Maandamano Makubwa Kufanyika Kesho Kupinga Mahakama kutumiwa kisiasa

Asante kwa elimu ulotoa mkuu! Tatizo ni uwezo wako mdogo wa kuchambua mambo! Kinachoendelea katika nchi hii kwa vyombo vyote vya dola kuikumbatia CCM kiko wazi! CDM ni chama makini sana, kinaheshimu maamuzi halali na yenye haki, mimi ni mwanasheria hukumu ya kesi ya Lema ina chembechembe zenye hila za kisiasa, CDM kina wanasheria Nguli siyo kama wewe kibaraka wa thithiem
Chadema lazima muheshimu maamuzi ya mahakama hukumu ni sahihi nchi inaendeshwa kwa mujibu wa sheria mahakama haiwezi kuacha kufuata sheria ili kuwafurahisha Chadema.
 
Kama umetumwa mwambie aliyekutuma bado HATUJALALA na wala HATULALI hadi KITAKAPOELEWEKA 2015 tukichukua nchi, kama kwelil LUSINDE alikuwa muhimu kumleta kuporomosha matusi ARUMERU, KwetU LEMA ni lulu.......nyamba....fu.....

MODS mfungieni na huyu ametoa matusi
 
Kwa cdm hukumu ta lema kushindwa ni blessing in a disguise. Mungu akitaka kuuondoa utawala dhalimu huwafanya viongozi wake wawe vipofu na kuwa na mioyo migumu kama farao. Hawawezi kuona maandishi ukutani kuwa ufalme wao umekwisha. Watafanya mambo ambayo yatapelekea kifo chao kisiasa kama kufungua kesi ambazo mwisho wa siku z
inawaumiza wao!
 
haingii akili hata kidogo

mie naona inaingia akilini kabisa, watanzania wamishashtuka, nani ambae hajui kuwa nchi yetu ni tajiri lakini inaitwa masikini? Mtoa mada mie namkubalia kwa hoja zake, watu wamisha choka wanataka mabadiliko, na ccm wanajua kabisa arusha hawashindi ila walichokifanya ni kukiua chama zaidi na zaidi
 
Wanasheria mpoooooo!! Kama hukumu iliyotolewa leo dhidi ya Lema sio sahihi basi tungefurahi kama nyie wanasheria ndo mngeandamana ili jaji alietoa hii hukumu nae ajifeel shame na kikubwa ni katika kutaka muhimili huu wa sheria kuwa huru pasipo kuingiliwa. Vyema mawakili wooote kama mmeona hukumu iliyotolewa imekiuka vifungu vya sheria basi ingieni barabarani ili ujumbe uifikie serikali na itakuwa fundisho kwa wakubwa kucheza na mahakama.

Kama huna cha kuchangia kaa kimya kuliko kuandika utumbo kama huu. Kwa nini waandamane kwa kesi ya Lema wakati kuna kesi kibao huwa zinaamuliwa hivyo? Mbona ile kesi ya mahakama kutaka madaktari warudi kazini hamkusema mawakili waandamane? Halafu kama vile unadhani mawakili wote ni Chadema?

Kama Lema anaona jaji hajamtendea haki akate rufaa. Kama hana imani na mahakama basi arudi kwa wapiga kura wake ili wao wachukue hatua ambazo wanaona zinastahili.

Kwanza umeshaisoma huku yenyewe na kuielewa au unapayuka tuu humu jamvini?
 
Wafuasi wa chadema Arusha wangetulia wakisubili tamko la chama. MOJA YA STRATEGIES WAZITEGEMEAZO CCM NI KUWAPO KWA FUJO THENI WAWACHAFUE CDM.
 
Tunaongeza list ya dhambi. CCM ni dhambi kubwa sana
CCM wanazidi kuwachafua watu wa Arusha kutumia vyombo vyake (Mahakama) kuwanyima wana ARUSHA haki zao za msingi!!!! Kuwa na mbunge ambaye ni chaguo lao, walijaribu kutumia nguvu na kuiba kura ikashindikana sasa wanatumia mahakama kwa shinikizo la mtu yule yule EL, kutumia nguvu ya pesa!!!! Watanzania tumechoka kuonewa, kudhulumiwa, kudhalilishwa, kuibiwa na kufisadiwa, uchaguzi urudiwe tutoe mfano, tuwabwage tena kwenye barrot box!!!!!CDM VIVA Mapambano bado yanaendelea!!!!

 
Hakuna marefu yasiyo na ncha....CCM imefikia mwisho wake kwani hata CDM wasipofanya kampeni Arusha kabisaaa then CCM wakafanya kampeni usiku na mchana ata afufuke NYERERE mwalimu awasaidie kampeni lakini mwisho wa yote CDM itachukua kiulaini.....so let them do coz hawajui walitendalo mbona watu wanaushaidi wa kutosha nadhani wabunge wa CCM wengi for the same approach wanawezakuvuliwa ubunge wao...bravo LEMA
 
CCM wanazidi kuwachafua watu wa Arusha kutumia vyombo vyake (Mahakama) kuwanyima wana ARUSHA haki zao za msingi!!!! Kuwa na mbunge ambaye ni chaguo lao, walijaribu kutumia nguvu na kuiba kura ikashindikana sasa wanatumia mahakama kwa shinikizo la mtu yule yule EL, kutumia nguvu ya pesa!!!! Watanzania tumechoka kuonewa, kudhulumiwa, kudhalilishwa, kuibiwa na kufisadiwa, uchaguzi urudiwe tutoe mfano, tuwabwage tena kwenye barrot box!!!!!CDM VIVA Mapambano bado yanaendelea!!!!


Hapo nilipo koleza kwa rangi tofauti ni vipi ? Ni barrot au ballot, hebu nijuze
 
Nadhani maandamano sio muhimu. Cha msingi ni kusubiri uchaguzi mdogo ili CCM waone kuwa wananchi wana nguvu kuliko mahakama. Ni kumchagua Lema yule yule kwa kishindo kikubwa zaidi. Ili wajue kuwa sauti za wananchi ndo muhimu kuliko mahakama.
 
Meya wa Arusha hafanyi kazi na mahakama. Jamani tuwe maskini wa mali lkn akili tunazo jibu lake unalo. labla mimi nikuulize swali kama CDM ikachukua nchi itafukuza majaji wote kisa tu walishawahi kufanya kazi wakati CCM iko madarakani? au ulishawahi kusikia kitu hiko duniani?
Mkuu unauliza majibu jirani zetu Kenya kwa katiba mpya walitangaziwa kazi wakaomba na wakafanyiwa vetting na tume maalumu ya judicial commission waliopita ndio wapo kazini, mamluki kama huyo wako kazi hamna wamerudi mitaani!!!!

 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom