubali ni wewe na Magwanda wenzako. Tena nna uhakika isiyokubalika ni dini yake lakini si utendaji wake, kwani mpaka sasa ameshawapita wote waliomtangulia kwa maendeleo ya kutolewa mfano.