Maandamano makubwa Songea!

Maandamano makubwa Songea!

Kwa kweli hari sio nzuri, maisha magumu alafu watu wanakufa uko songea. Hili jeshi la polisi ndio maana Dr Mwakyembe kalilalamikia, ila kuna siku yaja. Ivory coast ilikua nchi ya amani kama Tz yetu ila watawala wakaivuraga ile amani. Tz ndio inapoelekea.

Tafakuri
Muchembe
 
PoliccM ni marobot
Polisi wanaendelea kuua raia wanaodai haki zao....inasemekana polisi wanashikiriana na majambazi.....
PICT0024-2.jpg


angalia raia asie na hatia kauawa leo hii na polisi....hivi kutuliza ghasia wanatumia risasi za moto?
 
Ni kweli kuna maandamano makubwa. Nimeongea na mtu aliyeko songea; ila hayo ya vifo ameshindwa kunithibitishia
 
Polisi wanaendelea kuua raia wanaodai haki zao....inasemekana polisi wanashikiriana na majambazi.....
PICT0024-2.jpg


angalia raia asie na hatia kauawa leo hii na polisi....hivi kutuliza ghasia wanatumia risasi za moto?
Hii hakubaliki hata kidogo!!
najuta kua raia wa nchi hii!
 
satellite nakushukuru kwa habari yako ya kina.mwanzo habari zilikuja nusunusu. Mungu awongoze wana songea mvuke kipindi hiki kigumu. Hivi mkuu wa mkoa au wilaya/rpc wangeongea na wananchi pasipo jaziba ingetokea mauaji haya???nafikiri elimu ya mapolisi wetu bado ndogo. Huwa namkubali kamanda Nyakolo silo na isutu mantage wanatumia busara sana pasipo maguvu.pole sana waanga wa machafuko haya
 
Polisi Kulea Majambazi Na mahakama kushindwa kusimamia Haki matokeo yake ndio kama hivi
 
Uletaji wa taarifa wa namna hii na unataka watu wajadili sidhani kama unakubalika kwenye jukwaa makini kama hili.Wewe ndio mleta taarifa sasa unataka nani mwingine atoe taarifa? Sisi hatujui wewe ndio unajua sana unauliza kwetu ili iweje?
acha kutokwa mapovu mleta habari huenda amezipata jujuu so anaweka hapa tupate mahali pa kuanzia ili kama kuna mwenye details afunguke zaidi, pia sio kila mtu ana ujuzi wa kuandika details zote uandishi ni taaluma pia mvumilie wanajamvi wanasaidia kujazia pale palipopunguka!!
 
Ndugu zangu nchi imekabidhiwa kwa mashetani wa freemasons, Kikwete ni mwanachama mtaumiza vichwa bure kwa nini mauji kila anaposafiri?????? ni makafara yake.Tuchukue hatua kuikomboa nchi
 
Haya malalamiko ya wananchi ipo siku moja yatasikilizwa na hawa viongozi wa sasa watajuta kutokawajibika. Kila sehemu saizi kumejaa malalamiko ya uonevu, viongozi kutokufanya kazi zao ipasavyo, uadilifu kwisha! Lakini what goes around comes around.
 
Mmmmmh! watanzania kazi tunayo! watanzania eleweni kuwa selikali haipo upande wenu! pamoja na kuwa huju kwa ufisadi unaowanyima huduma zenu za kijamii, wameona haitoshi na sasa wanauwa direct ktk jina la kulinda amani!, sasa sijui hiyo amani ni ya nani wakati raia wanalalamika kudai amani ilopotea!. Ovyooooooooooo!
 
Back
Top Bottom