Maandamano London: Another new episode

Maandamano London: Another new episode

hivi kwa uzi huu mleta mada CYBER CRIME UKITIWA NGUVUNI UTAMLAUMU MTU KWELI USIDANGANYIKE NA KYBOD KUWA ET HAUTAMBULIKI
cc
yereco nyerere
 
Its not the first time kwa hawa wapenda waarabu kujifanya wanauchungu na Zanzibar bytheway impact ya hayo makobeano ni kama susumizi kwenye msafara wa TEMBO. HAPA KAzi TU
 
nday, November 9, 2015

TAARIFA YA MAANDAMANO


zawalogo-346x272.jpg

Assalamu alaykum,
Kwa Niaba ya Zanzibar Welfare Association UK, inapenda kuwaarifu Watu wote watakaonafasika, kuhudhuria kwenye Maandamano yatakayofanyika 10 Downing St, London SW1A 2AA kuanzia saa nne asubuhi siku ya Ijumaa tarehe 13/11/2015.
Lengo ni kutoa Shukran kwa Waziri Mkuu na Serikali yake ya Uengereza kuona haki inatendeka kwa Wananchi wa Zanzibar juu ya uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 25/10/2015.
Kibali kimetolewa na Parliamentary & Diplomatic Protection Command wakishirikiana na Scotland Yard Special Events.
Ahsanteni
Mwenyekiti ZAWA UK
Hassan M Khamis

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.


FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI at 11:17 PM

Hiyo statement iliandikwa kwa bold ni upuuzi mtupu. vipi kuhusu sirya na palestine wao Mungu hatowailiza ? kama yes basi jua ata huyo Seif wako atauliza ukiwamo na wewe na lichama lako la kibaguzi shwaan.
 
Ndo maana wakaitwa wapumbavu.!! Leo hii walio na upele hawawashwi walioona upele ndo kiherehere!! Kilichowakimbiza. Zanzibar kipi? Leo hii mnajifanya mna uchungu na Znzbr zaidi mnajitukanisha tu na kuonekana mbururaa nchi yenu mnaenda kuomba kwa bwana zenu wawasaidie.. Aibu hats sijui mnawezaje kaa na wake zenu na wanenu. Nadhani wengi wenu huenda sio...............!!!!
 
nday, November 9, 2015

TAARIFA YA MAANDAMANO


zawalogo-346x272.jpg

Assalamu alaykum,
Kwa Niaba ya Zanzibar Welfare Association UK, inapenda kuwaarifu Watu wote watakaonafasika, kuhudhuria kwenye Maandamano yatakayofanyika 10 Downing St, London SW1A 2AA kuanzia saa nne asubuhi siku ya Ijumaa tarehe 13/11/2015.
Lengo ni kutoa Shukran kwa Waziri Mkuu na Serikali yake ya Uengereza kuona haki inatendeka kwa Wananchi wa Zanzibar juu ya uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 25/10/2015.
Kibali kimetolewa na Parliamentary & Diplomatic Protection Command wakishirikiana na Scotland Yard Special Events.
Ahsanteni
Mwenyekiti ZAWA UK
Hassan M Khamis

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.


FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI at 11:17 PM

Hiyo statement iliandikwa kwa bold ni upuuzi mtupu. vipi kuhusu sirya na palestine wao Mungu hatowauliza ? kama jibu ni Yes, basi jua ata huyo Seif wako ataulizwa ukiwamo na wewe na lichama lako la kibaguzi shwaan.
 
[h=2]nday, November 9, 2015[/h] [h=3]TAARIFA YA MAANDAMANO[/h]
zawalogo-346x272.jpg

Assalamu alaykum,
Kwa Niaba ya Zanzibar Welfare Association UK, inapenda kuwaarifu Watu wote watakaonafasika, kuhudhuria kwenye Maandamano yatakayofanyika 10 Downing St, London SW1A 2AA kuanzia saa nne asubuhi siku ya Ijumaa tarehe 13/11/2015.
Lengo ni kutoa Shukran kwa Waziri Mkuu na Serikali yake ya Uengereza kuona haki inatendeka kwa Wananchi wa Zanzibar juu ya uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 25/10/2015.
Kibali kimetolewa na Parliamentary & Diplomatic Protection Command wakishirikiana na Scotland Yard Special Events.
Ahsanteni
Mwenyekiti ZAWA UK
Hassan M Khamis

[h=1]KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.[/h]
FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI at 11:17 PM
Bold sijakuelewa unataka waandamane kupinga mashekhe kunyanyaswa au mnataka matokeo ya uchaguzi yatangazwe?
 
Ndiyo sababu nataka kuzamia Ulaya. Watu mnapewa haki ya kuandamana na mnalindwa. Huku uchaguzi umefanyika,mshindi amejulikana lakini eti uchaguzi urudiwe.
 
Mwingereza hana muda wa kukamata watu,akishakupa status ya kuishi hayo mambo mengine hana muda nayo-usiwatishe watu
Sijatisha mtu na wala sina uwezo wa kutisha mtu katika maisha yake.

Mjumbe hauwawi!

They can do it at their peril!
 
Haitasaidia Tanzania ni nchi guru,wazungu hawawezi kutuamulia yetu,
 
Waingereza tunawajua tangu walipoleta miswada ya ushoga tukakata na wakafuta uzamini wao wa bodi ya mikopo,tunajua ufadhiri wao kwa chama furani,
Wanapoteza muda,
 
Policeceem waangalie kesho police Uk walivyo na ustaarabu wanavyo tambua sheria
 
Hiyo statement iliandikwa kwa bold ni upuuzi mtupu. vipi kuhusu sirya na palestine wao Mungu hatowailiza ? kama yes basi jua ata huyo Seif wako atauliza ukiwamo na wewe na lichama lako la kibaguzi shwaan.

so you kill the messenger?
 
Back
Top Bottom