Maandamano London: Another new episode

Maandamano London: Another new episode

NyaniMzee

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2010
Posts
396
Reaction score
727
Wanabodi. Poleni na majukumu. Katika pita pita yangu nimekutana na habari hii.

attachment.php
 

Attachments

  • zawa uk.png
    zawa uk.png
    27.7 KB · Views: 9,948
Nawapongeza Wazanzibari waliopo Uingereza walioandaa Maandamano yatakayofanyika 10 Downing St, London SW1A 2AA kuanzia saa nne asubuhi siku ya Ijumaa tarehe 13/11/2015.

Lengo likiwa ni kutoa Shukran kwa Waziri Mkuu na Serikali yake ya Uengereza kuona haki inatendeka kwa Wananchi wa Zanzibar juu ya uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 25/10/2015.

Kibali kimetolewa na Parliamentary & Diplomatic Protection Command wakishirikiana na Scotland Yard Special Events.
Natoa Rai kwa watanzania wote kwa ujummla waliopo nje ya nchi wafanye hivi kama sehemu ya mchango wao wa kukuza demokrasia na kuhakikisha haki ya Wazanzibari inalindwa

Jumuiya ya kimataifa ina mchango mkubwa sana katika kuokoa hali ya kisiasa Zanzibar

Kwa huku nyumbani tutaendelea kushirikiana kuhakikisha Sheria na katiba ya zanzibar inalindwa na haki ya kidemokrasia ya wananchi visiwani haipotei



Aluta continua,Victory Ascerta....!

Ben Saanane
 
Tena hao Schotland ndio waje waone mchezo wa wapinzani ili iwe bayana!
 
Wazanzibari na Watanganyika wengi walioko Uingereza wamejilipua. Kwa sasa wanaishi kama Wasomali, Wasudani na Waeritrea.

Wadanganyeni waandamane ili wakakutane na mikono ya Maafisa wa border force kwenye underground entry, buses and demonstration!

Kuna hatred kubwa sana kama ya Waunguja na Wapemba kiasi kwamba wamechomeana kwenye ofisi za uhamiaji.

Kwa faida ya maisha yao, kama kuna mtu ana matatizo kuhusu status ya uhamiaji ni vizuri akaepuka maandamano hayo, otherwise, atajikuta kwenye matatizo.

Ninatoa ushauri kwa vile ninawapenda Watanzania wenzangu.

Don't hang the messenger!
 
[h=2]nday, November 9, 2015[/h] [h=3]TAARIFA YA MAANDAMANO[/h]
zawalogo-346x272.jpg

Assalamu alaykum,
Kwa Niaba ya Zanzibar Welfare Association UK, inapenda kuwaarifu Watu wote watakaonafasika, kuhudhuria kwenye Maandamano yatakayofanyika 10 Downing St, London SW1A 2AA kuanzia saa nne asubuhi siku ya Ijumaa tarehe 13/11/2015.
Lengo ni kutoa Shukran kwa Waziri Mkuu na Serikali yake ya Uengereza kuona haki inatendeka kwa Wananchi wa Zanzibar juu ya uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 25/10/2015.
Kibali kimetolewa na Parliamentary & Diplomatic Protection Command wakishirikiana na Scotland Yard Special Events.
Ahsanteni
Mwenyekiti ZAWA UK
Hassan M Khamis

[h=1]KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.[/h]
FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI at 11:17 PM
 
Wazanzibari na Watanganyika wengi walioko Uingereza wamejilipua. Kwa sasa wanaishi kama Wasomali, Wasudani na Waeritrea.

Wadanganyeni waandamane ili wakakutane na mikono ya Maafisa wa border force kwenye underground entry, buses and demonstration!

Kuna hatred kubwa sana kama ya Waunguja na Wapemba kiasi kwamba wamechomeana kwenye ofisi za uhamiaji.

Kwa faida ya maisha yao, kama kuna mtu ana matatizo kuhusu status ya uhamiaji ni vizuri akaepuka maandamano hayo, otherwise, atajikuta kwenye matatizo.

Ninatoa ushauri kwa vile ninawapenda Watanzania wenzangu.

Don't hang the messenger!
Mwingereza hana muda wa kukamata watu,akishakupa status ya kuishi hayo mambo mengine hana muda nayo-usiwatishe watu
 
Teh Teh kwa hiyo unachochea maandamo nyuma ya kibodi?
 
Wazanzibari na Watanganyika wengi walioko Uingereza wamejilipua. Kwa sasa wanaishi kama Wasomali, Wasudani na Waeritrea.

Wadanganyeni waandamane ili wakakutane na mikono ya Maafisa wa border force kwenye underground entry, buses and demonstration!

Kuna hatred kubwa sana kama ya Waunguja na Wapemba kiasi kwamba wamechomeana kwenye ofisi za uhamiaji.

Kwa faida ya maisha yao, kama kuna mtu ana matatizo kuhusu status ya uhamiaji ni vizuri akaepuka maandamano hayo, otherwise, atajikuta kwenye matatizo.

Ninatoa ushauri kwa vile ninawapenda Watanzania wenzangu.

Don't hang the messenger!

Hahaaa we mwaga siri zao tu mkuu, ngoja waje ukione cha moto!!

Halafu sasa wanavyokomaaga kudai dual citizenship, nahisiga hata hawajielewi sijui, yaani wanalia lia kwa visa fee ya usd 50
 
Back
Top Bottom