Maamuzi ya Prof Ndalichako yanashangaza

hahhaha mi nacheka tu kwa maana kuila waziri anakuja na lake. mwingine alinletea physics with chemistry,akafuta bookeeping na commerce,mwingine akafuta agriculture,mwungine akafuta michezo,mwingine akafuta fimbo mwingine huyu anaweka eti science compulsory.hahahahah daaah ni science nliosoma sijawahi apply popote hapa kazini. mwambieni JPM na mawaziri wake hata Asian Tigers,china wengineo walifanikiwa katika viwanda lakini hawakutumia option hii.sasa wao wabishi wakiambiwa wanasema oooh sisi sio koloni la flani mpaka tuwaige.inovation hailetwi na madesa ya darasani.zaidi mtawaongezea wadogo zetu miswaki kwenye vyeti vyao washindwe hata kusoma nje ya TZ.
pengine mama Ndalichako una lengo zuri but poor methodology.kwani waliosoma sayansi miaka ilopita wameleta kiwanda kipi mpaka mseme eti sayansi ndio tiba ya kuwa na viwanda.
watu wanabuni helikopta mnawapiga marufuku.....hivi mko siriaz kweli? mnajua hata Wright brotherz walianzaje?maka leo tunapaa kwa raha???????? f**k off this country
 
Hahaaaaa u have made mai dei

Tuko pamoja mkuu.

Ukweli lazima usemwe. Nchi ni yetu sote hii hakuna wenye hati miliki.

Angalia kutoka kushoto: Ndege na nyani wanaufurahia mtihani huo wa kupanda mti. Ila tembo ataweza?Samaki atapanda mti? Na hao walio salia je?

Maana yake mtihani umelenga kuwabeba wachache. Ndicho kinachotaka kufanyika kwenye elimu ya Tanzania..
 
huyu mama ndalichako hajui lolote kuhusu kuhusu kuendesha wizara ya elimu kama waziri, mm naona ubovu upo kwenye katiba ya nchi inayompa raisi mamlaka ya kuchagua mawaziri wabovu ambao wanaleta madhara kama haya, laiti mawaziri wangechaguliwa kwa kura hakuna ubovu wowote ungetokea. katiba ndio inaotufikisha hapa pabovu hii leo. mtu anakurupuka usingizini eti minimum ya kujiunga vyuoni D mbilii, jee iyo D hakuona kama inaanza 50-59, maamuzi ya mende bhana furaha kwa mnyaji. eti gpa 3.5 khee ulifanya utafiti kwanza au ulilewa pombe, masomo ya sayansi lazma duuh ulienda shule za kata ukafanya utafiti wa kina au ulijisahau, masomo ya yamerudishwaa, duuh asa veta wafanye nini, hapa kazi tuu duuh je iyo kazi ako ya kukomoa wengne alafu unaenda kwako unacheka maskini wanavyoumia si upopo. khasara ya katiba ndio hiii
 
Ukiwa na alama za ufaulu za 'D' tatu tu unaingia advance uganda, na wapo watanzania wanaoenda kusoma A level na kisha kurudi kuingia vyuo vikuu Tanzania.
 
unajua sio vyeti feki tu hata akili zao ni feki baazi ya watu wanaotuongoza maana unajiuliza nini maana ya cheo na nini maana ya kuitwa msomi katika cheo
 
Ukiwa na alama za ufaulu za 'D' tatu tu unaingia advance uganda, na wapo watanzania wanaoenda kusoma A level na kisha kurudi kuingia vyuo vikuu Tanzania.
Hakika kiongozi, mm kuna jamaa yangu kasoma uganda advance ila chuo amesoma hapo IFM dar kamaliza mwaka huu, tena na mkopo alikuwa nao, sasa sijui anatuambiaje huyu kiongozi. Au ndio uongozi wa mzuka
 
Kama ni kwa o' level tu namuunga mkono. Ku-opt masomo katika ngazi za chini ni tatizo. Kuna shule wana chagua msomo bila mpangilio mwisho mtoto anamaliza form four anakosa muunganiko wa comb. Pia science inafanya akili ya mtoto iwe active. Wasome yote. Akifika form five atasoma anayoyataka. Pia wengi wana-opt kwa kufuata mkumbo akifika form four ndo anagundua alichemka na ndo hawezi kurudi nyuma tena.
pale mwanafunzi wa UDOM anapochangia mada
 
Tatzo si Ndalichako mbali ni sera ya elimu mpya,inayosema elimu msingi inaanzia la saba mpaka kidato cha nne,kama mnavyojua shule ya msingi hamna kuchagua,kwasababu ni mwendelezo n sekondari hawachagui,anasema hvyo akiwa n mwongozo wa sera ya elimu,na zaid ya hapo elimu msingi ipo hv kuanzia chekechea mpaka la 6,alafu kidato 1-4, kwahiyo hapatakuwa na la 7 siku za usoni,walio darasa la pili wataishia la 6, ni vizur tungepinga sera wakat inatolewa km inaonekana mbaya, wa tanzania tuna tatzo la kitosoma sera za nchi,na znapotolewa tunapuuzia,hatusikilzi kwa makini wala hatutunzi kumbukumbu, mambo tunayopuuzia leo matokeo yake yanajitokeza mbele.mwisho wake tunapiga bila kuwa hoja.
 
Mm sitasahu yule aliyesema physics na chemistry ni somo moja futa bookkeeping na commerce
Mm sitasahu yule aliyesema physics na chemistry ni somo moja
Hahaha Huyo mpumbafu aliathiri maana nakumbuka hio 2004 ndio naanza Form one kusoma PYSCEM yaani physics with chemistry ..Pumbafu sana yule alinibania uwanja wa kujiachia maana msingi wa elimu ya biashara nikaukosa baada ya kufuta Commerce na Book-keeping dah ile nmeingia kidato cha pili waliotufuata nyuma wakaanza kusoma masomo hayo ya biashara ...daah hahahah nmecheka sana!!Tanzania nchi ya maajabu saana!!
 
Joseph Mungai huyo enzi zake akiwa kakalia kiti chenye mamlaka akilala akiamka, "futa ufundi, futa kilimo, futa biashara, unganisha phys na chem" daa huyu bwana nami alinishangaza haijapata kutokea.
Keep away from the reach of children
 
Hakika kiongozi, mm kuna jamaa yangu kasoma uganda advance ila chuo amesoma hapo IFM dar kamaliza mwaka huu, tena na mkopo alikuwa nao, sasa sijui anatuambiaje huyu kiongozi. Au ndio uongozi wa mzuka

Na hata wasiporuhusu vyuo vya Tanzania
akienda kusoma chuo nje akirudi kuajiriwa watamzuia?
 
Wengi mmeona habari ya leo kuwa sasa ni lazima wanafunzi wote wasome Sayansi kabla ya hiii zimekuwepo habari nyingi za kushangaza za wizara hii ya elimu. Siku Magufuli aliposema anashangaa fimbo kupigwa marufuku mashuleni, kesho yake tu Wizara hii ikatangaza 'fimbo kurudishwa mashuleni'
yaani halikuwa na mjadala wala kutolewa maelezo labda why fimbo zilizuiwa mwanzo au kuna watalaam gani walihusika kufikia maamuzi.

Halafu yakaja maamuzi ya kuongeza ufaulu ili kujiunga na vyuo, hili nalo limechukuliwa kama Tanzania ni kisiwa vile mpaka sasa wala hakuna maelezo iwapo mwanafunzi wa kitanzania akipata nafasi kusoma nje ya nchi kwa ufaulu ambao hapa nchini haumruhusu, vyeti vyake vitakuwa na 'status' gani hapa nchini mradi maamuzi ya wizara hii sasa ni kama vile Tanzania ndo 'The world'
na kila atakachoamua yeye ndo 'final'

Huyu mama na Mabosi zake wanasahau kuwa tuko katika 'global village' Maamuzi ya ajabu ajabu sanasana yatawaathiri watoto wa masikini tu
wengine wenye options za kusoma nchi jirani na nchi za mbali hayatawagusa na mwishowe watakao 'umizwa na maamuzi' haya ni watoto wa masikini.Sasa hili la lu kulazimisha Sayansi nalo unajiuliza nchi ngapi duniani linatumika?

Je mtoto wa kitanzania akisoma Kenya au Uganda au kwingineko
ambako hakuna 'maamuzi ya aina hii' huyu mama atafanyaje? Hivi why 'tuna invest kwenye kuongeza kero na vizingiti' vya kila aina kwa watanzania? Kwani Tanzania ni kisiwa? Si masuala ya elimu yanapaswa kuwa 'Universally acceptable'? Sasa huyu mama ndo mifano wa maprofessa wetu?
Tunakujua toka kitambo ni mpingaji mkubwa wa Prof Ndalichako toka hata akiwa katibu mkuu pale barazani NA hata alipochaguliwa kuwa wazir kuna post ulikuwaga unazianzisha humu,mbaya zaid huwa unaendekeza udini katka kumshutumu huyu mama .....Kwa tunaojielewa hatushangazw NA upuuzi uliouandika hapa...

Poor you!!!!!
Go! Go! Prof we are together with u.
 
Hii wizara ni nyeti sana, kuendeshwa na mwanasiasa! nadhani ni muda muafaka wa kubadilisha taswira katika uendeshaji wa elimu yetu
 
Back
Top Bottom