Maana ya neno Wema hawafi ndio hii. Mzee Makamba kapotosha, Baraza la Kiswahili liingie kati

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,193
11,225
Neno Wema hawafi ni neno la Kiswahili lenye maana 'Ukitenda wema wema wako haufi hata ikiwa kaburini wema wako hauwezi kufa'

Hiyo ndio maana ya neno Wema hawafi. Unavyoona mtu kama Magufuli amekufa bado anakumbukwa na kutajwa kila mahali ndio maana halisi wema wa mtu haufi ila anakufa mwili ila mema yake yanaishia.

Kitendo cha Mzee Makamba kuitumia hili neno la Kiswahili na kugeuza kuwa wema ndio wale wanaishi na wale waliokufa sio wema ni upotoshaji mkubwa ktk kutafasiri maneno ya kiswahili.

Naomba sana Baraza la Kiswahili litoke na kusahihisha haya maneno au ina maana kila anayekufa sio mwema na kama huo ndio ukweli je mbona hakuna anayeishi milele hata angekuwa mwema kiasi gani.

Wapo watu hawafi ili Mungu awaoneshe na kuwalipa ubaya wao kama wema hawafi yupo wapi Mandela?

Kama wema hawafi yupo wapi Desmond Tutu? Kama wema hawafi yupo wapi Nyerere? Kama wema hawafi yupo wapi Martin Luther? Kama wema hawafi yupo wapi Abraham Linkolin? Kama wema hawafi wapo wapi mitume na manabiii? Yupo wapi Sokoine ?

Mzee Makamba ameongea kiswahili nje ya utaratibu lazima ajibiwe mchana kweupe.

Mbona asiseme wema hawadumu na huu ndio ukweli watu wema hawadumu acha hiyo ya wema hawafi ipo ya watu wema hawadumu
 
Neno Wema hawafi ni neno lakiswahili lenye maana ukitenda wema wema wako haufi hata ikiwa kaburini wema wako hauwezi kufa hiyo ndio maana ya neno Wema hawafi.
Kitendo cha Mzee Makamba kuitumia hili neno la kiswahili na kugeuza kuwa wema ndio wale wana ishi na wale walio kufa sio wema ni upotoshaji mkubwa ktk kutafasiri maneno ya kiswahili.
Naomba sana Baraza la kiswahili litoke na kusahihisha haya maneno or ina maana kila anaye kufa sio mwema na kama huwo ndio ukweli je mbona akuna anye ishi milele hata angekuwa mwema kiasi gani.
Mwanae anaondolewa kwenye baraza la mawaziri
 
Neno Wema hawafi ni neno lakiswahili lenye maana ukitenda wema wema wako haufi hata ikiwa kaburini wema wako hauwezi kufa hiyo ndio maana ya neno Wema hawafi.
Kitendo cha Mzee Makamba kuitumia hili neno la kiswahili na kugeuza kuwa wema ndio wale wana ishi na wale walio kufa sio wema ni upotoshaji mkubwa ktk kutafasiri maneno ya kiswahili.
Naomba sana Baraza la kiswahili litoke na kusahihisha haya maneno or ina maana kila anaye kufa sio mwema na kama huwo ndio ukweli je mbona akuna anye ishi milele hata angekuwa mwema kiasi gani.
Acha tafsiri "sisisi"!Mtu akiwa mwema,wema wake huishi na kuishi miaka "laki tisa"!Na akiwa muovu,ujinga wake hukatazwa hata kusemwa mbele za watu.Ndiyo hivyo.Acha kusumbua Baraza la Kiswahili.Wana mambo mengi.
 
Neno Wema hawafi ni neno lakiswahili lenye maana ukitenda wema wema wako haufi hata ikiwa kaburini wema wako hauwezi kufa hiyo ndio maana ya neno Wema hawafi. Unavyo ona mtu kama Magufuli amekufa bado anakumbukwa nakutajwa kila mahali ndio maana halisi wema wa mtu haufi ila anakufa mwili ila mema yake yanaishia.
Kitendo cha Mzee Makamba kuitumia hili neno la kiswahili na kugeuza kuwa wema ndio wale wana ishi na wale walio kufa sio wema ni upotoshaji mkubwa ktk kutafasiri maneno ya kiswahili.
Naomba sana Baraza la kiswahili litoke na kusahihisha haya maneno or ina maana kila anaye kufa sio mwema na kama huwo ndio ukweli je mbona akuna anye ishi milele hata angekuwa mwema kiasi gani.
Wapo watu hawafi ili Mungu awaonyeshe na kuwalipa ubaya wao kama wema hawafi yupo wapi Mandela? Kama wema hawafi yupo wapi Desmond Tutu kama wema hawafi yupo wapi Nyerere... Kama wema hawafi yupo wapi Martin Luther kama wema hawafi yupo wapi Abraham Linkolin? Kama wema hawafi wapo wapi mitume na manabiii? Yupo wapi Sokoine ?
Mh Makamba ameongea kiswali nje ya utaratibu lazima ajibiwe mcha kweupe...
IMG-20221208-WA0229.jpg
 
Neno Wema hawafi ni neno lakiswahili lenye maana ukitenda wema wema wako haufi hata ikiwa kaburini wema wako hauwezi kufa hiyo ndio maana ya neno Wema hawafi. Unavyo ona mtu kama Magufuli amekufa bado anakumbukwa nakutajwa kila mahali ndio maana halisi wema wa mtu haufi ila anakufa mwili ila mema yake yanaishia.
Kitendo cha Mzee Makamba kuitumia hili neno la kiswahili na kugeuza kuwa wema ndio wale wana ishi na wale walio kufa sio wema ni upotoshaji mkubwa ktk kutafasiri maneno ya kiswahili.
Naomba sana Baraza la kiswahili litoke na kusahihisha haya maneno or ina maana kila anaye kufa sio mwema na kama huwo ndio ukweli je mbona akuna anye ishi milele hata angekuwa mwema kiasi gani.
Wapo watu hawafi ili Mungu awaonyeshe na kuwalipa ubaya wao kama wema hawafi yupo wapi Mandela? Kama wema hawafi yupo wapi Desmond Tutu kama wema hawafi yupo wapi Nyerere... Kama wema hawafi yupo wapi Martin Luther kama wema hawafi yupo wapi Abraham Linkolin? Kama wema hawafi wapo wapi mitume na manabiii? Yupo wapi Sokoine ?
Mh Makamba ameongea kiswali nje ya utaratibu lazima ajibiwe mcha kweupe...
Mbona asiseme wema hawadumu na huu ndio ukweli watu wema hawadumu acha hiyo ya wema hawafi ipo ya watu wema hawadumu
Yani yule mzee kajidhalilisha sijui niseme, hajui kuzungumza, sijui niseme ni wale wazee ambao wakizeeka wanafuata visichana vya miaka 15 yani bado sielewi.

MUNGU aendelee kumlaza pema Dkt Magufuli
 
Kuendelea kumjadili huyo mzee ni kupoteza muda!

Hao ndio vile vizee vinajiona nchi hii ni ya kwao
Kwani uongo? Siku zote tuliwaambia CCM ina wenyewe, lakini hamkuamini. Hao ndiyo wenye nchi sasa kupitia mwamvuli wa CCM! Na kama hutaki kukubali, hamia Burundi.
 
Mimi kwa upeo wangu mdogo naamini kabisa mjadala wa Magufuli hautaishia leo wala kesho wala mtondogoo. Ataendelea kujadiliwa kwa wema ama ubaya pengine mpaka kizazi kijacho.
Binafsi nazidi mkutakia puziko jema na kuzidi kujifunza falsafa zake.
 
Hivi ni lazima sana hawa wastaafu kupewa nafasi ya kuongea kwenye hadhira kama Ile? Walishakuwa na nyakati zao, waachwe viongozi wa sasa waongee, maana wanabaki kuwa Praise and Worship Team.
 
akatoa na mfano kusisitiza maneno yake ya shombo,"ndio maana Mzee Kikwete na Kinana wapo"kwa maana hawajafa au hawatokufa!.
any way mzee karukwa na kili.
 
Back
Top Bottom