<br />Achaneni na huyu bi kizee FF zake zimekwisha, hebu tuzungumzie issue iliyopo mbele yetu, huyu anatumwa kuvuruga mijadala yenye tija kwa taifa letu. Mkizidi kumjibu anapata bichwa.<br />
<br />
Moja ya mabongo lisomeke "JK kama nchi imekushinda kuwa muungwana achia kazi, singizia chochote hata afya (ingawa hapa husingizii), tutakusamehe"
NA VILE VILE JENGO LA MAHAKAMA YA RUFAA LIMEUZWA YEYE HAFAHAMU............. In short Faiza Foksi alikuwa anabusara sana, ukicheki posti zake za siku za nyuma zilikuwa na busara sana........LAKINI ANAKOELEKEA SASA NI MIREMBEnazani una akili za kudown load wewe. Kikwete hapingwi kwa dini yake wala kabira lake. Wewe huyaoni matatizo yanyo ikabili nchi? Wewe ni kipofu?
- ufisadi uda
- wanyama pori kutoroshewa nje ya nchi huoni?
- wananchi kuuwawa kwenye migodi ya dhadabu huoni?
- wananchi kunyang'anywa aridhi yao na kuwapa wazungu huoni?
- ishu ya mafuta huoni? Wala kusikia?
- ghalama za maisha kupanda au wewe unaneemeka na hela za magamba?
- ajira watu wanapeana kiundugu, siku hizi ni vi memo tu ndo vinafanya kazi hayo huyajui?
- wafanya biashara wadogo kunywnyaswa na watawala huyaoni hayo?
- matumizi makubwa ya watawala, magari ya kifahari v8, posho kubwa, kusafiri kila kukicha kwenda ughaibuni huyaoni hayo?
niambie hapo udini na ukabila wa mheshimiwa unaingiaje?
Hayo matawi siyo ishu, kuna wengi tusiopenda magamba, pia kunawasio na vyama kabisa ila wana mapenzi na nchi yao kwahiyo hilo lisikutishe.Mimi ninachojua ughaibuni kuna matawi mengi ya Magamba, sasa nyie mnaoandamana mmetumwa na nani? Chadema??? Kwani USA lipo tawi la Chadema?
shukuruni watanzania ni wapole sana na ndo maana j k na rafiki zake wanagawana nchi kimya kimya tu. Wewe imegine wazungu wanapewa ekari 800000. Je watanzania hawazai tena? Hawaongezeki tena?
Huu ujinga utaupata tanzania peke yake na c kwingine.
Naomba hiyo kwenye nyekundu tuwekee list ya mnaopanga hayo maandamano.
Wewe ulitaka ukanyimwa? hao wazunu wataibeba hiyo ardhi waende nayo kwao?
Halafu hao hao wazungu unaowasema kwa kupewa ardhi waiendeleze haohao ndi unataka kwenda kufanya maandamano kwao, haohao ndio unategemea wanunue mazao yako, haohao ndio unawategeme wakuletee madawa kwa wagonjwa wako, haohao ndio wanaokusomesha huko Merekani, haohao ndio unakwenda kwashtaki kwao wenyewe kwa maandamano? Una akili kweli hapo? au unaenda kumshtaki Kikwete kwa dini yake? Fikiria.
Halafu nyie huko U.S mmekimbia nchi yenu kunufaisaha mataifa ya nje, sasa munajifanya muna uchungu ni nchi hii?
Kwanza wengi wenu mmeenda kwa hela za ufisadi wa wazazi wenu!
Na wewe tupe list ya mnaopinga hayo maandano? kwanza by the way wewe umezaliwa kariakoo na utafia kariakoo, Marekani utaisikia tu redioni, halafu pale nyumbani kwenu ile nyumba inayoangaliana na redio uhuru ndio nyumba duni kuliko zote pale mtaa wa kariakoo na ninawaahidi wana JF wote leo nitaupload image ya kibanda unachoishi ili watu washangae zaidi mtu unaekaa kwenye makazi duni kama wewe ushujaa huu wa kutetea ujinga unautoa wapi?Naomba hiyo kwenye nyekundu tuwekee list ya mnaopanga hayo maandamano.
wewe ulitaka ukanyimwa? Hao wazunu wataibeba hiyo ardhi waende nayo kwao?
Halafu hao hao wazungu unaowasema kwa kupewa ardhi waiendeleze haohao ndi unataka kwenda kufanya maandamano kwao, haohao ndio unategemea wanunue mazao yako, haohao ndio unawategeme wakuletee madawa kwa wagonjwa wako, haohao ndio wanaokusomesha huko merekani, haohao ndio unakwenda kwashtaki kwao wenyewe kwa maandamano? Una akili kweli hapo? Au unaenda kumshtaki kikwete kwa dini yake? Fikiria.
Yani awe mchaga au ****** au msambaa swala la msingi hapa WaTz wanaoishi Washngton DC wanaandamana kumpinga JK. Kule hakuna FFU wala maji yakuwasha. Ni lazima boss wenu aumbuke mtake msitake.
Big up sana ndugu zangu wa Washington dc, tunawaunga mkono na ninaandaa ujumbe wa kuandika kwenye mabango. Safi sana.
Hahaha! Jibu swali langu, Kwa nini JK analalamikiwa na kupingwa na baadhi ya waTZ?? Kama sababu ni dini yake Kipindi Mwinyi ni Rais mbona hakukuwa na maandamano na malalamiko ya kumpinga???JK alipingwa na Waislaam wa kweli wegi sana.
Mwinyi, umesahau kibao alichonaswa Diamond?
kama kwenda kufanya kazi Marekani ni kwenda kunufaisha mataifa ya nje basi mwambie JK awarudishe nyumbani Asha Rose Migiro na Mwanaidi Maajar. hawa ni kwa uchache tu orodha ni kubwa.Watu tunataka MAENDELEO sio MAANDAMANO!
Inaelekea Chadema wanachanganya maneno haya! Wao wanachoweza ku-offer ni maandamano tu!
Halafu nyie huko U.S mmekimbia nchi yenu kunufaisaha mataifa ya nje, sasa munajifanya muna uchungu ni nchi hii?
Kwanza wengi wenu mmeenda kwa hela za ufisadi wa wazazi wenu!
Do you know what first amendment is?Ndugu yangu nimekaa sana DC kwa takriban miaka miwili na Watanzania wengi utawapata mitaa ya Silver spring. hakuna kitu cha namna hiyo ila ni propaganda tu.