Tatizo polisi wetu ni mwiko kuamini mkubwa anakosea pamoja kuwa wengi wao walifanya vibaya kidato 4 hata akili ya kuzaliwa nayo imeporwa na nani? Kwanini wasitake kujua chanzo na kulishughulikia bila kumdhuru mtu? Mi nadhani wanajidhalilisha kuwa bongo zao ni kapu tupu linalosubiri kuwekewa takataka na halina uwezo wa kuchuja. Yaani wanashirikiana na wauaji kuwaua Watanzania wanaolalamikia haki yao ya kuishi?