October
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 2,145
- 93
nawe ni mnafiki namba moja, shwain wewe! yanayoendelea russia na ukraine mpo kimya kabisa kisa wagalatia wenzenu
Kama kawaida yenu FULL JAZBA!!!!
Badala ya kuangala ukweli unaotokea unabakia kushabikia Maandamano yanayoongozwa kwa Unafiki na wanafiki Wachache.
Mbona Hamuandamani watu 1700 waliouawa Syria for the past 1 week alone??? au Roho za Wasyria hazina thamani?
source read here