Maandamano makubwa Songea!

Maandamano makubwa Songea!

Hali ni tete hapa songea polisi imejeruhi watu na sita nimeshuhudia wakiwa wamekufa ni hali ngumu sana kwani ni mabomu na risasi ndo zinarindima kuzuia maandamano ya wananchi wanaolitaka jeshi la polisi kuwajibika kwa vifo vya raia vinavyofanywa na kundi la siri toka msumbiji!
 
poleni watu wa Söngea. Mtakapopata nafasi ya kuitoa hiki chama madarakani msifanye kosa tena.
 
libya maandamano yalianza mtu moja tu jamaa serekali jipangeni mtakuja kukimbia office zenu na suti zenu tz inawatu wengi kushinda hao polis wenu hamuoni mifano kuna mtu alifikiria kama gaddafi atakimbia kama panya kwenye mitaro msizarau kikiwaka hakuna na igp wala Nani kila mtu atakimbia
 
Too bad...
Hao watu wa Songea ndio ccm sana, ni wakati wa juu sasa wajue mfumo wa utawala uliopo si rafiki na raia wa kawaida!
 
Tayari hadi sasa Raia mmoja ameshafariki kwa kupigwa risasi na polisi hali ni mbaya kupindukia.FFU wamejaa mji mzima wa songea wakitoa kichapo kwa Raia wema,wasio kuwa na hatia.

waongee vizuri tu hao maaskari inawezekana ni wamoja wao..RIP mliopigwa na risasi za polisi na wale wote mliouwawa..😛ray:
 
Sheria za kimataifa zinasemaje kuhusu haki ya watu kuandamana? hawa polisi au mkuu wao hawapashwi kushitakiwa kwa haya mauaji waliyofanya juu ya mauaji?!!!
 
MAJAMBAZI++WAUAWA.jpg


Pichani ni miili ya watu wawili wanaodaiwa kuwa majambazi ambao walipigwa na kuchomwa moto hadi kifo katika eneo la Ruhuwiko manispaa ya Songea mkoani Ruvuma.

Baadhi ya wakazi wa eneo la Ruhuwiko ambao hawakutaka kutaja majina yao walidai kuwa kabla ya tukio hilo watu hao hawakuweza kufahamika majina yao waliwasili eneo hilo majira ya saa tatu asubuhi wakiwa na lengo la kuuwa na kuondoa viungo vya uzazi vya binadamu ambavyo inadaiwa vinauzwa kwa fedha nyingi.


Wananchi hao walidai kuwa watu hao walifika kwa mama mmoja ambao walidai wanamtafuta hatimaye wakiwa wanakunywa katika klabu moja ya pombe za kienyeji inadaiwa wakazi wa eneo hilo waliwatilia mashaka watu hao na kuaanza kuwahoji ambapo inadaiwa baada ya kupata kipigo na kuanza kuchomwa walieleza kwamba wao ni wauaji na walipewa fedha kwa ajili ya kuuwa na kwamba tayari wamekuwa wamefanya matukio kadhaa ya mauaji .

Chanzo cha habari kimebainisha kuwa wauaji hao walidai kuwa wapo 50 na wanatakiwa kuuwa watu zaidi ya 100 wakiwemo wanaume 60 na wanawake 40 kwa kuwaondoa sehemu zao za siri ambazo inadaiwa ni biashara ambayo inawapatia fedha nyingi .

Baada ya wauaji hao ambao walikutwa na shilingi 500,000 kukiri kuwa kazi yao ni kuuwa ndipo wananchi wengi wenye hasira waliamua kuanza kuwapa kipigo kizito kisha kununua petroli na kuanza kuwachoma wakiwa hai .Hadi polisi wanafika katika eneo hilo miili ya watu hao ilikuwa inaendelea kuungua kwa moto.

Uchunguzi umebaini kuwa wakazi wa Ruhuwiko waliamua kuchukua sheria mkononi baada ya matukio ya uharifu na mauaji kujitokeza katika eneo hilo na kwamba hii ni mara ya pili kwa wakazi wa Ruhuwiko kufanya mauaji ya kutisha ambapo miaka 25 iliyopita watu wengine wawili waliodaiwa kuwa ni majambazi sugu waliuwa na kisha miili yao kuchomwa moto.


"Mimi binfasi nimefurahia sana kitendo hiki labda sasa majambazi yataogopa kuendelea kufanya uharifu katika eneo hili,hivi sasa hatuna amani kabisa wizi imekuwa ni jambo la karibu kila siku ,mauaji nayo yanazidi kuendelea ,waharifu wengine wanakamatwa na kuachiwa acha wananchi wajichukulie sheria mkononi'',alisema mama mmoja ambaye hakutaka jina lake kuandikwa.

Kamanda wa polisi wa mkoa wa Ruvuma Michael Kamuhanda amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na polisi bado wanaendelea na uchunguzi.

Chanzo:
MTANGAZAJI: SHERIA MKONONI-WAWILI WACHOMWA HADI KUFA
Bila kificho hata shepu zao zinaonyesha haya majamaa ni mauaji makubwa.
 
Viva JF,kupitia mtandao huu Watz tutaungana kwa Pa1 nafurahi vile kila mkoa kuna memba wa kutosha,bila shaka kiwilaya pia,itakapofika kimtaa na hatimaye kikaya,tz itakuwa imefunguka ktk minyororo ya kifisadi,kibabe na udhalimu.
Mtz aliye ulaya anafaham sasahv kuwa songea si shwari,haya ni maendeleo.Tukumbuke kuwa maadui wa nchi hii hawapendi mafanikio haya,hvyo kama ambavyo wapgania haki wanadhurika basi yawezekana hata JF inatafutwa kwa udi na uvumba.
MUNGU IBARIKI JF
MUNGU IBARIKI TZ
 
haki haipatikani ukiwa umelala kitandani.

Songea piganieni haki yenu.

Mungu bariki tz.

Ameni
 
Police wa siku hizi wanakuwa kimaslahi yasiyokuwa na maana na hayaendani na kiapo chao
 
Its time the hague considers taking our president for poor leadership that has led to various death, e.g arusha, dodoma, songea and all other during the doctors strike, im not a lawyer thou,
 
Back
Top Bottom