Maana yake huwa ni nini?

Maana yake huwa ni nini?

Teh hiyo ni hata ukilia fimbo unazo
Hata my bro anatabia hii,akifumwa anakua mkali,kwanini umepekura cm yangu,ivi wewe mwanamke umefunzwaje kwenu
Nakurejesha kwenu wakakufundishe kupekura mumeo sio kuzuri mbona mimi cm yako sipekuri,mkewe anakua mduuchu,
Anikute mie mwenye mdomo kama niko kwake nikute ugomvi na mkewe sinyamazi ntamchamba simuwachii,namwambia
wewe kwa ufisadi ulokua nao am sure hata mumewangu utamuharibu, ni very close friend wa my hubby na mda mwingi wako wote...
 
hapa Evelyn salt hata ujifanye unaongelea jinsia zote si huku tunajua ni wanaume wenye tabia hizi...ovyo kabisa mijanaume ya hivi.

na wanawake ndo kuwalea lea halafu baadae kujitia kufunda wenzao wavumilie hii first class stupid.

hapa first class stupid ni both huyo mwanaume na huyo mwanamke asiyeelewa kuwa hathaminiwi.
 
hahahahhaaa,,, hata kama red handed ...hiyo ni hali ya kutaka kuhalalisha uharibifu/uhuni/au tabia zako,,,,ili aliefanyiwa ajue ndo zako.........
 
hapa Evelyn salt hata ujifanye unaongelea jinsia zote si huku tunajua ni wanaume wenye tabia hizi...ovyo kabisa mijanaume ya hivi.

na wanawake ndo kuwalea lea halafu baadae kujitia kufunda wenzao wavumilie hii first class stupid.

hapa first class stupid ni both huyo mwanaume na huyo mwanamke asiyeelewa kuwa hathaminiwi.
Teh ha ha ha sijajifanya but ipo hivo atleast kwa mwanamke waweza jua, mara nyingi kama mwanamke anapendwa sana ndo wanakuaga na tabia za hivi. Akikosea ananuna yeye
 
Umegeneralize mambo naomba kukurekebisha....
1: hii sio ya mwanaume tu, hata wanawake wa hivi wapo.... Haya assume ni dem wako so wewe
2: kufumwa sio lazma simu ishikwe technology imekua sana
Last nimesema assume so kosa sio kufumwa tu, hebu chukulia kosa lolote

Karibu
sio kwamba nimegeneralize ila nimeongea hali halisi
1: siwezi kuongelea jinsia zote naongelea kuhusu mimi yaani navyoandika siandiki kwa niaba ila mimi na mtazamo wangu

2: sasa mtu ushamfuma bado unataka akuombe msamaha halafu mnataka kudanganywa kwamba shetani alimpitia
ukishamfuma mtu maamuzi ni yako kuendelea au kuachana nae kubembelezana huko ni kujaribu kuangalia mtu yupo upande upi kama ameamua kukusamehe atapuuzia kama ameamua yametosha utabembeleza mpaka utamuimbia nyimbo
 
Sijakuelewa.....
hutoweza kunielewa mpaka utakapojielewa kwanza,,, coz kukomaa baada sijui umesema kufumwa....ndo nakwambia ni kwamba mtu anakulazimisha uamini kwamba alichokifanya kwake ni kawaida.....so uamue mwenyewe
 
2: sasa mtu ushamfuma bado unataka akuombe msamaha halafu mnataka kudanganywa kwamba shetani alimpitia
ukishamfuma mtu maamuzi ni yako kuendelea au kuachana nae kubembelezana huko ni kujaribu kuangalia mtu yupo upande upi kama ameamua kukusamehe atapuuzia kama ameamua yametosha utabembeleza mpaka utamuimbia nyimbo
well the word sorry need not be part of your (you and your partner) vocabulary.

hopefully na wewe hutegemei kuombwa msamaha. abaki anakuangalia aone umeamuaje sasa.
 
Dalili za kuchokana kwenye mahusiano zipo mingi sana na hata hiyo ni dalili ya mahusiano yaliyo taabani kwani wewe unataka kutengeneza mambo ila mwenzako hataki kutengenzeza kwa maana ingine anataka ufanye maamuzi unayotaka hapo hapo....Ila kwa watu walio na upendo wa dhati lazima...Sorry mingi zitolewe hapo so ukiona hivyo we jiongeze tu maana hakuna cha suluhu hapo..
 
well the word sorry need not be part of your (you and your partner) vocabulary.

hopefully na wewe hutegemei kuombwa msamaha. abaki anakuangalia aone umeamuaje sasa.
kuomba msamaha ni neno la kinafki silitumii hata kwa kudanganya na sina muda wa kulisikiliza ni unafki
 
Hadi muda huo hujajua bado kinachoendelea, wewe ndo una kosa na kosa lako " kwa nini umemfukunyua" hahahha nacheka kama mazuri. Kuna watu kosa lake, ila kesi itaishia kuwa yako na mwisho wewe ndo utatakiwa uombe msamaha (nijikute tu mtcheew). Ndo maana me kuna muda nilikuwa nikifind kitu nafanya tu maamuzi magumu yaishe (sio nyie wa kwenye ndoa lakini teh). Coz unamkalisha mwenzako chini ili muongee, yeye kukiri kosa hataki afu bora anyamaze basi (nta-assume roho inamsuta), kesi inakugeukia wewe, si undezi huo sasa. Huo ni ubabe + dharau

Afu kwa hayo majibu, ningeshabeba moyo wangu nimesepa. Hayo majibu si ya kumpa mpenzi wako unayemuhitaji, labda kama huwa mnakutana tu kibiashara. Kuomba msamaha sio sign of weakness, ila ni ustaarabu, Utu na uungwana. Na msamaha hauna jinsia, hupendi kuomba msamaha basi Jitahidi pia usifanye makosa
 
Back
Top Bottom