Maandamano ya CHADEMA Musoma Mjini - Septemba 22, 2014

Maandamano ya CHADEMA Musoma Mjini - Septemba 22, 2014

wewe casampede unataka wapite kwenye watu wengi ili muwapige risasi halafu baadaye mkaseme amepigwa na kitu kizito toka kwa wananchi?
 
chad.jpg
 
Waambie mkuu! Asidhani wale ni sawa na watu wa Chalinze wavaa vikoi.
Chalinze! kaka kumbuka ustaarabu huanzia pwani kwa hao wavaa vikoi.Ndio maana kamanda Mboe ametangaza nia akiwa huko Pwani.Pia kumbuka wale watu si watu wakukurupukakurupuka bali huanza kutathmini mambo kabla ya kuyaendea.Hukumbuki tu,ishu ya gesi mtwara ulikuwa umesafiri nino mkuu au hukuwa humu kwenye mitandao.Serikali yenyewe inawaheshimu hao vikoi kwani wanawajua vizuri.Kuuana pasipo hatia na ugomviugomvi ni mambo ya kizamani sana.Nilitegemea kijana uhamasishe lkn kumbe unataka kuleta dharau na kutugawa watanzania?
 
Chalinze! kaka kumbuka ustaarabu huanzia pwani kwa hao wavaa vikoi.Ndio maana kamanda Mboe ametangaza nia akiwa huko Pwani.Pia kumbuka wale watu si watu wakukurupukakurupuka bali huanza kutathmini mambo kabla ya kuyaendea.Hukumbuki tu,ishu ya gesi mtwara ulikuwa umesafiri nino mkuu au hukuwa humu kwenye mitandao.Serikali yenyewe inawaheshimu hao vikoi kwani wanawajua vizuri.Kuuana pasipo hatia na ugomviugomvi ni mambo ya kizamani sana.Nilitegemea kijana uhamasishe lkn kumbe unataka kuleta dharau na kutugawa watanzania?

Watu wa pwani kazi yao kukaa vijiweni na kucheza bao tu kutwa.
 
Back
Top Bottom