Maandamano makubwa Songea!

Maandamano makubwa Songea!

Hawawezi kuacha kuendelea kuua watanzania kwa sababu wanatekeleza amri halali ya mkuu wa majeshi ,Amri Jeshi Mkuu Mh.Jakaya Mrisho Kikwete ambaye ameridhia mauaji nchi nzima
 
shot from behind....hii damu ipo mikononi mwa jk..someday someone is gonna be flown to the Hague with shackles in his feet and cuffs in his hands...system ya kijambazi,polisi majambazi,wanajeshi majambazi..wako busy kuua watu geita,kahama,nyamongo wazungu wako busy wanaiba madini yetu...pambaf
 
jamani muc shutuke mapinduzi yanakuja kwakumwaga damu,bibi TITI angekua hai angewapa mkanda hapadamu bado ndiyo maana RC/RPC akiulizwa juu ya vifo NO maandamano YES ingekua ISRAEL kufa mmoja =1000
 
Tunahitaji Habari zenye hadhi ya JF bila kusahau ku upload picha halisi.
 
Nimefanya mavungumzo na Rpc wa Ruvuma kwa kweli maneno anayoongea ni ya kutokokuwa na huruma wala kujali,nitayaweka mazungumzo hayo hapa muda c mrefu.Haya ndio matatizo ya kuwa na viongozi wasio wenyeji wa mahali husika.

Huyo RPC naye anajua issue yote na kuna mkono wake ndio maana majibu yake toka awali si ya kiungwana kabisa.

Jeshi la POLISI yapaswa kuitwa JESHI LA MAJAMBAZI TANZANIA (JMT).

Kwani sasa siyo walinzi wa Raia na mali zao BALI WAMEKUWA NI WAUAJI WA RAIA NA WEZI WA MALI ZAO.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Hakuna asiyejua,alieidhinisha mauaji haya nchi nzima ni Amiri Jeshi Mkuu,Mh Jakaya Mrisho Kikwete,hana huruma na wananchi wake,anaruhusu mauaji ili wananchi wasidai haki zao,anawatisha wanachi wanapokuwa mikono mitupu bila silaha wakionyesha kuto kuridhishwa na utendaji wa serikali yake,watoto,vijana,wanawake wanaume,wanauawa kila siku kwenye nchi hii bila hatua yeyote

Damu ya hawa wazalendo wa kweli ambao wamekataa kuingia msituni na kushika bunduki,ambao wanaonyesha kutokuridhishwa kwa njia ya wazi,ambao hawajavunja sheria yeyote ya nchi iko mbele ya uso ya mheshimiwa sana Raisi wa nchi hii majibu ya dhuluma anayowafanyia wananchi atakuja kuyapata kabla hajaondoka 2015
Poleni wana Songea ,Majonzi yenu,vilio vyenu,damu yenu itafungua mlango wa haki ,karibuni ,mungu awape ujasiri mukatae kuonea na kunyanyaswa na Jeshi la Polisi lililoagizwa kuua raia wasio na hatia na Kikwete
 
Na hii nayo ya kisiasa!
Polisi wanahusikaje hapo! wrong suspect divert from reality!

Kutochukua hatua za kuzuia mauaji yasiendelee, kupuuzia taarifa kutoka kwa raia, kusema uongo, pia kutumia nguvu kupita kiasi kuzuia waandamanaji kiasi cha kusababisha msiba mwingine.

 
Only in Tanganyika:

Watu wanaandamana kupinga wenzao kuuliwa na majambazi na waandamanaji wanauliwa na mapolisi katili wa Mwema.

Eeh Mwenyezi Mungu kama kosa la Watanganyika ni kuichagua CCM tuondolee hiki kikombe. Ameni

Jamani inatisha sasa ikiwa hii ni 2012 hali iko hivi ikifika 215 tutakua tumepoteza ndugu zetu wangapi kwa ukatili wa namna hii juzitu nakumbuka ndugu zetu albino bado machungu hayatutoka leo tena hawa tena wanauwawa na tukiwa na vyombo vya usalama kibao.kweli ccm naserikali yao wameamua kututoa kafara
 
Polisi wa Mwema haya ndio waliyojifunza ccp moshi......
Wananchi wa songea asubuhi ya leo walikuwa wanaandamana kushinikiza jeshi la polisi lichukue hatua kudhibiti mauaji yanayotokea kila siku mjini hapa. Katika maandamano hayo polisi walianza kuwashambulia wananchi kwa risasi za moto na mabomu ya machozi. mwandishi wa habari hizi amenusurika kupigwa risasi ambayo imempata mtu aliyekuwa jirani yake, ambaye amepoteza maisha hapo hapo. katika mashambulizi hayo mwandishi ameshuhudi watu wawili wamepigwa risasi na kufa hapo hapo. Mpaka na kwenda mtimboni bado risasi za moto zinarindima.


Mwandishi wa TBC akiwa anajihami na risasi za polisi


Mmoja kati ya waliouawa na polisi




Polisi wakifyatua risasi kwa raia


Dimbwi la damu




si mnamwona mwandishi wa YBC alivyo lala hapo chini,lakini kwa roho ngumu atatangaza kuwa hakukuwa na risasi za moto na hakuna aliye uwawa kulikuwa na usalama wa hali ya juu,wakati nalala chini nilikuwa na kwepa mawe kutoka kwa waandamanaji kutoka hapa songea ni mimi ,, wa TBC ,hawataki kusema ukweli kabisaaaaaaaa,NADHANI POLISI WANGE mpiga risasi mtangazi ndio ujumbe ungefika kwa wahusika,lakini kwa wananchi ujumbe haufiki kabisaaa,ni maonezi hadi lini jamani?
 
viongozi+wetu.jpg


wapiga kura wenu wanakufa mpo wapi nyie?
 
Ndio! Kuna police ameuliwa na raia wenye hacra baada ya raia mmoja kuuliwa kwa risasi ya moto
 
Back
Top Bottom