primking
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 645
- 160
Leo hii maandamano ya CHADEMA yameanza kutoka kata mbalimbali,wapo walioanzia barabara kuu inayotoka Mwanza kuelekea Musoma Mjini.Wapo wanaotokea Bweri,wapo wanaotokea wilaya ya Butiama Etaro watu wote hawa wanaenda kukutania ofisi ya mkuu wa mkoa,ofisi ya mkuu wa wilaya na kwingineko kupinga bunge la katiba linaloendelea.
Picha nitazileta muda si mrefu kwa sisi tunaoanzia Bweri kuelekea mjini kuanzia sasa kwani wananchama wameamua kuandamana usiku na mchana na kusitisha shughuli zote.
Makamanda wote wa Musoma tukutane mahali tulipokubaliana.
m bado nawasisitiza makamanda mtumie sana busara katika hili kwani madhara yake yatawagharimu wengi sana