Wana jf baada ya RPC wa Arusha kuruhusu CHADEMA Kufanya maandamano ya amani na mkutano wa hadhara kesho IGP Mwema ameitisha mkutano na waandishi wa habari na kukataa maandamano. Source taarifa ya habari chanel ten saa moja ucku.
Don't generalize bhana if ua coward ua the only one.Mimi na familia yangu tushaanza maandamano siku nyingi saiv nafanya mpango wakujitengenezea nishati yangu mwenyewe ya Umeme.We are cowards that's why we cannot even fight for our true rights, wanasema eti tuishie kwenye mazungumzo, YAPI na YANINI?
MKuu,Nawaomba ndugu zetu wa Arusha kwa sababu mmepata fursa hiyo, wakilisheni hasira za watanzania kuhusu malipo ya kifisadi yanayotaka kufanywa na hawa mahafizina.... Jk kanitoka rohoni mwangu hadi kichefuchefu..