Maandalizi kuelekea maandamano ya amani kesho Novemba 9

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,862
35,872
F-ZqitzWYAA1x_k.jpeg


Kwamba taarifa zote zilifuatwa. Hata ilipobidi rufaa ilikatwa kwa waziri:

"Silence gives consent."

Kesho tutamwagika mitaani kwa maandamano yatakayokuwapo kila tarehe 9 ya mwezi hadi hoja zetu zitakapojibiwa.

Kwako Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, rais wetu mpendwa wa JMT:

"Kuna tetesi za polisi Mbeya kuandaa risasi za bahati mbaya kuuwa na kujeruhi watu kesho."



Bahati mbaya inapigiwa je mahesabu yake leo?

"Wewe ni muislam mwenye hofu ya Mungu."

Kulikoni haja ya majibu ya hoja kupangiwa majibu ya risasi, virungu, kujeruhi au kuuwa?

Kemea polisi hawa wenye wajibu kama wewe na sote wengine wa kuilinda katiba ya nchi.

Kulikoni wengine kukuchumia wewe dhambi hata mbele za Mola?

Kulikoni usitume mwakilishi wako kuwasikiliza wananchi hawa wasiokuwa na chembe ya shari akakuletea mrejesho?

Kulikoni kutaka kuipoteza fursa hii ya kuiunganisha nchi kwa vitendo?
 
Kama hiyo ndio wameona njia ya kuwafunga watu midomo wanakosea, huwezi kumfunga mtu mdomo kwa kumuondolea haki yake ya kuishi, huo ni ukatili mkubwa zaidi ya ule ukatili waliotufanyia kwenye mkataba wa hovyo wa bandari.

Kitendo chochote cha kujaribu kuondoa uhai wa raia waandamanaji wasio na hatia, tena wanaotekeleza haki yao kisheria, kitaonesha dhamira ovu hii serikali ya sasa iliyonayo dhidi ya watanganyika, na itathibitisha ndio maana wakaamua kuingia ule mkataba wa hovyo kabisa wa bandari, kwasababu hawatujali wenye nchi.

Hapo pia, ndipo tutaamini bila shaka, kwamba tunatawaliwa na serikali ya mkoloni, toka Makunduchi, Zanzibar.
 
View attachment 2807863

Kwamba taarifa zote zilifuatwa. Hata ilipobidi rufaa ilikatwa kwa waziri:

"Silence gives consent."

Kesho tutamwagika mitaani kwa maandamano yatakayokuwapo kila tarehe 9 ya mwezi hadi hoja zetu zitakapojibiwa.

Kwako Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, rais wetu mpendwa wa JMT:

"Kuna tetesi za polisi Mbeya kuandaa risasi za bahati mbaya kuuwa na kujeruhi watu kesho."

View attachment 2807884

Bahati mbaya inapigiwa je mahesabu yake leo?

"Wewe ni muislam mwenye hofu ya Mungu."

Kulikoni haja ya majibu ya hoja kupangiwa majibu ya risasi, virungu, kujeruhi au kuuwa?

Kemea polisi hawa wenye wajibu kama wewe na sote wengine wa kuilinda katiba nchi.

Kulikoni wengine kukuchumia wewe dhambi hata mbele za Mola?

Kulikoni usitume mwakilishi wako kuwasikiliza wananchi hawa wasiokuwa na chembe ya shari akakuletea mrejesho?

Kulikoni kutaka kuipoteza fursa hii ya kuiunganisha nchi kwa vitendo?
Zike za kukata kona juu na kurudi chini
 
Kama hiyo ndio wameona njia ya kuwafunga watu midomo wanakosea, huwezi kumfunga mtu mdomo kwa kumuondolea haki yake ya kuishi, huo ni ukatili mkubwa zaidi ya ule ukatili waliotufanyia kwenye mkataba wa hovyo wa bandari.

Kitendo chochote cha kujaribu kuondoa uhai wa raia waandamanaji wasio na hatia, tena wanaotekeleza haki yao kisheria, kitaonesha dhamira ovu hii serikali ya sasa iliyonayo dhidi ya watanganyika, na itathibitisha ndio maana wakaamua kuingia ule mkataba wa hovyo kabisa wa bandari, kwasababu hawatujali wenye nchi.

Hapo pia, ndipo tutaamini bila shaka, kwamba tunatawaliwa na serikali ya mkoloni, toka Makunduchi, Zanzibar.

Ngoja walikoroge. Kwa hakika watalinywa. Dunia iko paleee.. ee.. 👉 inaangalia.
 
Hao wahuni ni lazima wadhibitiwe vizuri ili wasichafue Taswira ya jiji la mbeya. Mbeya haitaki maandamano na wala haina mahitaji ya maandamano. Mbeya siyo uwanja wa kufanyia majaribio ya kila ujinga kutoka kwa kichaa na mwendawazimu yeyote yule anayejisikia tu kufanya yake akishalewa mipombe na kuvuta mibangi yake. Mbeya inahitaji maendeleo na miradi ya maendeleo kama ambavyo imekuwa ikiletwa kwa sasa na serikali ya Rais samia.mbeya inahitaji huduma za kijamii na siyo maandamano.

Mbeya hatutaki maandamano, Mbeya hatutaki kurudishwa nyuma wala kurejeshwa kwenye kuliharibu jiji letu kwa mikono yetu wenyewe.kwa sasa Mbeya na wanambeya wapo Bize makazi ya kuijenga Mbeya na kuijileteea maendeleo.

Polisi nawasihi msicheke na wahuni,msiwape nafasi wahuni .msiruhusu Mbeya kuwa mkoa wa kufanyia uhuni kutoka kwa wahuni.
 
Kama hiyo ndio wameona njia ya kuwafunga watu midomo wanakosea, huwezi kumfunga mtu mdomo kwa kumuondolea haki yake ya kuishi, huo ni ukatili mkubwa zaidi ya ule ukatili waliotufanyia kwenye mkataba wa hovyo wa bandari.

Kitendo chochote cha kujaribu kuondoa uhai wa raia waandamanaji wasio na hatia, tena wanaotekeleza haki yao kisheria, kitaonesha dhamira ovu hii serikali ya sasa iliyonayo dhidi ya watanganyika, na itathibitisha ndio maana wakaamua kuingia ule mkataba wa hovyo kabisa wa bandari, kwasababu hawatujali wenye nchi.

Hapo pia, ndipo tutaamini bila shaka, kwamba tunatawaliwa na serikali ya mkoloni, toka Makunduchi, Zanzibar.
Idiots
 
Hao wahuni ni lazima wadhibitiwe vizuri ili wasichafue Taswira ya jiji la mbeya. Mbeya haitaki maandamano na wala haina mahitaji ya maandamano. Mbeya siyo uwanja wa kufanyia majaribio ya kila ujinga kutoka kwa kichaa na mwendawazimu yeyote yule anayejisikia tu kufanya yake akishalewa mipombe na kuvuta mibangi yake. Mbeya inahitaji maendeleo na miradi ya maendeleo kama ambavyo imekuwa ikiletwa kwa sasa na serikali ya Rais samia.mbeya inahitaji huduma za kijamii na siyo maandamano.

Mbeya hatutaki maandamano,Mbeya hatutaki kurudishwa nyuma wala kurejeshwa kwenye kuliharibu jiji letu kwa mikono yetu wenyewe.kwa sasa Mbeya na wanambeya wapo Bize makazi ya kuijenga Mbeya na kuijileteea maendeleo.

Polisi nawasihi msicheke na wahuni,msiwape nafasi wahuni .msiruhusu Mbeya kuwa mkoa wa kufanyia uhuni kutoka kwa wahuni.
Mbeya mnataka wezi tu wa bandari na waiba kura kwa mitutu
 
Back
Top Bottom