Maandamano barabara ya Kawawa

Maandamano barabara ya Kawawa

Wangekua na akili, wangeandamana kupinga Boko Haram kuteka wasichana, kupinga Al Shabab kufanya ugaidi kule Somalia na Kenya, Kupinga ISIS kufanya mauaji kule Iraq na Syria, kupinga Al Qaeda kufanya na kufadhili ugaidi duniani..... Mengine utaongezea!

iwapo wangekua na akili
 
Yaser arafat hapo.

Unajua makafiri wa Tanzania hawajitambui.

Wakati makafir wenzao dunian wanaungana kulilaani taifa lenye laana la israel wao eti wanalishangilia na kuliita taifa la mungu.

Ajabu mungu wao wakristo ni yesu.

Yesu israel hawamtambui tena wanamwita mtoto wa zinaa.

Ukristo pia hao israel hawautambui.

Sasa hawa wanapoliita hili ni taifa la mungu wana maanisha mungu gani??

Teh teh teh.

Allahu akbar.

Subhannaka Allahuma Inkutum minal dhwalimiin...

Makafiri hawa nawaonea huruma kwa kupotea njia.

hao wamechoka na maisha sana utakuta wafuasi wa chagga dev.manfesto a.k.a chadema
 
hata akija aliyekufa akawaeleza yaliyoko huko aliko hamtamwamini mpaka ufe mwenyewe. hizo kashfa mbali mbali juu ya imani ya mtu sijui mnapata wapi ujasiri wa kuzijadili kwa kweli.
 
Israel haliitambui ukristo.

Wakristo wanaliitaje hilo ni taufa la mungu??

Mungu gani wanaomsema wao??
 
Akili za wala nguruwe utazijua tu.

Sasa unataka wao watoe tamko kuhusu alshabaab wanavyoua kenya kwani kenya kalazimishwa na nani kupeleka majeshi yake somalia kuua maelfu ya wasomali kule??

So hao alshabaab wakireact then uanze kumwaga chozi??

Hujiulizi kwanini alshabaab wasije tanzania au wasiende uganda badala yake waende kenya tu.

Na hizo nchi za kiarabu unazosema zipo kwenye vurugu ni nani kapeleka majeshi yake huko kama sio hayo mataifa yenu ya kikafiri kwenda kufanya uvamizi huko??

Mnalishangilia israel taifa ambalo hata ukristo hautambuliki ajaabu.

Makafiri mna laana.

Wakenya Walikuwa Wanavamiwa Na Alshbab Ndyo Mana Wakaamua Kupeleka Majeshi Huko.
 
I support Israel a 100%. God bless ur Nation

Sisaport Israel kwa mauaji ya watoto wazee na kina mama wao wangepeleka majeshi huko kutokomeza hamas,na cyo kufanya maangamizi ya halaiki kwa silaha nzito ambayo haimchagui adui wala mtoto.HI NI LAANA KWA ISRAEL.
 
yalifanyika wapi hayo mkuu?

Hayo mauaji yalifanyika Israel wakati inatawaliwa na Warumi. Waliomuua siyo Waisrael bali ni askari wa Kirumi. Aliye saini hati ya kifo siyo Muisraeli bali ni Mrumi (Italiano) Pontio Pilato.
 
I support Israel a 100%. God bless ur Nation

Sisaport Israel kwa mauaji ya watoto wazee na kina mama wao wangepeleka majeshi huko kutokomeza hamas,na cyo kufanya maangamizi ya halaiki kwa silaha nzito ambayo haimchagui adui wala mtoto.HI NI LAANA KWA ISRAEL.napia siwasapoti hamas na siwapendi kwa ugaidi wao.jumuiaya ya kiislamu ifike itoe tamko kw makundi haramu km alshbab alqaida b haram nk kutokuwatambua napia itoe kauli ya kuwalaani.haya makundi ndyo yanayochafua image ya uislamu duniani.
 
Hayo mauaji yalifanyika Israel wakati inatawaliwa na Warumi. Waliomuua siyo Waisrael bali ni askari wa Kirumi. Aliye saini hati ya kifo siyo Muisraeli bali ni Mrumi (Italiano) Pontio Pilato.

kipindi hicho waisrael walikuwa wapi? jews ni kina nani?
 
Good job Israel, keep it up....

Kuna watu, Yesu ndani ya Biblia amewaita kondoo na kuna watu amewaita mbwa tena sehemu nyingine wameitwa kuwa wana laana, tazama hii picha:



Unaweza kuelewa walioitwa kondoo na Yesu ni akina nani na walioitwa mbwa ni akina nani? Biblia inawatambulisha wote, nnauhakika huijui ndiyo maana nnakuuliza.
 
Sisaport Israel kwa mauaji ya watoto wazee na kina mama wao wangepeleka majeshi huko kutokomeza hamas,na cyo kufanya maangamizi ya halaiki kwa silaha nzito ambayo haimchagui adui wala mtoto.HI NI LAANA KWA ISRAEL.
Nikweli bali Hamas wanajificha kwa Raia...wangekuwa majasiri wangeenda front na sare zao kupambana na Israel na siyo kujichanganya na raia. VITA HAINA MACHO.
 
Wangekua na akili, wangeandamana kupinga Boko Haram kuteka wasichana, kupinga Al Shabab kufanya ugaidi kule Somalia na Kenya, Kupinga ISIS kufanya mauaji kule Iraq na Syria, kupinga Al Qaeda kufanya na kufadhili ugaidi duniani..... Mengine utaongezea!


American Jews protesters against Israel's military assault on Gaza​
 
Back
Top Bottom