Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Mbaya zaidi kuna watu humo ndani ya CCM sijui wao hili haliwaumi au wanadhani ndio poaaaaa??? wajua wafanya biashara wengi walichanga pesa na kumsaidia batilda kwenye kampeni na cha ajabu wengi wa wafanyabiashara waliigeuka CCM na kuipigia CHADEMA, Kamanda Mateo hakukubaliana na kupindishwa kwa matokeo kwani alijua fika ile ilikuwa ni kura ya wananchi na kuipinga ni kumwaga dama leo huyo RPC aliye pelekwa Arusha sijui anafanya makusudi akidhani atakuwa IGP akumbuke watu wako kwenye mchakato wa katiba hili litamkuta tuuu aombe kufa mapema tuu.
Na habari nilizo zipata toka kwa mdau mmoja arusha anasema kuna bomu la machozi lilipigwa yapata saa kumi na moja na karibu na New Arusha Hotel na kufanya watu huko Hotelini kuhamia nje upande wa assembly kwani moshi w bomu la machozi ulitinga ndani ya jengo hilo hii yote ni tiali kulihalibu biashara ya hiyo Hotel na kwa ulimwengu kwani sindio nyie Mwaiita Arusha kama Geneva of Africa.
Kumbukeni Fujo kubwa ndani ya nchi hii lazima tuu itaaanzia huko Kanda ya kaskazini kwani watu wa kule hawana dogo wale kuna mchnganyiko na wameru mmhhhh
Na habari nilizo zipata toka kwa mdau mmoja arusha anasema kuna bomu la machozi lilipigwa yapata saa kumi na moja na karibu na New Arusha Hotel na kufanya watu huko Hotelini kuhamia nje upande wa assembly kwani moshi w bomu la machozi ulitinga ndani ya jengo hilo hii yote ni tiali kulihalibu biashara ya hiyo Hotel na kwa ulimwengu kwani sindio nyie Mwaiita Arusha kama Geneva of Africa.
Kumbukeni Fujo kubwa ndani ya nchi hii lazima tuu itaaanzia huko Kanda ya kaskazini kwani watu wa kule hawana dogo wale kuna mchnganyiko na wameru mmhhhh