DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Tunavyozungumza wananchi wa kata za moshono na mlangarini wapatao 5000 Wanaandamana kuelekea ofisi ya mkuu wa mkoa arusha kufuatia kunyanga'nywa ardhi yao na JWTZ bila fidia kama walivyoafikiana awali.polisi hawana taarifa ila ndo wanatamalaki kufunga mandela road moshono kuelekea kijenge..updates