Maandamano barabara ya Kawawa

Maandamano barabara ya Kawawa

allah mwenyewe ana ratiba ya kumswalia mtume! MAJANGA

Allah ni mwingi wa rehema mwenye kurehemu, na hufanya hivyo kwa viumbe vyake, ila( ni yeye pekee anayepaswa kuabudiwa, (tofautisheni kutakia rehma (kuswalia) na kuabudu,). asanteni
 
th
 
Ila mungu wenu aliyechapwa viboko na mijeredi kisha akaanza kulia na kuwekwa msalabani alikuwa ana nguvu ehnee? maana alishindwa kuwatoroka viumbe wake wasimuadhibu. Hizi imani nyingine ni hatari.

hayakuhusu! Israel imezungukwa na mashetani lakini wameshindwa kumuangusha.

inanikumbusha kale kawimbo ka,

`hawataiondoa ISRAEL kwenye ramani ya dunia'
 
Allah ni mwingi wa rehema mwenye kurehemu, na hufanya hivyo kwa viumbe vyake, ila( ni yeye pekee anayepaswa kuabudiwa, (tofautisheni kutakia rehma (kuswalia) na kuabudu,). asanteni

peleka allah wako huko! Mi namwabudu JEHOVAH

mwambieni na Kikwete atoe tamko kama kwa Kagame, si JWTZ wako vyema awapeleekee
 
Tazama matasa wanapata watoto. IQ bora kabisa masomo, amani na upendo, ustaharabu jadi yetu, Tumaini jipya la maisha haya na yajayo tele, hakuna adhabu wala hukumu kwetu sisi tulio ndani ya Kristo Yesu n.k.

Yesu hana uwezo wa kutoa hukumu, ila utahukumiwa na mungu mmoja, ambaye hakuzaa wala hakuzaliwa, Petro amejitahidi kupata kundi kubwa la kuingia nalo motoni. Inna lilah wainairah rajiun
 
Atatokea hitler mwingine awaangamize.kumbuka hawa wamelaanika baada ya kumsulubu yesu.wanaishi kwa hofu kubwa kama nyoka.wanasumbuliwa na kikosi kidogo cha wanamgambo wa kipalestina.sasa hivi wamebaki wachache wengi waliishaangamizwa.laana iko juu yao.
 
Boko Haram, Isis Alkaida, Hamas, Hezibolah, seleka wanauwa wasio hatia na kujilipua nafsi zao. Wana baraka ya nani kufanya mauaji ya binadamu wenzao? Israel ana haki ya kujilinda dhidi ya magaidi.
 
Boko Haram, Isis Alkaida, Hamas, Hezibolah, seleka wanauwa wasio hatia na kujilipua nafsi zao. Wana baraka ya nani kufanya mauaji ya binadamu wenzao? Israel ana haki ya kujilinda dhidi ya magaidi.

wamezoea kutuonea wakristo, wamekutana na wazee wa JINO KWA JINO
 
Atatokea hitler mwingine awaangamize.kumbuka hawa wamelaanika baada ya kumsulubu yesu.wanaishi kwa hofu kubwa kama nyoka.wanasumbuliwa na kikosi kidogo cha wanamgambo wa kipalestina.sasa hivi wamebaki wachache wengi waliishaangamizwa.laana iko juu yao.

laana ya nani? kama ya allah wala haishiki! MUNGU hajailaani ISRAEL
 
Yesu hana uwezo wa kutoa hukumu, ila utahukumiwa na mungu mmoja, ambaye hakuzaa wala hakuzaliwa, Petro amejitahidi kupata kundi kubwa la kuingia nalo motoni. Inna lilah wainairah rajiun

Ha ha haaa, mmemuacha Paulo mmeanza kwa Petro?

SHETANI NOOMA
 
wote wanafiki tu mnajifanya mnamachungu kuuliwa ndugu zenu wapalestina nauliza ni watu wangapi miongoni mwenu mmetoa michango au kuhamasisha michango ya hali namali kwa ajili ya kusaidia wapalestina waliopoteza makazi na Mali kutokana na mashambulizi ya islaeri au mnafikiri kulaani na kutoa maneno makali kunawasaidia waathilika ni kikundi gani cha wapiganaji wa kislam kutoka nnje ya Palestina kimejitolea kwenda Palestina kuongeza nguvu ili kuweza kumung'oa islaeri, acheni unafiki kelele nyingi vitendo hakuna inakera sana.
 
haya majamaa ni bure kabisa.wameichokoza israel wenyewe kwa kuuwa wale vijana watatu ..sasa hivi wanatembezewa kisago wanaanza kuandamana..hii mijitu mimbuzi kabisa:angry:
 
Mimi nawachukia israel sababu walimtandika mungu wetu kama kibaka halafu naskia wakamla NDOGO kitu ntaa... waisrael wana laanaaa halafu badae wakamtundika mungu wetu mtini kama popo....
 
Back
Top Bottom