pepsin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 3,486
- 6,172
Tena hao Schotland ndio waje waone mchezo wa wapinzani ili iwe bayana!
Mwana upo? Nakusalimu.
Tena hao Schotland ndio waje waone mchezo wa wapinzani ili iwe bayana!
Kwani serikali ya Uingereza imetoa neno lolote juu ya uchaguzi wa bara???Huku hamuandamani kupinga matokeo ya Lubuva?
hivi kwa uzi huu mleta mada CYBER CRIME UKITIWA NGUVUNI UTAMLAUMU MTU KWELI USIDANGANYIKE NA KYBOD KUWA ET HAUTAMBULIKI
cc
yereco nyerere
Policeceem waangalie kesho police Uk walivyo na ustaarabu wanavyo tambua sheria
Behind the scenes Mwingereza ana influence mambo mengi sana TAnzania,wewe utakuwa ni layman wa kutupwa kiasi kwamba you can not tell or see the difference nchi inavyominywa na kutekeleza maagizo ya wenye duniaWatu wanasema Elimu, lakini hawawezi kutambua kwamba Huyo Came Ron haweze kufanya chochote, hapo ndio wameingizwa mkenge. UK hata siku moja haiwezi kufanya chochote kuhusiana na sheria za Tanzania au kinachotokea Tanzania. Waingereza wenyewe na huyo Cameron mikono yao imejaa matatizo. Mark my word hakuna kitu hapo ni ujuha tu, wengi wa watakaoandamana majority ni wazenji ambao wamebaki kupokea Universal Benefits wakati walitakiwa kutumia muda wao kujiendeleza kielimu.
Mwingereza hana muda wa kukamata watu,akishakupa status ya kuishi hayo mambo mengine hana muda nayo-usiwatishe watu
tusichezee demokrasi kuipinda haki na kuwapora uhuru wananchi chini ya kivuli cha amanidah, tusichezee aman tuliyonayo.
Behind the scenes Mwingereza ana influence mambo mengi sana TAnzania,wewe utakuwa ni layman wa kutupwa kiasi kwamba you can not tell or see the difference nchi inavyominywa na kutekeleza maagizo ya wenye dunia
Sheria za Uingereza ni tofauti na za Jecha hawakurupuki kukamata hovyo, huko waandamanaji hupewa heshima yao wanapewa full escort na polisi na maandamano yatapokelewa.Wazanzibari na Watanganyika wengi walioko Uingereza wamejilipua. Kwa sasa wanaishi kama Wasomali, Wasudani na Waeritrea.
Wadanganyeni waandamane ili wakakutane na mikono ya Maafisa wa border force kwenye underground entry, buses and demonstration!
Kuna hatred kubwa sana kama ya Waunguja na Wapemba kiasi kwamba wamechomeana kwenye ofisi za uhamiaji.
Kwa faida ya maisha yao, kama kuna mtu ana matatizo kuhusu status ya uhamiaji ni vizuri akaepuka maandamano hayo, otherwise, atajikuta kwenye matatizo.
Ninatoa ushauri kwa vile ninawapenda Watanzania wenzangu.
Don't hang the messenger!
Yeye anafikiri wanayofanya polisi wa micheweni ni sawa na polisi wa London.Mwingereza hana muda wa kukamata watu,akishakupa status ya kuishi hayo mambo mengine hana muda nayo-usiwatishe watu
dah, tusichezee aman tuliyonayo.
Tunaomba utuwekee hapa na sisi tuelimike Mkuu. Kwani ni mpaka uwangoje scotland yard ndiyo uwaueleze?Tena hao Schotland ndio waje waone mchezo wa wapinzani ili iwe bayana!