Maandamano barabara ya Kawawa

Maandamano barabara ya Kawawa

kipindi hicho waisrael walikuwa wapi? jews ni kina nani?

Jewish ni WAYAHUDI ndiyo wananchi wa Israel. Israel ni jina ambalo YAKOBO alipewa baada ya kupambana na kumshinda Malaika hadi alipobarikiwa na kupewa jina Israel.
 
wadau kuna maandamano kupinga kile kinachoendelea masharik ya kat.wapalestina wa hapa dar na jamaa zao wametanda barabaran wakielekea njia kama unaenda magomen ukitokea hapa ilala boma,maandamano haya n ya aman.nimesikia mtoto akiimba mashairi ya kuelezea jamii ya kipalestina ilivyo mashakan

picha:
 
na wabarikiwe kweli kwa maana hawajaanza leo kwani ndo walimpiga mungu na kumvalisha nepi sembuse wapalestina!

Huyajui maandiko, hujui inabii wala ujio wa Yesu Kristo, hujui hata wakati Yesu anasurubiwa Israel ilikuwa chini ya utawala gani na sheria zipi zilimhukumu kifo Yesu. Nyamaza!.

La kuongelea unaloweza kuchangia hata kama huna Mungu wala elimu, ni kwa ajili ya nini Hamasi waliwateka vijana watatu wa Israel na kuwaua? Kwa nini unaogopa kuuzungumzia ukweli na ambao ndiyo chanzo cha yanayoendelea kule gaza?

Mungu Mbariki, umuongeze na kumzidisha Israel!.
 
  • Thanks
Reactions: J C
Yaser arafat hapo.

Unajua makafiri wa Tanzania hawajitambui.

Wakati makafir wenzao dunian wanaungana kulilaani taifa lenye laana la israel wao eti wanalishangilia na kuliita taifa la mungu.

Ajabu mungu wao wakristo ni yesu.

Yesu israel hawamtambui tena wanamwita mtoto wa zinaa.

Ukristo pia hao israel hawautambui.

Sasa hawa wanapoliita hili ni taifa la mungu wana maanisha mungu gani??

Teh teh teh.

Allahu akbar.

Subhannaka Allahuma Inkutum minal dhwalimiin...

Makafiri hawa nawaonea huruma kwa kupotea njia.
Walioleta Ukristu ni wazungu kwa madhumuni ya kutunyonya na manyanyaso na walioleta uisilamu ni waarabu kwa kutuuza kama watumwa na kutufunga minyororo miguuni kama ng'ombe. waafrika tumelogwa!
 
Jewish ni WAYAHUDI ndiyo wananchi wa Israel. Israel ni jina ambalo YAKOBO alipewa baada ya kupambana na kumshinda Malaika hadi alipobarikiwa na kupewa jina Israel.

yesu alihukumiwa kwa sheria za kiyahudi na alipelekwa kwenye baraza la wazee wa kiyahudi na aliyemshtki ni waandishi na mafarisayo.alipopelekwa kwa pilato, akasema sioni kosa la huyu mtu,wayahudi wakapaza sauti wakasema asulubiwe asulubiwe,pilato kwa kuogopa jews akaamua hati ya hukumu kwa mujibu wa sheria ya kiyahudi,nakumbuka pilato akanawa mikono yake,kwa ishara ya kuwaachia wayahudi na laana yao
 
Hayo mauaji yalifanyika Israel wakati inatawaliwa na Warumi. Waliomuua siyo Waisrael bali ni askari wa Kirumi. Aliye saini hati ya kifo siyo Muisraeli bali ni Mrumi (Italiano) Pontio Pilato.

Waisrael ndio walio muua yesu wakikataa kwamba yesu si masia wanaamini kwamba masia bado hajaja ila atakuja ..mungu wa waisrael yehova ndiye mungu wawakristu na ndiye muumbaji wa mbingu na nchi
 
Yaser arafat hapo.

Unajua makafiri wa Tanzania hawajitambui.

Wakati makafir wenzao dunian wanaungana kulilaani taifa lenye laana la israel wao eti wanalishangilia na kuliita taifa la mungu.

Ajabu mungu wao wakristo ni yesu.

Yesu israel hawamtambui tena wanamwita mtoto wa zinaa.

Ukristo pia hao israel hawautambui.

Sasa hawa wanapoliita hili ni taifa la mungu wana maanisha mungu gani??

Teh teh teh.

Allahu akbar.

Subhannaka Allahuma Inkutum minal dhwalimiin...

Makafiri hawa nawaonea huruma kwa kupotea njia.

Hujui ukisemacho,
 
Wangekua na akili, wangeandamana kupinga Boko Haram kuteka wasichana, kupinga Al Shabab kufanya ugaidi kule Somalia na Kenya, Kupinga ISIS kufanya mauaji kule Iraq na Syria, kupinga Al Qaeda kufanya na kufadhili ugaidi duniani..... Mengine utaongezea!

Hivi huwa najiuliza wanavyoandamana huwa wausika wanawasikia au mbwembwe.
 
Walioleta Ukristu ni wazungu kwa madhumuni ya kutunyonya na manyanyaso na walioleta uisilamu ni waarabu kwa kutuuza kama watumwa na kutufunga minyororo miguuni kama ng'ombe. waafrika tumelogwa!

hapana mkuu mwanzilishi wa biashara ya utumwa ni mzungu na alikuwa mreno kwajili ya mashamba yake huko latin amerikan,wafaransa waingereza nawengneo wakaingia kwenye hyo biashara,MZEE WA MANDEVU aka MWARABU alitumika km midle man ktk biashara hyo.kazi kubwa ilikuwa kukusanya watumwa interior nakupeleka sokoni kwa buyers ambao ni waropa aka wazungu
 
Wadau kuna maandamano kupinga kile kinachoendelea masharik ya kat.Wapalestina wa hapa dar na jamaa zao wametanda barabaran wakielekea njia kama unaenda magomen ukitokea hapa ilala boma,maandamano haya n ya aman.Nimesikia mtoto akiimba mashairi ya kuelezea jamii ya kipalestina ilivyo mashakan

Inasikitisha sana kwa haya yanayotokea watu wasiokuwa na hatia wanakufa kiasi hicho. Israel na Hamas wote ni wa kulaumiwa sana. Israel kwa kutokuwa na huruma kwa binadamu wenzake na Hamas vilevile kutokuwa na huruma kwa kuwaweka binadamu kama walinzi wa silaha zake ili zisipigwe na Israel. UN wamesema vizuri kabisa kuwa japokuwa wamekuta rockets kwenye ile shule ya UN iliyopigwa na Israel (ambacho ni kinyume na sheria za kimataifa) vilevile haikuwa halali wala haihalalishi Israel kulenga mabomu sehemu ile kwani walikuwepo watu wasio na hatia. Kila upande, Israel na Hamas wanatakiwa wasemwe na watakiwe kujirekebisha.
 
Inasikitisha sana kwa haya yanayotokea watu wasiokuwa na hatia wanakufa kiasi hicho. Israel na Hamas wote ni wa kulaumiwa sana. Israel kwa kutokuwa na huruma kwa binadamu wenzake na Hamas vilevile kutokuwa na huruma kwa kuwaweka binadamu kama walinzi wa silaha zake ili zisipigwe na Israel. UN wamesema vizuri kabisa kuwa japokuwa wamekuta rockets kwenye ile shule ya UN iliyopigwa na Israel (ambacho ni kinyume na sheria za kimataifa) vilevile haikuwa halali wala haihalalishi Israel kulenga mabomu sehemu ile kwani walikuwepo watu wasio na hatia. Kila upande, Israel na Hamas wanatakiwa wasemwe na watakiwe kujirekebisha.

Views za kweli:thumbup:
 
Israel wanapata kipigo kizuri - hawakutegemea kuwa watu wachache ambao wa wmewazunguka pamoja na kibaraka wao misri wata weza kupigana kiasi hiki. Israel wamebaki kuuwa raia tu lakini wanapokutana na Hammas wanaipata na wameshindwa kuingia.
 
Huyajui maandiko, hujui inabii wala ujio wa Yesu Kristo, hujui hata wakati Yesu anasurubiwa Israel ilikuwa chini ya utawala gani na sheria zipi zilimhukumu kifo Yesu. Nyamaza!.

La kuongelea unaloweza kuchangia hata kama huna Mungu wala elimu, ni kwa ajili ya nini Hamasi waliwateka vijana watatu wa Israel na kuwaua? Kwa nini unaogopa kuuzungumzia ukweli na ambao ndiyo chanzo cha yanayoendelea kule gaza?

Mungu Mbariki, umuongeze na kumzidisha Israel!.

Mungu anaadhibiwa na wanadamu tena? kama yeye ameshindwa kujiokoa ataweza kuwasaidia kweli? ebu tafakari ndugu yangu mbona mnaniangusha.
 
Mzungu kichupi.sanamu mwenyewe anawajua coz walimdunda sana mpaka jasho la m a t a k o lilikauka.big up israel

nayule ambae baada ya kuzikwa alifukuliwa na kuliwa na kitimoto unamkumbuka?
 
Israel pigeni hao kenge mpaka akili iwarejee kichwani.
 
Wana wa israel matatani ila mungu yupo pamoja nao!!
 
Back
Top Bottom