waisrael mbona wamekubali kusimamisha vita,lakini hamas hawataki. waislam waarabu waliokaribishwa palestina ndio wanaowaponza. kiongozi Wa Hamas aliyekataa kusimamisha vita ni raïa Wa Qatar, waliwadanganya watawasaidia ndo maana sasa wanakula mfueni. ukiwa maskini mtoto wako atakuwa fukara,na ukipigwa basi mwanao atauawa. wapalestina hawafikili, hawaelewi wanafanya nini,na serikali yao pia ni dhaifu,haina maamuzi. bora mwandamane kwa ajili ya dhahabu,tanzanite,albino wetu,gesi,ukawa na katiba yenu iokoe tanzania mbeleni kuliko huo upuuzi. Dua la kuku alimpati mwewe ndugu yangu. israeli alipambana na mungu na wanadamu akashinda, akabidi aitwe israel ,yaani shujaa (Mwanzo 32:28). Endeleeni kujidanganya tu,mkipunguzwa mtaenda kujipanga tena