Huu ni wito ambao unazunguka katika sms kuwataka wakzi wa arusha kujitokea kwenye maandamano hapo kesho kulaani uonezi wa serikali kwa kutumia vyombo vyake.
Katika kile ambacho kinaonekana CCM walijua ni kitu gani kitatokea mahakamani leo( Lema atavuliwa ubunge).Jana walianza campeni rasmi kwa vibaraka wao TBC1 kuonyesha projects za barabara ambazo zinajengwa katikati ya mji wa Arusha kwa msada wa Benki ya Dunia, tuliona meya wa Arusha akitamba kwamba project hizo ni msada kutoka Benki ya Dunia na Serikali imechangia kidogo.
Maswali ya kujiuliza:Meya wa Arusha alikuwa wapi kufanya publicity hiyo kabla ya jana? au ndio CCM wanataka kutumia projects hizo za world bank kama mtaji wao wa kisiasa kuomba uruma kwa wananchi wa Arusha?
Kazi imeanza rasmi...
Movement for Change kazini!
NAMKUMBUKA SANA REGIA MTEMA!
View attachment 51077