LGE2024 Arusha: Wana CCM waandamana mpaka Makao Makuu ya CCM Arusha kupinga matokeo ya kura za maoni. Makada wajipanga kunyimana kura!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Sep 2, 2024
1,553
4,013
Wakuu

Mambo yanaonekana kuwa si shwari huko ndani ya Chama Cha Mapinduzi kama tunavyoaminishwa

Siku ya leo wanakijiji wa Mtaa wa Viwandani, Kata ya Unga Limited, wameonyesha kutoridhishwa na uamuzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kumpitisha Rasuli Mshana kwenye kura za maoni

WanaCCM hao wamesema kwamba hawatakubaliana na kumpa kura za Ndio Rasuli Mshana, aliyeshinda kura za maoni, ikiwa jina lake halitatolewa kama mgombea katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024.

Soma pia: Kigamboni: CCM wararuana wenyewe kwa wenyewe. Vurugu zapamba moto kwenye Uchaguzi wa ndani ya chama

Makada hao walisema kuwa mgombea aliyepitishwa sio chaguo lao kwa kuwa hawamfahamu badala yake walikuwa wanamtaka mgombea anayeitwa Richard Mbwambo ambaye ndio walikuwa wanamtaka.

Katika kueleza hisia zao, makada hao walifanya maandamano kuelekea ofisi za CCM Arusha Mjini.

Kwa hiyo kumbe wanaCCM wanaruhusiwa kuandamana kama hawajapenda matokeo ya uchaguzi lakini upinzani wametishiwa kutokuandamana iwapo hawatakubaliana na matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za mitaa kama alivyosema Albert Chalamila?

Soma pia: Chalamila aliagiza Jeshi La Polisi kuwashughulikia wananchi watakaopinga matokeo ya Uchaguzi ujao wa Serikali Za Mitaa

Nini kinaendelea huko CCM?


 
Wakuu

Mambo yanaonekana kuwa si shwari huko ndani ya Chama Cha Mapinduzi kama tunavyoaminishwa

Siku ya leo wanakijiji wa Mtaa wa Viwandani, Kata ya Unga Limited, wameonyesha kutoridhishwa na uamuzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kumpitisha Rasuli Mshana kwenye kura za maoni

WanaCCM hao wamesema kwamba hawatakubaliana na kumpa kura za Ndio Rasuli Mshana, aliyeshinda kura za maoni, ikiwa jina lake halitatolewa kama mgombea katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024.

Soma pia: Kigamboni: CCM wararuana wenyewe kwa wenyewe. Vurugu zapamba moto kwenye Uchaguzi wa ndani ya chama

Makada hao walisema kuwa mgombea aliyepitishwa sio chaguo lao kwa kuwa hawamfahamu badala yake walikuwa wanamtaka mgombea anayeitwa Richard Mbwambo ambaye ndio walikuwa wanamtaka.

Katika kueleza hisia zao, makada hao walifanya maandamano kuelekea ofisi za CCM Arusha Mjini.

Kwa hiyo kumbe wanaCCM wanaruhusiwa kuandamana kama hawajapenda matokeo ya uchaguzi lakini upinzani wametishiwa kutokuandamana iwapo hawatakubaliana na matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za mitaa kama alivyosema Albert Chalamila?

Soma pia: Chalamila aliagiza Jeshi La Polisi kuwashughulikia wananchi watakaopinga matokeo ya Uchaguzi ujao wa Serikali Za Mitaa

Nini kinaendelea huko CCM?


CCM wapo juu ya sheria
 
Wakuu

Mambo yanaonekana kuwa si shwari huko ndani ya Chama Cha Mapinduzi kama tunavyoaminishwa

Siku ya leo wanakijiji wa Mtaa wa Viwandani, Kata ya Unga Limited, wameonyesha kutoridhishwa na uamuzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kumpitisha Rasuli Mshana kwenye kura za maoni

WanaCCM hao wamesema kwamba hawatakubaliana na kumpa kura za Ndio Rasuli Mshana, aliyeshinda kura za maoni, ikiwa jina lake halitatolewa kama mgombea katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024.

Soma pia: Kigamboni: CCM wararuana wenyewe kwa wenyewe. Vurugu zapamba moto kwenye Uchaguzi wa ndani ya chama

Makada hao walisema kuwa mgombea aliyepitishwa sio chaguo lao kwa kuwa hawamfahamu badala yake walikuwa wanamtaka mgombea anayeitwa Richard Mbwambo ambaye ndio walikuwa wanamtaka.

Katika kueleza hisia zao, makada hao walifanya maandamano kuelekea ofisi za CCM Arusha Mjini.

Kwa hiyo kumbe wanaCCM wanaruhusiwa kuandamana kama hawajapenda matokeo ya uchaguzi lakini upinzani wametishiwa kutokuandamana iwapo hawatakubaliana na matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za mitaa kama alivyosema Albert Chalamila?

Soma pia: Chalamila aliagiza Jeshi La Polisi kuwashughulikia wananchi watakaopinga matokeo ya Uchaguzi ujao wa Serikali Za Mitaa

Nini kinaendelea huko CCM?


Acha yauane ,
 
Wakuu

Mambo yanaonekana kuwa si shwari huko ndani ya Chama Cha Mapinduzi kama tunavyoaminishwa

Siku ya leo wanakijiji wa Mtaa wa Viwandani, Kata ya Unga Limited, wameonyesha kutoridhishwa na uamuzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kumpitisha Rasuli Mshana kwenye kura za maoni

WanaCCM hao wamesema kwamba hawatakubaliana na kumpa kura za Ndio Rasuli Mshana, aliyeshinda kura za maoni, ikiwa jina lake halitatolewa kama mgombea katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024.

Soma pia: Kigamboni: CCM wararuana wenyewe kwa wenyewe. Vurugu zapamba moto kwenye Uchaguzi wa ndani ya chama

Makada hao walisema kuwa mgombea aliyepitishwa sio chaguo lao kwa kuwa hawamfahamu badala yake walikuwa wanamtaka mgombea anayeitwa Richard Mbwambo ambaye ndio walikuwa wanamtaka.

Katika kueleza hisia zao, makada hao walifanya maandamano kuelekea ofisi za CCM Arusha Mjini.

Kwa hiyo kumbe wanaCCM wanaruhusiwa kuandamana kama hawajapenda matokeo ya uchaguzi lakini upinzani wametishiwa kutokuandamana iwapo hawatakubaliana na matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za mitaa kama alivyosema Albert Chalamila?

Soma pia: Chalamila aliagiza Jeshi La Polisi kuwashughulikia wananchi watakaopinga matokeo ya Uchaguzi ujao wa Serikali Za Mitaa

Nini kinaendelea huko CCM?


Haina haja
Wakuu

Mambo yanaonekana kuwa si shwari huko ndani ya Chama Cha Mapinduzi kama tunavyoaminishwa

Siku ya leo wanakijiji wa Mtaa wa Viwandani, Kata ya Unga Limited, wameonyesha kutoridhishwa na uamuzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kumpitisha Rasuli Mshana kwenye kura za maoni

WanaCCM hao wamesema kwamba hawatakubaliana na kumpa kura za Ndio Rasuli Mshana, aliyeshinda kura za maoni, ikiwa jina lake halitatolewa kama mgombea katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024.

Soma pia: Kigamboni: CCM wararuana wenyewe kwa wenyewe. Vurugu zapamba moto kwenye Uchaguzi wa ndani ya chama

Makada hao walisema kuwa mgombea aliyepitishwa sio chaguo lao kwa kuwa hawamfahamu badala yake walikuwa wanamtaka mgombea anayeitwa Richard Mbwambo ambaye ndio walikuwa wanamtaka.

Katika kueleza hisia zao, makada hao walifanya maandamano kuelekea ofisi za CCM Arusha Mjini.

Kwa hiyo kumbe wanaCCM wanaruhusiwa kuandamana kama hawajapenda matokeo ya uchaguzi lakini upinzani wametishiwa kutokuandamana iwapo hawatakubaliana na matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za mitaa kama alivyosema Albert Chalamila?

Soma pia: Chalamila aliagiza Jeshi La Polisi kuwashughulikia wananchi watakaopinga matokeo ya Uchaguzi ujao wa Serikali Za Mitaa

Nini kinaendelea huko CCM?


Wangeuana tuu hakuna shda nngefurahi
 
Ccm kwisha kwisha kwisha kabisaaa
Unajua Mwendazake alichokifanya 2019 kimewavuruga na kuwaharibia sana hii 2024, wana hali mbaya mnoo, juzi hapa kitaa kwangu tulifanya hamasa wakati wa kurudusha barua za utambulisho kwa watendaji pamoja na kuchukua form za wagombea, Yaani CCM siku hiyo walikuwa kama wagonjwa wa homa kali.
 
Hilo ni tukio liko staged ili kuonekane kuna uchaguzi.

Nawasikitikia wapinzani mnavyoenda kushiriki huu upuuzi ambao CCM wameenda kuufanya.

Msije na story kuwa mliibiwa tu maana dalili ni dhahiri kuanzia zoezi la uandikishaji.
 
Back
Top Bottom