FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Wenzake kina nani wewe mama.? Tumieni akili angalau siku mojamoja,Haya mafundisho ya mudi yatakuja kuwatokea puani siku moja
Wewe sio mwenzake?
Wenzake kina nani wewe mama.? Tumieni akili angalau siku mojamoja,Haya mafundisho ya mudi yatakuja kuwatokea puani siku moja
mbona kutwa kucha mnalia na dau?Hata utokwe povu debe zima ukweli utabaki pale pale, mfumo kristu ndio basha
wenu
Hiyo ilitabiriwa ili damu ya thamani imwagike kwa ajili ya usafi dhidi ya dhambi zetu kwani damu ya ndama na kondoo haikuweza kizisafisha dhambi za mwanadamu. Alifanyika laana kwa ajili yetu wanadamu.
Machungu gani wakati kupigwa kwake tumepona. Tazama matasa wanapata watoto, vipofu wapata kuona, dhambi zinaoshwa, mapepo na vibwengo vinasepa bila ya kuaga, matumaini na amani vinatawala, na mbinguni tunakwenda
Alaaniwe na nani?. Allah na mtume wake mohammed?. Wala haitotokea kama allah wenu ana nguvu kwa nini mnaandama?. Mwambieni awaokoe tuone. Labda nadhani amelala shart aamshwe.
Wenzake kina nani wewe mama.? Tumieni akili angalau siku mojamoja,Haya mafundisho ya mudi yatakuja kuwatokea puani siku moja
Mwambieni Allah awape mbinu mpya ya kupigana maana ile ya kujivika Mabomu na kujilipua kama wehu haifanyi kazi.
Na mafundisho ya Yesu wa msalabani ya kula nyama za watoto wenu yatakutokeeni wapi? Makalioni au?
And ye shall eat the flesh of your sons, and the flesh of your daughters shall ye eat."
---Leviticus 26:29
"And thou shalt eat the fruit of thine own body, the flesh of thy sons and of thy daughters." -
--Deuteronomy 28:53
This thing is crazy ina maana yeye yesu alikuwa hajui kuwa kifo chake ni kafara ya dhambi km alijua alikuwa analia nini wakati ni mipango yao wenyewe(mungu 1 mungu2 na mungu 3)
Mathayo 27:45-46
Eloi eloi lamasabakhtani "mungu wangu mungu wangu mbona umeniacha???
Inaonekana kuwa ewe huijui Quran zaidi ya kuwa ni mfuata Mkumbo. Natanguliza pole zangu kwako.We huna habari hata yule msela wa msalabani alijitoa muhanga akafa kifo nusu uchi?
Ni hivyo tu wakati huo kulikuwa hakuna mabomu lkn Yesu angekuwa mtu wa kwanza kujilipua kwa ajili ya madhambi yenu.
We ukiambiwa Uchague KUSULUBIWA kwa misumari halafu kuchomwa mkuki wa makalio km Alivyofanywa msela pale msalabani mpaka akafa polepole na Uambiwe URIPUKE TU MARA MOJA dakika tu Umeshakwisha je! Wewe maxshimba utachagua MSALABA?
Mimi nina 100% yesu angechagua BOMU. Uisdhani yule jamaa alikuwa FAl.a.
Yule jamaa maisha yake alikuwa Hana nyumba wala kazi lkn mshikaji anakula na kulala kila siku.
Sasa hapo jiulize km sio uzembe na uzururaji huo ni nini?
Angesha pelekwa keko loong time.
Hi, wapi kwenye Qurani panawaruhusu nyie kuandamana? Au ndio kufuata Mkumbo?Wewe sio mwenzake?
Wenzake kina nani wewe mama.? Tumieni akili angalau siku mojamoja,Haya mafundisho ya mudi yatakuja kuwatokea puani siku moja
Na mafundisho ya Yesu wa msalabani ya kula nyama za watoto wenu yatakutokeeni wapi? Makalioni au?
And ye shall eat the flesh of your sons, and the flesh of your daughters shall ye eat."
---Leviticus 26:29
"And thou shalt eat the fruit of thine own body, the flesh of thy sons and of thy daughters." -
--Deuteronomy 28:53