Maandamano ya CHADEMA Arusha: Mabomu yarindima, raia wauawa na viongozi wakamatwa

Mbaya zaidi kuna watu humo ndani ya CCM sijui wao hili haliwaumi au wanadhani ndio poaaaaa??? wajua wafanya biashara wengi walichanga pesa na kumsaidia batilda kwenye kampeni na cha ajabu wengi wa wafanyabiashara waliigeuka CCM na kuipigia CHADEMA, Kamanda Mateo hakukubaliana na kupindishwa kwa matokeo kwani alijua fika ile ilikuwa ni kura ya wananchi na kuipinga ni kumwaga dama leo huyo RPC aliye pelekwa Arusha sijui anafanya makusudi akidhani atakuwa IGP akumbuke watu wako kwenye mchakato wa katiba hili litamkuta tuuu aombe kufa mapema tuu.

Na habari nilizo zipata toka kwa mdau mmoja arusha anasema kuna bomu la machozi lilipigwa yapata saa kumi na moja na karibu na New Arusha Hotel na kufanya watu huko Hotelini kuhamia nje upande wa assembly kwani moshi w bomu la machozi ulitinga ndani ya jengo hilo hii yote ni tiali kulihalibu biashara ya hiyo Hotel na kwa ulimwengu kwani sindio nyie Mwaiita Arusha kama Geneva of Africa.

Kumbukeni Fujo kubwa ndani ya nchi hii lazima tuu itaaanzia huko Kanda ya kaskazini kwani watu wa kule hawana dogo wale kuna mchnganyiko na wameru mmhhhh
 
Jamani hamuoni kuwa hii ni strategy ya Mkwere ili watu wasahau kuhusu Dowans. RPC Andengenye alikuwa ameruhusu maandamano, then ghafla from nowhere IGM Mwema katoa amri ya kuyazuia akijua kabisa watu wameshajianda kuandamana. matokeo yake total chaos and confusion. Sasa hivi watu wote wanaongelea habari hii tu, hata Dowans wakilipwa watu watakuwa wako busy na mambo ya arusha tu. Hiyo ndo strategy ya mkwere....
Kama kweli ni 'strategy' basi ni ya kitoto na kijinga... kwani hii inaweza kumtoa madarakani wakati ishu ya Dowans ingeweza kuendelea kujadiliwa bila kumwathiri sana... Unafikiri raia kuuwawa mchezo? NI ishu kubwa sana... ni CRISIS! Kama kuna washauri wake humu wamweleze kabisaaa...
 
Nchi sasa inaingia ktk machafuko. Arusha na Moshi unawakamata Slaa, Mbowe, Ndesa na Lema!!! Intelijensia ya nchi hii iko wapi? Au wanamhujumu Kikwete wampindue?

Amka usingizi wewe.Intelijensia ni kwa ajili ya wananchi.Kwa taarifa yako kanda ya kaskazini ina powerful and influential people kuliko hao unaodhani na hao uliowataja wanajua kwamba hao watu wapo,ila kwa kuwa una uchanga katika historia ya nchi endelea kuropoka.
 
Nafikiri hata washauri wake wakaribu hawamtakii mema kwani wanayomshauri sijui wanayatoa wapi, hata hivyo hakuna la kushangaza kwani aliyataka mwenyewe "ccm kumfia mikononi" we utmuwekaje rostam, chenge, makamba na wengine wengi kama hao kuwa washauri wako mbona hawi kama mbayuwayu au ameshasahau maneno yake mwenyewe kwenye hotuba ya kutishia wafanyakazi na wavuja jasho wa nchi hii? nafikiri hapa kuna shida uchunguzi wa kina ufanyike. something is wrong somwhere.
 
Wakuu,tafadhali nijuzeni dr wetu bado kashikiliwa na police? Pia kuna mtu yeyote ambae ameuawa? Tafadhali mwenye habari kamili anijuze nipo naandaa documentary ambayo nataka niitume amnesty internation, european union, na ofisi ya secretary of states ya wamarekani haraka sana, nina mpango kabambe wa kumuumbua mkwere hasa huko nje anapo jipendekeza na kujifanya mtu safi.
 
Amka usingizi wewe.Intelijensia ni kwa ajili ya wananchi.Kwa taarifa yako kanda ya kaskazini ina powerful and influential people kuliko hao unaodhani na hao uliowataja wanajua kwamba hao watu wapo,ila kwa kuwa una uchanga katika historia ya nchi endelea kuropoka.

Ahsante wewe mwenye upeo na sisi wachanga tukusikilize wewe kinara
 
Wewe ni baadhi ya wana CCM wachache waliofurahia hilo ila kwa taarifa yako CCM wengi hawajapendezwa na yanayotokea Arusha huko ni wewe na Democrasi mfuuu ndio inayo kusumbua nadhani wewe hujawai kutana na kasheshe kama hizi niliziona Mwembechani live wewe unaongea tuuu

 
Kulikuwa hakuna cha kinyume wala nini. Dr. Slaa alishinda kwa 64% na Kikwete 27% ikabidi NEC wachakachue matokeo na kudanganya kuwa waliopiga kura walikuwa ni asilimi 42 tu. Uwongo. JF ilikuwa sahihi tangu mwanzo.

Mkuu, waliojiandikisha kupiga kura ni watu zaidi ya 18,000,000. Kura zinazodaiwa kupigwa na tume ya Kivuitu (Makame) ni 8,000,000. Hivyo kura zilizochakachuliwa ni 12,000,000. Alizopata Kikwete ni kura 5,000,000. Hebu piga hesabu Dr. Slaa alishinda kwa asilimia ngapi. Sasa ushahidi unaoutafuta ni upi ?

Duh..kumbe ndio mnatoa hapa;

Kumbe Assumsption ni kuwa: Vote turn-out ilikuwa almost 100%(Big NO)
Kikwete Alipata kura: 5,000,000 kati ya kura 18,000,000 zilizopigwa ambayo ni 27%;
Katika 12,000,000 ambao hawakupiga kura, imekadiriwa Dr. Slaa alipata 9,500,000, hivyo ukijumlisha na kura 2,000,000 alizopata ana 64%

Ndizo data zenu hizi?great thinkers??

Mie nilidhani data kama hizi ni wafuta bange pekee ndio wanaoweza kukubali makasa kama haya; kumbe ata wasomi wazima wenye akili timamu nao wanaingia tu kichwakichwa? sasa naamini kuwa Watanzania tuna matatizo makubwa kuliko tunavyodhani, wake up men!!

Mtu yeyote aliyeshiriki au kuufuatilia upigaji kura katika uchaguzi ule, atakubali bila ya shaka kuwa turn-out ilikuwa ni less than 50%; tusiongeeongee vitu kama watu wasio sawa kichwani.
 
Jamani huna haja ya kufika chuo kikuu ili ujue wanachofanya cmm na police wao huko AR ni ukiukwaji wa democrasia," even a blind person can see it clearly" nchi hii tunaipenda habari za kupindua zintoka wapi hapa. Tunchotaka ni haki itendeke haraka "justice delayed is justice denied" hivyo nasema haki itendeke haraka sana.
 
mwanzo wa mwisho wa uonevu ndio huu. Kesho maandamano nchi nzima kulaani yaliyotokea na yanayotokea Arusha
 
DR.Slaa amekamatwa muda huu akiwa hotelini kwake Mount Meru pamoja na mbunge wa Moshi mjini na wamepelekwa polisi na ffu muda huu wako njiani wanaenda polisi.
Kikwete and his accomplices may pay dearly for these barbaric acts. Those thugs in CCM must know that we are now ready to die in defense our nation. The stupid police in Arusha and elsewhere who give a blind support to those CCM criminals have their days counted as the peoples power is capable of resisting CCM oppression. Whatever will happen CCM and their demon Kikwete will bear all the blames. We call for the international community to intervene before the situation becomes worse and secure the urgent release of the peoples leaders including the President of our hearts - Dr. Slaa.
 
Back
Top Bottom