Maandamano Makubwa Kufanyika Kesho Kupinga Mahakama kutumiwa kisiasa

Chadema lazima muheshimu maamuzi ya mahakama hukumu ni sahihi nchi inaendeshwa kwa mujibu wa sheria mahakama haiwezi kuacha kufuata sheria ili kuwafurahisha Chadema.
Hata wakati wa mapambano ya kuung'owa utawala wa Makaburi kulikuwepo na vibaraka kama wewe waliokuwa wanashirikiana na wazungu, na hata magerezani wote mpo kifungoni lakini kuna waliopewa vyeo bandia wanaitwa manyapara, sina zaidi cha kukueleza ila nakuombea afya njema na maisha marefu kwa Mungu wa Isaka na Yakobo ili ushuhudie Wazalendo tunavyofanya mapinduzi kwa amani na kulikombowa Taifa hili. siyo kosa lako mungu akusamehe.
 
katika kile ambacho kinaonekana ccm walijua ni kitu gani kitatokea mahakamani leo( lema atavuliwa ubunge).jana walianza campeni rasmi kwa vibaraka wao tbc1 kuonyesha projects za barabara ambazo zinajengwa katikati ya mji wa arusha kwa msada wa benki ya dunia, tuliona meya wa arusha akitamba kwamba project hizo ni msada kutoka benki ya dunia na serikali imechangia kidogo.

maswali ya kujiuliza:meya wa arusha alikuwa wapi kufanya publicity hiyo kabla ya jana? Au ndio ccm wanataka kutumia projects hizo za world bank kama mtaji wao wa kisiasa kuomba uruma kwa wananchi wa arusha?

tbc au tibii hii?!!! Hili shirika si la uma tena bali shirika la ccm kama redio uhuru na gazeti la uhuru tbc=uhuru radio=gazeti la uhuru= ccm?!!!!
Huyo meya anathubutu kuongea? Hata wakisema watanunulia kila mwananchi baloon hatuwapi kura. Tunachukua mabaloon yao kisha kura kwa cdm makamanda wa ukweli kiboko cha mafisadi (wenyewe waache wauwane na kuwekeana sumu na tindikali)wakati kasababisha mauaji arusha? Ccm waache propaganda....>>>hatudanganyikiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Chadema lazima muheshimu maamuzi ya mahakama hukumu ni sahihi nchi inaendeshwa kwa mujibu wa sheria mahakama haiwezi kuacha kufuata sheria ili kuwafurahisha Chadema.

hebu acha upuuzi wako we Gamba, mmenoa nyie magamba na A.town mtakiona 2 na bado tunasubiri kule kwa makongoro na wengine magamba watakaokufa ili sisi makamanda tuchukue majimbo ye2.
M4C
solidarity forever......\/
 
Magamba wanatwanga maji kwenye kinu,matokeo hata uchaguzi ungerudiwa mara 20,chadema watabaki vidume hapa!wasilete pua zao zinazonuka uozo wa kifisadi na matusi.magamba magamba tu!shenz zao.
 
swali je mbunge akishapata kuwa na kesi mahakamani je anaruhusiwa kugombea tena embu wajuao sheria watujuze hapa isije kuwa mahakama imetoa hukumu ya kisiasa.

Only kama mahakama iki-certify kuwa alitenda kosa la rushwa or illegal practice. Hapo NEC inaweza kufuta jina lake kwenye register na kum-disqualify kupiga au kupigiwa kura.
 
Tunawatakia kila la kheri! Msisahau tu kubeba maji mengi ya kufuta mawasha Yao. Msikubali mpaka ukombozi upatikane.
 
Namhurumia sana tena sana mtu atakayeshinda kura za maoni CCM maana anaenda kupambana na kifo. Pengine ingekuwa jimbo lingine lakini sio Arusha Mjini. Sijui nani safari hii atakubali kwenda kuzindua campaign za CCM. Wana CCM wengi ninao wajua kwa sasa hawataki kuji associate na chama chao. Maana Lusinde kawaacha wazi. Aibu kwao.
 
kuna baadhi yetu tuko gizani kidogo kuhusu kesi hii ilivyoendeshwa....hivo kabla hatujaanza kukurupuka kuunga mkono au kupinga hili wazo la maandamano, tunaomba tuwekwe nuruni zaidi kidogo.

hukumu inasemaje na lema amehukumiwa dhidi ya mashitaka yapi specifically? siasa ime-influence vipi maamuzi ya mahakama and kwenye haya maandamano what is the message being sent to wananchi wa arusha na wa-tz kwa ujumla?

nachelea maandamano yasije yakakosa maudhui, matokeo yake ikawa ni ku-taint the positively rising reputation ya chadema (aka "chama tawala kuanzia 2015" kama sijakosea sana).
 
Chadema lazima muheshimu maamuzi ya mahakama hukumu ni sahihi nchi inaendeshwa kwa mujibu wa sheria mahakama haiwezi kuacha kufuata sheria ili kuwafurahisha Chadema.
hee umetoka wapi weye
 
Back
Top Bottom