Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
inasikitisha sana
Jk ana bahati mbaya kila akiondoka mitaani kinanuka.
Ifike mahara polisi wawe wanatumia akili.
hadi sasa wameuawa raia 2 kwa kupingwa risasi na askari.raia walio na uchungu kwa kuuwawa ndugu zao na watu wanaosadikiwa kutoka msumbiji kuja chukua viungo vya binadamu.mmoja wa majambazi aliuwawa kati ya wawili waliochomwa moto.na kabla hajafa aliteswa na kurekodiwa na raia hadi akataja sehemu walipo lizaboni.lakini polisi wapo kimya.
Hakuna asiyejua,alieidhinisha mauaji haya nchi nzima ni Amiri Jeshi Mkuu,Mh Jakaya Mrisho Kikwete...
Raia wawili wamefia kata ya diwani wa chadema!
si mnamwona mwandishi wa YBC alivyo lala hapo chini,lakini kwa roho ngumu atatangaza kuwa hakukuwa na risasi za moto na hakuna aliye uwawa kulikuwa na usalama wa hali ya juu,wakati nalala chini nilikuwa na kwepa mawe kutoka kwa waandamanaji kutoka hapa songea ni mimi ,, wa TBC ,hawataki kusema ukweli kabisaaaaaaaa,NADHANI POLISI WANGE mpiga risasi mtangazi ndio ujumbe ungefika kwa wahusika,lakini kwa wananchi ujumbe haufiki kabisaaa,ni maonezi hadi lini jamani?
Pasco kwa kutufanya tuamini zaidi atasema hata yeye alikuwepo Songea wakati wa tukio hakuna mauaji ila ni polisi ndio walioshambuliwa tunawasingizia. Mmesahau ya Apollo.si mnamwona mwandishi wa YBC alivyo lala hapo chini,lakini kwa roho ngumu atatangaza kuwa hakukuwa na risasi za moto na hakuna aliye uwawa kulikuwa na usalama wa hali ya juu,wakati nalala chini nilikuwa na kwepa mawe kutoka kwa waandamanaji kutoka hapa songea ni mimi ,, wa TBC ,hawataki kusema ukweli kabisaaaaaaaa,NADHANI POLISI WANGE mpiga risasi mtangazi ndio ujumbe ungefika kwa wahusika,lakini kwa wananchi ujumbe haufiki kabisaaa,ni maonezi hadi lini jamani?
Kamanda wa polisi wa mkoa wa Ruvuma (Kamuhanda) analalamikiwa kwa kulea majambazi ambao wanaua Raia kila kukicha na kuwaibia,wanachi wakienda kumlalamikia anawambia hakuna kitu kama hicho sasa wanasongea wanasema liwalo na liwe hadi kieleweke.
Hivi mtu ukiambiwa wajibika ni kosa? Polisi hawataki kuwajibika, wakiambiwa kwa nia njema kabisa wanachojua ni kupiga na kuua tu basi.
Congratulation! Very well spoken!Kutokana na mauaji ya kila siku yaliyodumu kwa wiki mbili mfululizo kwa kila siku mwananchi mmoja au wawili kuuawa kwa kuchinjwa bila ya sababu yoyote katika manispaa ya Songea wananchi sasa tumechoka na uozo wa serikali isiyokuwa na meno (toothless bull dog) uongozi wa serikali ya magamba katika mkoa wa Ruvuma ni uozo mtupu kuanzia Regional Commissioner Mwambungu sijui kwanini wamekuleta kama RC ungeendelea tu kuwa DC maana kiatu ulichokivaa hakikutoshi, ukiwa kama Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa umeshindwa kuchukua hatua yoyote kwa mauaji yanayokithiri kila siku? umeoza we mzee! kwa RPC ndio kabisaa takataka sijui IGP Mwema anatumia vigezo gani kuteua Ma RPC maana wa mkoa wa Ruvuma hana sifa hata ya kuwa mgambo (labda awe green guard) huyu takataka ananuka rushwa na anafadhili magenge mengi sana ya ujambazi, kuna kipindi kuna bunduki mbili ziliibiwa na tunajua yeye ndio aliyehusika na ule mchezo na kipindi cha utafiti wa kuzipata alikuwa akitusaliti na kuvujisha taarifa kwa watu wake mbinu tulizopanga kuzipata zile bunduki, hadi pale ile task force iliyotoka HQ kuja kubaini hizo bunduki bt baada ya kuzuia kupitisha habari za upelelezi kwa RPC maana walijua anavujisha taarifa. Leo asubuhi watu wengine wawili wameuawa na bado polisi mmelala watu wamechoka! na nawapongeza sana wananchi wa Songea mjini kwa kuandamana leo asubuhi hiyo ndio nguvu ya umma tunataka muamke ili kuishtua hii serikali ya magamba iliyo lala isiyojali maslahi ya wanachi wake. Polisi kwa kuwapiga risasi watu wawili leo maaeneo ya ofisi ya mkuu wa mkoa haitazima uchungu na hisia za wananchi wa Songea waacheni wapige mabomu ya machozi na kupiga risasi za moto lakini lazima polisi wajue wajibu wa kulinda raia wao, na mnabahati leo mission ilikuwa ni kuchoma moto kituo kikuu cha polisi pamoja na nyumba ya huyo kenge RPC na bado harakati zitaendelea tu! ukiwa kama RPC hauwezi ukaletewa madai ya mauaji na ukasema unataka uletewe ushahidi..... ushahidi wakati watu wanakufa! kazi yako ni nini kuomba ushahidi au kutafuta ushahidi? Sasa watu wameamua kukupelekea maiti Nashukuru kweli Tanzania sasa inamebadika watu wanataka haki na wamechoka kuendeshwa na serikali ilijaa kila aina ya rushwa na uozo! Kama JK na timu yake iliyooza imeshindwa kuwawajibisha sisi tutawafunza adabu!
"Without revolution we can't develop"