Faidha nafikiri wewe unaishi peponi, hayo mashule walimu wako wapi? hicho kilimo njaa inatoka wapi?
Safi sana mkuu, nina imani watazidi kujitokeza wengi zaidi.Tunapanga maandamano ya amani jijini Washington DC Rais Kikwete atakapowasili kwenye kikao cha DICOTA 2011. Tayari watu 150 wamekubasli kushiriki.Hii kumshinikiza kushugulikia swala la ufisadi na matatizo yanayowakabili wananchi wa kawaida. Maandamano yetu yatapokewa na viongozi kutoka United States , State Department. Naye apate Aibu, kwa kucheza na maisha ya watu....Ukitaka kushiriki tuma barua pepe
EliakimMallya@yahoo.com
Update:
Tayari watu 450 wmesha confirm kujumuika katika maandamano haya ya amani....Jamani tuendeleeni, kushirikiana tumuaibishe huyu msanii , mtalii Vasco Dagama a.k.a Dr. Livingstone hadi atoke madarakani.
Kadhalika tumeni barua pepe pamoja na malalamiko kwa wingi kwenda wiegertjr@state.gov ili kupinga Vasco Dagama kupewa VISA na wapambe wake. Ifahamike kwamba mimi siyo mwana CHADEMA wengine wanavyodai. Mimi ni mwana UVCCM tena ngazi ya Juu, lakini Kikwete hakufaa kuwa Rais, ndo maana Watanzania wanaumia. Mapinduzi yanakuja
Wasio na makaratasi, tunachoomba ni sala zenu tu. Watu wanaongezeka sana. Tayari tumefikisha watu 512 ambao wapo marekani ki halali na wako tayari kujiunga nasi kwa ajili ya haya mapinduzi
<br />Yaani wewe unanshangaza kweli kweli, yaani mpaka leo huna habari kuwa shule za sekondari zilizojengwa wakati wa Kikwete ni nyingi kuliko zote zolizojengwa na awamu zote ongezea na mkoloni? Hivi hujui kwa sasa tunavyuo vya waalim kuliko awamu zote?<br />
<br />
Hivi, bila kuwa na shule waalim wangefundisha wapi? unaanza na shule halafu ndio unazalisha waalim, simpo lojik.<br />
<br />
Kuhusu kilimo, yaani hujui kuwa Tanzania sasa hivi ina mazao mengi ikuliko Afrika mashariki yote? ama kweli bado uko mbali na dunia.
Unafikiria kama wabunge wa Dsm... Makal... Meya kasema...Ndio walewael, ukiwauliza kuhusu maendeleo hawataki kuyataja.
Kafanyeni na maandamano kuonesha, mashule yaliyoongezeka, makliniki yaliyoongezeka, ma universirty yaliyoongezeka, mabarabara yaliyoongezeka, kilimo kilichoongezeka, demokrasia iliyoongezeka. Mbona hayo hamuyasemi?
Habari njema ni kwamba, kuna familia moja ya kitajiri ambayo ina interest kubwa Tanzania na wanashngaa kuona taifa letu linavyodidimia. Kwa maana hiyo, wamejitolea kulipia mabango, pamoja na mabasi sita.
1. Basi 2 yataanzia NY (Ni ya watu wa Boston, NY, Long-Island, etc...)
2. Yanayotokea Ohio (Ohio, Maryland, Pensylvania, Michigani etc..)
3. MaBasi ya mwisho yatatokea Atlanta Georgia (Texas, Virginia, Florida, Alabama,Kansas, etc..)
Kwa hiyo kaeni mkao wa Kula, mwisho wa mwezi huu, tunawapa ratiba kamili ya maandamano, yatakayoanzia sehemu ambayo tutawapa kuendelea kwenye Ukumbo wa DICOTA, Ubalozini na hatimaye kumalizika kwnye hoteli atakayofikia FISADI Kikwete. Tutakesha hotelini, chakula kitakuwepo na huduma zote muhimu pia zitakuwepo. Tuko pamoja hadi kieleweki. Wanaotaka kushiriki tumeni barua pepe, kwenda
eliakimmallya@yahoo.com. Mimi ni mwana CCM toka UVCCM lakini naapa ya Kwamba nimechoka na JK. Tunamsubiri Marekani, hata kama ni miaka miwili tunamsubiri, wadhamani wapo
Bora kutokuwa na shule kuliko kuwa na shule zinazozalisha wajinga<br />
<br />
unazungumzia hizo shule zisizokuwa na walimu na wanafunzi wanaokaa chini? Si umeona matunda yake katika matokeo ya kidato cha nne mwaka jana? Zaidi ya asilimia 75 wamepata division 0 na 4. Acha kuongea mashudu, yani pa1 na matokeo hayo bado mnajisifia kuwa mmejenga shule? Hizo sio shule mi huwa naziita incubator za kutotolea mayai. Bora zisingekuwepo 2jue 1.
Unafikiria kama wabunge wa Dsm... Makal... Meya kasema...
Yaani wewe unanshangaza kweli kweli, yaani mpaka leo huna habari kuwa shule za sekondari zilizojengwa wakati wa Kikwete ni nyingi kuliko zote zolizojengwa na awamu zote ongezea na mkoloni? Hivi hujui kwa sasa tunavyuo vya waalim kuliko awamu zote?
Hivi, bila kuwa na shule waalim wangefundisha wapi? unaanza na shule halafu ndio unazalisha waalim, simpo lojik.
Kuhusu kilimo, yaani hujui kuwa Tanzania sasa hivi ina mazao mengi ikuliko Afrika mashariki yote? ama kweli bado uko mbali na dunia.
FaizaFoxy, subiri tunalipua Identity yako. Au Tunakuja kuongea na Salva
mpe hongera mwano... lakini mwambie Rais haamki tu na kusema leo nakwenda marekani.. kesho nakwenda Uk... kesho kutwa s.africa...
Lisa ni rafiki yangu kwenye facebook, namfikishia hili swala sasa hivi ili aweze kulink up na waandaaji wa maandamano haya. na najitolewa kuwaco ordinate hawa wapigania uhuru.Mwingereza achana na huyu mzushi, kaishiwa hana lolote...huwezi amini kwamba nchi hii na kwa nyakati hizi bado tuna mijitu ya namna hii.
My Opinio: Hizi taarifa zimfikie Lisa Rockerfellar am sure he will give a good lead katika hii issue pia (I mean atatoa mchango wake mkubwa either wa mawazo au kifedha).
All the best, huku sisi tupo kwenye maandalizi, soon yatakuja kwa kasi ya kimbunga.
FaizaFoxy, subiri tunalipua Identity yako.
Ni kweli marais wengine hawaamki tu na kupanga safari. Lakini kwa Rais Kikwete nakuhakikishia muda huu anafuturu na kumeza tonge la ugali hukuakitazama Ramani ya dunia kuona ni nchi gani ya kwenda kutembelea.
Unachoongea ni sahihi na nina wasiwasi wale matapeli waliojazana pale ikulu nao ni sehemu ya hili tatizo, maana inawezekana hawa huwa wanaaply event mbalimbali ulaya na marekani then invitation ikija wanamdanganya kwamba Rais amealikwa kumbe si kweli wao wanachoangalia ni posho zao za safari.Unaongea vitu gani wewe? huyu hizo safari zake umeona rais yupi wa design hii achilia Ulaya, hata hapa Africa tu hakuna......huyu kwa taarifa yako, anatuma maombi ya mialiko yeye mwenyewe na wapambe wake. Crap Crap Crap mpaka mwisho.
Unaongea vitu gani wewe? huyu hizo safari zake umeona rais yupi wa design hii achilia Ulaya, hata hapa Africa tu hakuna......huyu kwa taarifa yako, anatuma maombi ya mialiko yeye mwenyewe na wapambe wake. Crap Crap Crap mpaka mwisho.
Kama huamini nikupe website kadhaa Marekani na Ulaya uchaguwe event unayotaka kuhudhuria kama haujaona wamekutumia mwaliko kwenye p.o.box yako na email yako.Mkuu hapo nimecheka sana hadi machozi yameisha....eti JK anajialika mwenyewe duuuuuuu!