polisi sasa wamechoka,wameona watz mpo wa pole sana sasa wameamuwa kuwaua kama njugu kwani hamna haki ktk nchi hii,angalia pale iringa wamempiga risasi kijana wa chuo kikuu na kusema kuwa jamaa ni jambazi ,baada ya kumpiga risasi waka msachi na kumwibia marehemu pesa zake, haya saizi tena wapo songea kazi jamani
nimewahi sema hapa kuwa sisi wa pangu pa kavu kuuliwa na pilisi ni rahisi sana kwani ni swala la wao kusema jamaa ni ri jambazi tumelikuta na mabumu na bunduki,hapo wamepoteza ushahidi
nadhani ya sondea mtasikia tu,kuwa polisi walikuwa wanajihami na majambazi kutoka msumbiji na baada ya kuwasachi wamekutwa na mabumu ya kurushwa kwa mkono,kazi ipo jamani
poleni wana songea ndio maisha tuliyo jichagulia na hawa polisi wetu
jana nilikuwa naangalia ugiriki jinsi walivyokuwa wakiandamana,yaani polisi wanachofanya ni kuwarudisha nyuma waandamanaji na screen zao bila hata kufyatua risasi za moto,lakini tz jamaa ndio wanakojifunzia kuuwa