Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 17,573
- 28,533
Wanabodi. Poleni na majukumu. Katika pita pita yangu nimekutana na habari hii.
![]()
Andaneni tu mkila UB40 ya bure.
Mkirudi hapa Tz mtakuta #HapaKaziTu
Wanabodi. Poleni na majukumu. Katika pita pita yangu nimekutana na habari hii.
![]()
Nimejikuta nacheka sana kwa ukweli huu.
Alafu wanatoa onyo kwa wana ccm na kumtaja Mungu, hapo wameenda mbali.
Nao wakiamua kuwachochea kwa hao hao wa Scotland yard maana kiuraia kweli wengi wamedanganya ni watakomaje.
Simu moja boda kontrol inawamaliza.
Wanajisahau kwa kutaka ubabe na chenji ya chama watumiwe wale, tumbo kwanza.
Hata maandamano ya wapelestine Watanzania tunayaunga mkono, kwani kufanya maandamano lazima uwe mzanzibar? kama tumejiripua wakimbizi basi tutajiwasha kwa maandamano 😉
![]()
Kamati kuu ya Uongozi wa ZAWAUK iliomaliza kikao chake tarehe 08/11/2015 kwenye Ofisi zake zilizopo Manor park huko East London. Moja katika maazimio yaliofikiwa ni kuandaa Maandamano yanayohusiana na Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar.
![]()
Kamati kuu ya Uongozi wa ZAWAUK iliomaliza kikao chake tarehe 08/11/2015 kwenye Ofisi zake zilizopo Manor park huko East London. Moja katika maazimio yaliofikiwa ni kuandaa Maandamano yanayohusiana na Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar.