Maandamano Makubwa Kufanyika Kesho Kupinga Mahakama kutumiwa kisiasa

mahakama ipo kwa kazi hy mlitaka ifanyaje? Cdm vp hamjui sheria? MtMsitupote
 
Wanaotakiwa kuandamani sidhani kama ni wakazi wa arusha bali members wa hii fani au proffession cause they know better,wananchi waandamane baada ya kuelimishwa kwanini si sahihi kisheria,
Wewe ni mzigo
 
Peoplesssssssssss Poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer lazima magamba wafe kwa presha
 
Arusha hata akisimamishwa Kikwete hapiti.
Mwenye kichwa ya nazi koroma?
Lol Acha kutudhalilisha watu wa Arusha.....
Tunahitaji viongozi wenye upeo na si hao wako unaotuambia eti hata nanii...
Huyo ndo tutamgonga *****
 
Katika kile ambacho kinaonekana CCM walijua ni kitu gani kitatokea mahakamani leo( Lema atavuliwa ubunge).Jana walianza campeni rasmi kwa vibaraka wao TBC1 kuonyesha projects za barabara ambazo zinajengwa katikati ya mji wa Arusha kwa msada wa Benki ya Dunia, tuliona meya wa Arusha akitamba kwamba project hizo ni msada kutoka Benki ya Dunia na Serikali imechangia kidogo.

Maswali ya kujiuliza:Meya wa Arusha alikuwa wapi kufanya publicity hiyo kabla ya jana? au ndio CCM wanataka kutumia projects hizo za world bank kama mtaji wao wa kisiasa kuomba uruma kwa wananchi wa Arusha?

Nape alisema kuwa maendeleo ya kesi ni mazuri na wanatarajia kushinda. Aliyasema hayo baada ya kushindwa Arumeru mashariki. Sasa yametimia.

Walichosahau ni kwamba Lema hakuchaguliwa na mahakama. Watu wa arusha hawako tayari kuuza haki yao kwa majambazi. CCM itashindwa vibaya hata kama chadema hawamsimamishi Lema kugombea.
 
Nimejaribu kupitia mitandao mingi ya kijamii leo hii, nilichogunduwa ni kwamba katika watumiaji 100 basi CCM supporter hawazidi 3!!......kama kungekuwa na taasisi huru za utafiti nchi hii wangeambiwa kabisa kwamba ni rahisi kwenda New city kwa mguu kutokea Dar kuliko kwa CCM kulipora jimbo la Arusha. ( Maana kwenye sanduku la kura CCM haichaguliki)
 
Nimejaribu kupitia mitandao mingi ya kijamii leo hii, nilichogunduwa ni kwamba katika watumiaji 100 basi CCM supporter hawazidi 3!!......kama kungekuwa na taasisi huru za utafiti nchi hii wangeambiwa kabisa kwamba ni rahisi kwenda New city kwa mguu kutokea Dar kuliko kwa CCM kulipora jimbo la Arusha. ( Maana kwenye sanduku la kura CCM haichaguliki)

sasa huu ndio utafiti sio wa REDET wangesema 50 wamesapport 50 wamekataa halafu wanajiita wa kisayansi.
 
nafikiri hakuna haja ya kuandamana ikiwa bwan. lema ameruhusiwa kugombea tena, kuwafundisha adabu na liwe fundisho kwa magamba ni wana arusha kumchagua tena lema kwa kishindo kikubwa kabisa.
tukiandamana tutapigwa na pengine kumfanya asipate tena hicho kiti. sasa ni kuongea kwa vitendo vya kidemokrasia zaidi ila angekuwa amekatazwa kabisa kugombea tena hapo jambo la maandamano lingekuwa linamashiko zaidi.

swali je mbunge akishapata kuwa na kesi mahakamani je anaruhusiwa kugombea tena embu wajuao sheria watujuze hapa isije kuwa mahakama imetoa hukumu ya kisiasa.
 
tetette siku hizi hata kuchakachua inakuwa kwao ngumu maana mambo sasa hayachakachuki tena arumeru oyeee natumaini hata arusha mjini itakuwa kama arumeru.
 
ccm ni chama cha jana na juzi, cdm ni chama cha leo na kesho! kama hawajui kusoma, ningeshauri wajitahidi kuelewa kwa picha.
 
Chadema lazima muheshimu maamuzi ya mahakama hukumu ni sahihi nchi inaendeshwa kwa mujibu wa sheria mahakama haiwezi kuacha kufuata sheria ili kuwafurahisha Chadema.
 
Ukombozi wa nchi hii uankaribia hakuna kulala najua kutakuwa na mambo ya kuvunja moyo na kukatisha tamaa lakini ujue ukombozi uko karibu.
 
Chadema lazima muheshimu maamuzi ya mahakama hukumu ni sahihi nchi inaendeshwa kwa mujibu wa sheria mahakama haiwezi kuacha kufuata sheria ili kuwafurahisha Chadema.

kalale mbele huko usijetafutia watu ban bure. angaliaga hiyo mambo chaliii..
 
Back
Top Bottom