Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,102
- 22,833
Je kwenye hizo data unachopinga hasa ni nini ?Duh..kumbe ndio mnatoa hapa;
Kumbe Assumsption ni kuwa: Vote turn-out ilikuwa almost 100%(Big NO)
Kikwete Alipata kura: 5,000,000 kati ya kura 18,000,000 zilizopigwa ambayo ni 27%;
Katika 12,000,000 ambao hawakupiga kura, imekadiriwa Dr. Slaa alipata 9,500,000, hivyo ukijumlisha na kura 2,000,000 alizopata ana 64%
Ndizo data zenu hizi?great thinkers??
Kwa kuwa wewe uko sawa kichwani, ni kitu gani kilisababisha turn-out kuwa less than 50% ? Ninavyojua mimi nisiye sawa kichwani turn-out ilikuwa kubwa tu.Mie nilidhani data kama hizi ni wafuta bange pekee ndio wanaoweza kukubali makasa kama haya; kumbe ata wasomi wazima wenye akili timamu nao wanaingia tu kichwakichwa? sasa naamini kuwa Watanzania tuna matatizo makubwa kuliko tunavyodhani, wake up men!!
Mtu yeyote aliyeshiriki au kuufuatilia upigaji kura katika uchaguzi ule, atakubali bila ya shaka kuwa turn-out ilikuwa ni less than 50%; tusiongeeongee vitu kama watu wasio sawa kichwani