wanabodi. Poleni na majukumu. Katika pita pita yangu nimekutana na habari hii. Fungua link ujionee.free zanzibar people from mkoloni mweusi: Taarifa ya maandamano
dah, tusichezee aman tuliyonayo.
Mwingereza hana muda wa kukamata watu,akishakupa status ya kuishi hayo mambo mengine hana muda nayo-usiwatishe watuWazanzibari na Watanganyika wengi walioko Uingereza wamejilipua. Kwa sasa wanaishi kama Wasomali, Wasudani na Waeritrea.
Wadanganyeni waandamane ili wakakutane na mikono ya Maafisa wa border force kwenye underground entry, buses and demonstration!
Kuna hatred kubwa sana kama ya Waunguja na Wapemba kiasi kwamba wamechomeana kwenye ofisi za uhamiaji.
Kwa faida ya maisha yao, kama kuna mtu ana matatizo kuhusu status ya uhamiaji ni vizuri akaepuka maandamano hayo, otherwise, atajikuta kwenye matatizo.
Ninatoa ushauri kwa vile ninawapenda Watanzania wenzangu.
Don't hang the messenger!
Wazanzibari na Watanganyika wengi walioko Uingereza wamejilipua. Kwa sasa wanaishi kama Wasomali, Wasudani na Waeritrea.
Wadanganyeni waandamane ili wakakutane na mikono ya Maafisa wa border force kwenye underground entry, buses and demonstration!
Kuna hatred kubwa sana kama ya Waunguja na Wapemba kiasi kwamba wamechomeana kwenye ofisi za uhamiaji.
Kwa faida ya maisha yao, kama kuna mtu ana matatizo kuhusu status ya uhamiaji ni vizuri akaepuka maandamano hayo, otherwise, atajikuta kwenye matatizo.
Ninatoa ushauri kwa vile ninawapenda Watanzania wenzangu.
Don't hang the messenger!
Tena hao Schotland ndio waje waone mchezo wa wapinzani ili iwe bayana!
Yuko wapi Mabele Marando